Brand nyingi za TV za Bongo ni fake

Brand nyingi za TV za Bongo ni fake

Hizi ulizozitaja mbona ni campuni za wabongo wanaotengeneza hizi bidhaa China,mfano huyo allitop namjua kbs.brands karibia zote hapo hata Kenya huwezi kuzikuta maana nao Wana zao

Bongo na Africa Kwa ujumla asilimia ya watu wengi hatuwezi kumiliki Panel Brands km Sony,Lg na Samsung,sababu uchumi wetu wengi ni wa Imani,upendo na miujiza
Imani, upendo na miujiza
 
Ukitaka OG nenda kwenye maduka yao kwenye malls na POSTA MPYA sio KARIAKOO
Mfuko uwe umenona, usijekusingizia eti bei ni kubwa kwa ajili ya kulipia frem
 
Ndiyo ujue wazungu wana akili sana. Kila toleo jipya la TV likitoka ananunua. Anauza used Africa kama mtumba anaongezea hela kidogo anavuta mpya. Sasa wewe baada ya miaka 2 imekufa au unatoleo la kichina kama aborder. Ukitaka kununua toleo jipya ujichange tena ununue mpya.
Mzungu ana akili sana. Wewe angalia hata nguo za mitumba.
Yaaani wabongo mbwana yaani mtu unataka kununua likitu ukaenalo mpaka liwe old fashioned. Mchina anasaidia sana hasa kwa nchi zetu ambazo kitu ukikitumia huwezi kukukinya mtumba kwa nchi nyingine. Mataifa yenye uchumi mkubwa wanatumia vitu quality ya juu kwa kuwa wanauhakika wa kukitumia na kuuza kwa mtu mwingi Kama mtumba. Sasa huwa inafurahisha sana mtu ananunua kitu mpaka unaona Kama mzigo Tena kuuza hakiuziki kimeshapitwa. Nakumbuka Kuna tv tumenunua mwaka 2003 Hitachi imekaa Hadi 2015 hapo watu wameshaanza na flat screen kitambo.
 
Yaaani wabongo mbwana yaani mtu unataka kununua likitu ukaenalo mpaka liwe old fashioned. Mchina anasaidia sana hasa kwa nchi zetu ambazo kitu ukikitumia huwezi kukukinya mtumba kwa nchi nyingine. Mataifa yenye uchumi mkubwa wanatumia vitu quality ya juu kwa kuwa wanauhakika wa kukitumia na kuuza kwa mtu mwingi Kama mtumba. Sasa huwa inafurahisha sana mtu ananunua kitu mpaka unaona Kama mzigo Tena kuuza hakiuziki kimeshapitwa. Nakumbuka Kuna tv tumenunua mwaka 2003 Hitachi imekaa Hadi 2015 hapo watu wameshaanza na flat screen kitambo.
Tech za tv hazibadiliki upesi, mfano hizi flat tv za LED/LCD zipo toka 2006 kama Mainstream, na ukichukua TV highend ya 2006 ukalinganisha na hizi lowend za 2022, ya 2022 inakalishwa.

Na siku mchina akikuharibikia na mfukoni hupo vizuri utamrudia tu huyo Chogo.
 
Kuna brand nyingi tz lakini ukisearch hata google haitambuliki, hawana official website hata weekpedia hawapo je tv hizi ni fake, mfano ni bravo, aboder, mr uk, goodvision, sundar, alitop
Nitoe ufafanuz kidogo kwa uelewa wang wa mambo ya mtandao.
Hzi tv kama goodvision, bravo, national, aborder, mruk, alitop nk hakuna special kiwanda kinachotengeneza hz tv yaan kiwanda special kwa aborder.

Kinachofanyika kinaitwa CUSTOMIZATION yaan tajiri anaenda china anaweka order kiwandani kuwa TV zake zitengenezwe na zichapwe jina analotaka ila kuna minimum quantity ambayo mtu huyo anakuwa anachukua kila mwez au kila baada ya miez 3.
So unakuta kiwanda kimoja kinatoa Brand zaid ya 20 unakuta brand 3 zinakuja TZ, 10 nigeria, 5 kenya nk.
Huduma ya customization inafanyika kwenye product mbalimbali kama electronics, nguo, solar, viatu nk. Customization ata ALIBABA unaweza kufanya na bidhaa zako zikaja kwa jina lako ila kuna wuantity wanakuLIMIT kuchukua ili upate hyo huduma.

China Brand zinazojulikana za TV ni:
TCL
SKYWORTH
HISENSE
Xiaomi (kdogo imeanza kupata support)
Panasonic (skyworth ndio wanazitengeneza kwa sasa).
 
Brand zote ulizotajanni za wabongo wachaga na wakinga hapo kariakoo mtaa wa agrey hadi ndanda pale kama uyo mr uk ni mangi...china kuna chimbo ziko plain unachagua ww quality then unaibrand. Jna mzigo unaletwa...kizur zaid tv izo zote spair znapatika na zinaingiliana mno na ni bei rahis kuanzia kununua had matengenezo yako compaired to izo brand kongwe na hata kwa iZi brand zenu za sony samsmsung nying ni copy wamebrand jina na wameweka tcard zenye kusoma majina hayo.. star x toleo la mwanzo alikuwa OG kabisa lakin now wammpiga copy brand ambayo tamu kwa sasa ni TCL maana hisence za bongo ni mchakachuo mwingi
wewe ndio umeongea point bei ya Hisense china ni ghali sana lakn nadhangaa bongo inauzwa bei ndogo sana maana watu washaanza ujanja ujanja.
TCL inch 32 smart mpaka inafika bongo kama unaagiza ni around laki 3.2 ila kariakoo ni 550,000 na wengi wanazikimbia maana bei mkasi.
 
wewe ndio umeongea point bei ya Hisense china ni ghali sana lakn nadhangaa bongo inauzwa bei ndogo sana maana watu washaanza ujanja ujanja.
TCL inch 32 smart mpaka inafika bongo kama unaagiza ni around laki 3.2 ila kariakoo ni 550,000 na wengi wanazikimbia maana bei mkasi.
Unaagiza kwa njia gani
 
Ilimradi naliona bunge live fresh tu.. logo hainisumbui hata kama ikiwa ni made in manzese😅😂
Bunge live! Dah binadamu tupo tofauti sana, katika vitu ninavyoona ni upuuzi ni kuangalia bunge au taarifa ya habari.
 
20240709_114039.jpg
Hiyo Wadau Vp Ubora Wake
 
Tech za tv hazibadiliki upesi, mfano hizi flat tv za LED/LCD zipo toka 2006 kama Mainstream, na ukichukua TV highend ya 2006 ukalinganisha na hizi lowend za 2022, ya 2022 inakalishwa.

Na siku mchina akikuharibikia na mfukoni hupo vizuri utamrudia tu huyo Chogo.
20240709_114039.jpg
Hii Vp Kwa Matumizi Ya Kawaida Inafaa
 
Back
Top Bottom