Imani, upendo na miujizaHizi ulizozitaja mbona ni campuni za wabongo wanaotengeneza hizi bidhaa China,mfano huyo allitop namjua kbs.brands karibia zote hapo hata Kenya huwezi kuzikuta maana nao Wana zao
Bongo na Africa Kwa ujumla asilimia ya watu wengi hatuwezi kumiliki Panel Brands km Sony,Lg na Samsung,sababu uchumi wetu wengi ni wa Imani,upendo na miujiza
Telefunken kampuni ya Kijerumani imetulia sanaKuna TV nyingi sana duniani mkuu kuna Blaupunkt,Telefunken, Aristona, Erres, Phillips...yani kuna brand kibao...sio hizo za kukariri
Serial numberUnajuaje ni made kutoka nchi gani?ni kile ki label tuu ama kuna cha zaidi?
Yaaani wabongo mbwana yaani mtu unataka kununua likitu ukaenalo mpaka liwe old fashioned. Mchina anasaidia sana hasa kwa nchi zetu ambazo kitu ukikitumia huwezi kukukinya mtumba kwa nchi nyingine. Mataifa yenye uchumi mkubwa wanatumia vitu quality ya juu kwa kuwa wanauhakika wa kukitumia na kuuza kwa mtu mwingi Kama mtumba. Sasa huwa inafurahisha sana mtu ananunua kitu mpaka unaona Kama mzigo Tena kuuza hakiuziki kimeshapitwa. Nakumbuka Kuna tv tumenunua mwaka 2003 Hitachi imekaa Hadi 2015 hapo watu wameshaanza na flat screen kitambo.
Telefunken kampuni ya Kijerumani imetulia sana
Tech za tv hazibadiliki upesi, mfano hizi flat tv za LED/LCD zipo toka 2006 kama Mainstream, na ukichukua TV highend ya 2006 ukalinganisha na hizi lowend za 2022, ya 2022 inakalishwa.Yaaani wabongo mbwana yaani mtu unataka kununua likitu ukaenalo mpaka liwe old fashioned. Mchina anasaidia sana hasa kwa nchi zetu ambazo kitu ukikitumia huwezi kukukinya mtumba kwa nchi nyingine. Mataifa yenye uchumi mkubwa wanatumia vitu quality ya juu kwa kuwa wanauhakika wa kukitumia na kuuza kwa mtu mwingi Kama mtumba. Sasa huwa inafurahisha sana mtu ananunua kitu mpaka unaona Kama mzigo Tena kuuza hakiuziki kimeshapitwa. Nakumbuka Kuna tv tumenunua mwaka 2003 Hitachi imekaa Hadi 2015 hapo watu wameshaanza na flat screen kitambo.
Nitoe ufafanuz kidogo kwa uelewa wang wa mambo ya mtandao.Kuna brand nyingi tz lakini ukisearch hata google haitambuliki, hawana official website hata weekpedia hawapo je tv hizi ni fake, mfano ni bravo, aboder, mr uk, goodvision, sundar, alitop
wewe ndio umeongea point bei ya Hisense china ni ghali sana lakn nadhangaa bongo inauzwa bei ndogo sana maana watu washaanza ujanja ujanja.Brand zote ulizotajanni za wabongo wachaga na wakinga hapo kariakoo mtaa wa agrey hadi ndanda pale kama uyo mr uk ni mangi...china kuna chimbo ziko plain unachagua ww quality then unaibrand. Jna mzigo unaletwa...kizur zaid tv izo zote spair znapatika na zinaingiliana mno na ni bei rahis kuanzia kununua had matengenezo yako compaired to izo brand kongwe na hata kwa iZi brand zenu za sony samsmsung nying ni copy wamebrand jina na wameweka tcard zenye kusoma majina hayo.. star x toleo la mwanzo alikuwa OG kabisa lakin now wammpiga copy brand ambayo tamu kwa sasa ni TCL maana hisence za bongo ni mchakachuo mwingi
sijui mi nimekutana nayo ujerumani ila kwasasa nunua tu TCL au HISENSEBongo ipo?
Unaagiza kwa njia ganiwewe ndio umeongea point bei ya Hisense china ni ghali sana lakn nadhangaa bongo inauzwa bei ndogo sana maana watu washaanza ujanja ujanja.
TCL inch 32 smart mpaka inafika bongo kama unaagiza ni around laki 3.2 ila kariakoo ni 550,000 na wengi wanazikimbia maana bei mkasi.
Bunge live! Dah binadamu tupo tofauti sana, katika vitu ninavyoona ni upuuzi ni kuangalia bunge au taarifa ya habari.Ilimradi naliona bunge live fresh tu.. logo hainisumbui hata kama ikiwa ni made in manzese😅😂
Tech za tv hazibadiliki upesi, mfano hizi flat tv za LED/LCD zipo toka 2006 kama Mainstream, na ukichukua TV highend ya 2006 ukalinganisha na hizi lowend za 2022, ya 2022 inakalishwa.
Na siku mchina akikuharibikia na mfukoni hupo vizuri utamrudia tu huyo Chogo.