Brand nyingi za TV za Bongo ni fake

Kikawaida Products nyingi hutengenezwa kwa ajili ya watu wa kati na wa chini, Kitaalamu hii huitwa Marketing Holocaust, Pia tujue kutaofautisha (Brand) na (Quality), wengi waliosema TV kama si samsung au sony hanunui wanaangalia Brand, lakini kuna TV Bora kabisa zaidi ya hizo kama VIZIO lakini watu wengi hawajui kwa sababu si brand kubwa.. ni vema tutofautishe brand na Ubora. TV inaweza isiwe Samsung, Sony ama LG na ikawa na Quality poa sana.
 
Vizio ni brand kubwa sana nje,ila bongo ndio hawazijui,
 
Cheap is expensive. Watanzania tuna prefer price over quality.

Tv km Sio LG, Samsung or Sony siwezi nunua.

Na ht LG nayo iwe made in Korea, ikiwa made in Egypt or SA siigusi ht unipe bei karibia na bure. Samsung nayo iwe korea, Sony iwe Japan...

Zunguka Tanzania bara na visiwani maduka yote. Ukipata TV ya Sony mpya made in japan niambie nikupe laki 5 ya shukrani.
 
Kwa kuongezea tu FAKE ni nakala ya kitu halisi ambayo imetolewa bila kibali cha mwenye kile kitu halisi. Mfano ukinunua sony Tv ambayo haijatoka kiwanda cha Sony hiyo tunasema ni Fake. Hata kama ina ubora kama ule wa Sony Og.
 
Shipping hufanyika kulingana na demand ya third world countries kuna majina mengine hapo ninayaona leo huku niliko sijwahi kuyaona wala kuyasikia.
 
Kwa kuongezea tu FAKE ni nakala ya kitu halisi ambayo imetolewa bila kibali cha mwenye kile kitu halisi. Mfano ukinunua sony Tv ambayo haijatoka kiwanda cha Sony hiyo tunasema ni Fake. Hata kama ina ubora kama ule wa Sony Og.
Mbona unachanganya maelezo yako? Umesema fake ni nakala halisi iliyotolewa bila kibali cha mwenyew,mwishon unasema ukinunua tv ambayo haijatoka kiwanda cha Sony ni fake,sasa issue ni kibali au kutoka kiwanda tofaut?
 
Aboder ni tv bora kabisa kuwahi kutumia!! Ni mwaka wa tano haina tatizo lolote .
Nimenunua Sumusungu mbili zote zimebuma na shida kubwa mistari kwenye screen
Ushasema brand Sumusungu, iweje sasa.shukuru mungu hakutoka mtu kwenye screen kuja kula ugali.
 
Yaaani wabongo mbwana yaani mtu unataka kununua likitu ukaenalo mpaka liwe old fashioned. Mchina anasaidia sana hasa kwa nchi zetu ambazo kitu ukikitumia huwezi kukukinya mtumba kwa nchi nyingine. Mataifa yenye uchumi mkubwa wanatumia vitu quality ya juu kwa kuwa wanauhakika wa kukitumia na kuuza kwa mtu mwingi Kama mtumba. Sasa huwa inafurahisha sana mtu ananunua kitu mpaka unaona Kama mzigo Tena kuuza hakiuziki kimeshapitwa. Nakumbuka Kuna tv tumenunua mwaka 2003 Hitachi imekaa Hadi 2015 hapo watu wameshaanza na flat screen kitambo.
 
Kuna TV nyingi sana duniani mkuu kuna Blaupunkt,Telefunken, Aristona, Erres, Phillips...yani kuna brand kibao...sio hizo za kukariri
Mgermany ana metz,ni tv moja nzuri mno na ghali kuliko brand zetu pendwa
 
Cheap is expensive. Watanzania tuna prefer price over quality.

Tv km Sio LG, Samsung or Sony siwezi nunua.

Na ht LG nayo iwe made in Korea, ikiwa made in Egypt or SA siigusi ht unipe bei karibia na bure. Samsung nayo iwe korea, Sony iwe Japan...
Naqubali naqubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…