Samsung yangu pia nimeangalia inatoka south...Zunguka Tanzania nzima ukipata Samsung made in Korea njoo nionyeshe duka nakupa 100000.
Kuna jibu ambalo wanafunzi wengi wametumia linaenda kwa jina la cheap labour..ndo sababu wanaundia south
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samsung yangu pia nimeangalia inatoka south...Zunguka Tanzania nzima ukipata Samsung made in Korea njoo nionyeshe duka nakupa 100000.
Usikariri maisha.Ukishaona tv inauzwa karibu na kila duka jua hamna kitu.
Hajui kuwa hata iphone inakuwa assembled China. China wanatoa bidhaa bora zinazoenda Ulaya, Marekani, Japan etc.Huyo hafahamu kuwa manufacturing jobs zipo china kusave gharama. Zingetengenezwa korea bei yake ingekuwa haikamatiki na ndio maana India na China zinazalisha bidhaa nyingi za kielektroniki kwa makampuni mengi makubwa duniani.
Ni Tamaa za wafanyabiashara na sio Uchumi.Hizi ulizozitaja mbona ni campuni za wabongo wanaotengeneza hizi bidhaa China,mfano huyo allitop namjua kbs.Kampuni karibia zote hapo hata Kenya huwezi kuzikuta maana nao Wana zao
Bongo na Africa Kwa ujumla asilimia ya watu wengi hatuwezi kumiliki Panel Brands km Sony,Lg na Samsung,sababu uchumi wetu wengi ni wa Imani,upendo na miujiza
Its simple km unataka kununua za china nunua ile usiseme sijui...i have been in the industry for a long time najua kipi OG kipi famba...Huyo hafahamu kuwa manufacturing jobs zipo china kusave gharama. Zingetengenezwa korea bei yake ingekuwa haikamatiki na ndio maana India na China zinazalisha bidhaa nyingi za kielektroniki kwa makampuni mengi makubwa duniani.
Before ht hujanunua ukiwauliza wauzaji wanafahamu...then unaweza ku confirm kwenye box na nyuma ya Tv...Unajuaje ni made kutoka nchi gani?ni kile ki label tuu ama kuna cha zaidi?
Sony ya Japan kwa nyakati hizi utaipata wapi?,kwenye mitumba?Cheap is expensive. Watanzania tuna prefer price over quality.
Tv km Sio LG, Samsung or Sony siwezi nunua.
Na ht LG nayo iwe made in Korea, ikiwa made in Egypt or SA siigusi ht unipe bei karibia na bure. Samsung nayo iwe korea, Sony iwe Japan...
Its simple km unataka kununua za china nunua ile usiseme sijui...i have been in the industry for a long time najua kipi OG kipi famba...
Basi nilijua ni ughali wa bidhaa ndy unawafanya wafanya biashara wa bongo watuletee brand zao za kichina,kumbe ni tamaa Tu..safari yetu ni ndefu sanaNi Tamaa za wafanyabiashara na sio Uchumi.
Hili ni tatizo kubwa Sana.."tunanunua wachina Kwa bei kubwa Sana"Angalia Bei za TV USA, Ama nchi za Asia bei tunazonunulia Star x, Evoli, Mr uk, Boss etc wao wanapata TCL, Hisense, Sometime even brand kubwa kama Samsung na LG.
Kibongo bongo mfanyabiashara anakuwa Agent wa Brand kubwa, mfano Mo yeye ni Agent wa LG, Tayari ana supply Chain sababu ni wa muda mrefu, Then anafyatua Brand yake Mo tech anatoa Tv za Mo zinapitia same supply chain.
Brand nyingi kama unavyosema ni za hapa hapa Bongo. Wanachofanya wao ni kuweka tu bei ndogo kidogo kuliko Brand kubwa ili upate ile idea hizi bei rahisi na Hizi Ghali. Lakini uhalisia tunanunua wachina kwa Bei ghali.
LG ya korea...kabla ya LG za south zilikuepo za Egypt.Brand zipi za TV ni nzuri na kutoka wapi? Maana kwa mfano kuna LG ya south Africa na korea.
LG ya korea...kabla ya LG za south zilikuepo za Egypt.
LG ya korea...kabla ya LG za south zilikuepo za Egypt.
Samsung yangu pia nimeangalia inatoka south...
Kuna jibu ambalo wanafunzi wengi wametumia linaenda kwa jina la cheap labour..ndo sababu wanaundia south
Wapi nimesema sijui mkuu?Its simple km unataka kununua za china nunua ile usiseme sijui...i have been in the industry for a long time najua kipi OG kipi famba...
Miaka minne sasa no prob ..yani no any probUlinunua mwaka gani? Haijawahi kukusumbua? Hapa nipo njia panda nichukue Samsung au LG
Ulinunua mwaka gani? Haijawahi kukusumbua?
Hapa nipo njia panda nichukue Samsung au LG
Yes zinazo bluetoothHivi zina bluetooth ambapo unaweza kuunganisha na subwoofer au sound bar yoyote?
Hisense piaCheap is expensive. Watanzania tuna prefer price over quality.
Tv km Sio LG, Samsung or Sony siwezi nunua.
Na ht LG nayo iwe made in Korea, ikiwa made in Egypt or SA siigusi ht unipe bei karibia na bure. Samsung nayo iwe korea, Sony iwe Japan...