Brand nyingi za TV za Bongo ni fake

Brand nyingi za TV za Bongo ni fake

Kuna brand nyingi tz lakini ukisearch hata google haitambuliki, hawana official website hata weekpedia hawapo je tv hizi ni fake, mfano ni bravo, aboder, mr uk, goodvision, sundar, alitop
hizi zoote muundaji ni mmoja china huko! wanaweka lebo tu!
 
Cheap is expensive. Watanzania tuna prefer price over quality.

Tv km Sio LG, Samsung or Sony siwezi nunua.

Na ht LG nayo iwe made in Korea, ikiwa made in Egypt or SA siigusi ht unipe bei karibia na bure. Samsung nayo iwe korea, Sony iwe Japan...
Kwa mfano ikiwa ya aina nyingine, na ikawa na mwonekano mzuri wa picha na inafanya yote yaliyomo kwenye brand ulizozitaja kuna tatizo gani.
 
Kuna fundi aliwahi sema hzo tv ulizozitaja sio tv
 
Aboder ni tv bora kabisa kuwahi kutumia!! Ni mwaka wa tano haina tatizo lolote .
Nimenunua Sumusungu mbili zote zimebuma na shida kubwa mistari kwenye screen
 

Attachments

  • 20220610_065755.jpg
    20220610_065755.jpg
    35.7 KB · Views: 50
Wabongo huwa tunapenda kujifariji tu. Ni sawa na mtu kapanda bus lisilo luxury na mwingine kapanda basi ambalo ni luxury. Hakika aliyepanda basi ambalo luxury atafurahia sana.
Cheap is expensive. Huwezi kujiuliza kwanini hii TV inauzwa laki 3 na 50 na nyingine ni laki 5
Tatizo jina, wala siyo ubora wa bidhaa tena. Nina sharp yangu, haina mambo mengi nilinunua miaka sita iliyopita inadunda tu.
 
Ukifanya vizuri kwenye soko jina linakuwa kwa sababu ya ubora wa bidhaa na durability.
TV kwasasa zipo nyingi sana, ila zile za mwanzo kipindi zinatoka zilikuwa imara sana ila kwasasa wanaweka weka tu ilimradi wapate faida.
Cheap is expensive
Tatizo jina, wala siyo ubora wa bidhaa tena. Nina sharp yangu, haina mambo mengi nilinunua miaka sita iliyopita inadunda tu.
 
Cheap is expensive. Watanzania tuna prefer price over quality.

Tv km Sio LG, Samsung or Sony siwezi nunua.

Na ht LG nayo iwe made in Korea, ikiwa made in Egypt or SA siigusi ht unipe bei karibia na bure. Samsung nayo iwe korea, Sony iwe Japan...
Tutakubandikia sticker ya made in Japan

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
 
Nina tv inaitwa PMC nmegoogle sijapata website yao
 
Kuna brand nyingi tz lakini ukisearch hata google haitambuliki, hawana official website hata weekpedia hawapo je tv hizi ni fake, mfano ni bravo, aboder, mr uk, goodvision, sundar, alitop

Brand zote ulizotajanni za wabongo wachaga na wakinga hapo kariakoo mtaa wa agrey hadi ndanda pale kama uyo mr uk ni mangi...china kuna chimbo ziko plain unachagua ww quality then unaibrand. Jna mzigo unaletwa...kizur zaid tv izo zote spair znapatika na zinaingiliana mno na ni bei rahis kuanzia kununua had matengenezo yako compaired to izo brand kongwe na hata kwa iZi brand zenu za sony samsmsung nying ni copy wamebrand jina na wameweka tcard zenye kusoma majina hayo.. star x toleo la mwanzo alikuwa OG kabisa lakin now wammpiga copy brand ambayo tamu kwa sasa ni TCL maana hisence za bongo ni mchakachuo mwingi
 
Kuna brand nyingi tz lakini ukisearch hata google haitambuliki, hawana official website hata weekpedia hawapo je tv hizi ni fake, mfano ni bravo, aboder, mr uk, goodvision, sundar, alitop
Hizo zote ni universal screens .. Yale majina ni sticker tu zimebandikwa
 
Back
Top Bottom