FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Mie nadhani niambiwe tu FL mapenzi yameisha nahamia mtaa mwingine Be Honest,nitaumia lakini mwisho wa siku uhalisia utabakia hakuna mapenzi tena sio uanze visa mala home huonekani
Mala kununa kusiko na msingi kidogo tu hasira,ukipinduka huku kasheshe ,,
Ni nini kukoseshana amani hapa duniani ..
Mala kununa kusiko na msingi kidogo tu hasira,ukipinduka huku kasheshe ,,
Ni nini kukoseshana amani hapa duniani ..