Boys to men ya 1995 wamerudi, tujipange

Kwani huyu Mungu hayaoni yote haya??? Kwanini anaacha watu wateseke ajili ya watu wachache.
Mungu hujibu kwakutufundisha kwanza maana anajua kwamba wanadamu ni wanafiki hasa watanzania, Mungu anapenda wanyenyekevu na wanao ishi kwakumpendeza, pale tunapo abudu watu anatujibu kwa kuwaweka pembeni kwanjia zinazompendeza yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…