Brand nyingi za TV za Bongo ni fake

Brand nyingi za TV za Bongo ni fake

Kuna brand nyingi tz lakini ukisearch hata google haitambuliki, hawana official website hata weekpedia hawapo je tv hizi ni fake, mfano ni bravo, aboder, mr uk, goodvision, sundar, alitop
Cheap is expensive. Watanzania tuna prefer price over quality.

Tv km Sio LG, Samsung or Sony siwezi nunua.

Na ht LG nayo iwe made in Korea, ikiwa made in Egypt or SA siigusi ht unipe bei karibia na bure. Samsung nayo iwe korea, Sony iwe Japan...
 
Cheap is expensive. Watanzania tuna prefer price over quality...
Tv km Sio LG, Samsung or Sony siwezi nunua.
Na ht LG nayo iwe made in Korea, ikiwa made in Egypt or SA siigusi ht unipe bei karibia na bure. Samsung nayo iwe korea, Sony iwe Japan...
Zunguka Tanzania nzima ukipata Samsung made in Korea njoo nionyeshe duka nakupa 100000.
 
Kuna brand nyingi tz lakini ukisearch hata google haitambuliki, hawana official website hata weekpedia hawapo je tv hizi ni fake, mfano ni bravo, aboder, mr uk, goodvision, sundar, alitop
Hizi ulizozitaja mbona ni campuni za wabongo wanaotengeneza hizi bidhaa China,mfano huyo allitop namjua kbs.brands karibia zote hapo hata Kenya huwezi kuzikuta maana nao Wana zao

Bongo na Africa Kwa ujumla asilimia ya watu wengi hatuwezi kumiliki Panel Brands km Sony,Lg na Samsung,sababu uchumi wetu wengi ni wa Imani,upendo na miujiza
 
Hizi ulizozitaja mbona ni campuni za wabongo wanaotengeneza hizi bidhaa China,mfano huyo allitop namjua kbs.Kampuni karibia zote hapo hata Kenya huwezi kuzikuta maana nao Wana zao

Bongo na Africa Kwa ujumla asilimia ya watu wengi hatuwezi kumiliki Panel Brands km Sony,Lg na Samsung,sababu uchumi wetu wengi ni wa Imani,upendo na miujiza

Ata mimi namjua uyo aborder... mwalinyasi
 
Ishi kulingana na unavyovimudu, siyo unavyotamani.

kuna jambo wabongo wengi hamlijui; mnapenda sana kutumia neno FAKE pasipo kulielewa.

iko hivi: hizo brands (aborder, allitop, sundar n.k) si fake bali ubora wake hauko sawa na brands kama LG, SAMSUNG n.k

ili kitu kiwe fake ni pale kinapokuwa mfano wa kitu halisi cha aina husika. Maana yake fake inaweza ikawa; LG, SAMSUNG, PANASONIC, SONY, ABORDER, SUNDAR n.k

Vipato hatulingani, natumia simu ya 30,000/= lakini mwingine anatumia simu ya 3,000,000/=

NB: Rahisisha mahitaji yako credit; 20%
 
Ishi kulingana na unavyovimudu, siyo unavyotamani.

kuna jambo wabongo wengi hamlijui; mnapenda sana kutumia neno FAKE pasipo kulielewa.

iko hivi: hizo brands (aborder, allitop, sundar n.k) si fake bali ubora wake hauko sawa na brands kama LG, SAMSUNG n.k

ili kitu kiwe fake ni pale kinapokuwa mfano wa kitu halisi cha aina husika. Maana yake fake inaweza ikawa; LG, SAMSUNG, PANASONIC, SONY, ABORDER, SUNDAR n.k

Vipato hatulingani, natumia simu ya 30,000/= lakini mwingine anatumia simu ya 3,000,000/=

NB: Rahisisha mahitaji yako credit; 20%
safiii
 
Cheap is expensive. Watanzania tuna prefer price over quality.

Tv km Sio LG, Samsung or Sony siwezi nunua.

Na ht LG nayo iwe made in Korea, ikiwa made in Egypt or SA siigusi ht unipe bei karibia na bure. Samsung nayo iwe korea, Sony iwe Japan...
Kuna TV nyingi sana duniani mkuu kuna Blaupunkt,Telefunken, Aristona, Erres, Phillips...yani kuna brand kibao...sio hizo za kukariri
 
Cheap is expensive. Watanzania tuna prefer price over quality.

Tv km Sio LG, Samsung or Sony siwezi nunua.

Na ht LG nayo iwe made in Korea, ikiwa made in Egypt or SA siigusi ht unipe bei karibia na bure. Samsung nayo iwe korea, Sony iwe Japan...
Unajuaje ni made kutoka nchi gani?ni kile ki label tuu ama kuna cha zaidi?
 
Wabongo huwa tunapenda kujifariji tu. Ni sawa na mtu kapanda bus lisilo luxury na mwingine kapanda basi ambalo ni luxury. Hakika aliyepanda basi ambalo luxury atafurahia sana.
Cheap is expensive. Huwezi kujiuliza kwanini hii TV inauzwa laki 3 na 50 na nyingine ni laki 5
Ishi kulingana na unavyovimudu, siyo unavyotamani.

kuna jambo wabongo wengi hamlijui; mnapenda sana kutumia neno FAKE pasipo kulielewa.

iko hivi: hizo brands (aborder, allitop, sundar n.k) si fake bali ubora wake hauko sawa na brands kama LG, SAMSUNG n.k

ili kitu kiwe fake ni pale kinapokuwa mfano wa kitu halisi cha aina husika. Maana yake fake inaweza ikawa; LG, SAMSUNG, PANASONIC, SONY, ABORDER, SUNDAR n.k

Vipato hatulingani, natumia simu ya 30,000/= lakini mwingine anatumia simu ya 3,000,000/=

NB: Rahisisha mahitaji yako credit; 20%
 
Zunguka Tanzania nzima ukipata Samsung made in Korea njoo nionyeshe duka nakupa 100000.
Huyo hafahamu kuwa manufacturing jobs zipo china kusave gharama. Zingetengenezwa korea bei yake ingekuwa haikamatiki na ndio maana India na China zinazalisha bidhaa nyingi za kielektroniki kwa makampuni mengi makubwa duniani.
 
Back
Top Bottom