Boys to men ya 1995 wamerudi, tujipange

uzi mzima boys to men
 
Leo nimenunua sukari 2900 ,nani kapandisha bei, Magufuli, boys to men, au Mama,
 
Wewe ni kapumbavu sana yani!

Huo u team wako ndio unasababisha bibi zako kule kijijini wanaliwa na umasikini.

Mtaelimika lini nyie majitu?
 
Mtatunga sana nadharia zenu mwaka huu!

Eti Magufuli alidhibiti Wizi? Wizi upi alizibiti?
Alupeleka wapi Trilion 1.5? Prof Assad alivyoibua hoja Alimfanyaje?
Wewe nilikua nakuona unajua kupambanua mambo kumbe nawwe hamnazo kabisa. Report za CAG haziibui wizi bali hoja za kikaguzi. 1.5T ilijadiliwa na Bunge, CAG na Serikali. Ikabainika haikuibiwa na matumizi yake yaliwekwa bayana.

Prof. Assad muda wake uliisha kikatiba na Rais halazimishwi kumuongezea Muda, anaweza kuteua mtu yoyote. Ndicho kilichofanyika.
 
Kwani huyu Mungu hayaoni yote haya??? Kwanini anaacha watu wateseke ajili ya watu wachache.
Mungu mwenyewe ndo amejificha humo kwenye Wizara ya fedha, Ulinzi na nishati vitu vyote vinavyosabisha human enslavement ndo alipo Mungu... kwani vita duniani kaleta nani ni Mungu huyo., hajawahi kumtetea mwanadamu zaidi ya story za Mungu kwenye vitabu eti ni mwema.
 
Sawa. Yana mwisho

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
God is sovereign; too early to surrender!

So fortunate I know the end before the beggining...Hivi mapigo ya Pharaoh yalikuwa mangapi vile?
It is well with thee, if you do not trust, trust my decrees, says the prophet!
 
Boyz II Men.
Boyzone.
Back Street Boys.
Black Street Boys.

Tunaondoa stress hapa.
 
Pole sana. Enzi zako na mwendazake wakati unatafuna nchi tulikuvulia, nawe vumilia pia.
 
Pumzi yako tu huna uhakika nayo sekunde inayofuata wewe ndiyo wakumkufuru Mungu hivi? Mungu na akurehemu...Hata sasa yupo enzini, tunza huu uzi uje uniulize miaka yako mitano ijayo, kwasababu hii nakuombea uzima ili uone kwa macho yako....Kings are never subject to the laws they make laws; I am afraid am from that line!
I decree and seal it with Holy seal that Tanzania shall never go back to misri, watch and see never mind the process trust the outcome!
 
YAJAYO YANAOGOPESHA.

MUNGU INUSURU TANZANIA.
Stand still and do not fear, the pharaoh you see today shall see him no more, time and space belong to the mighty binadamu na asijisifu kwa chochote saa wasiyotazamia ndipo anguko lao litakuja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…