Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Tact and diplomacy Sir!!!
Hiyo nayo inahusu.Nitakuwa defferent kidogo,unasema kumuacha m2 with no genuine reason! Hapo ndio cpaelewi,sasa utawachoka wangapi au utaacha kuwapenda wangapi? Na mke/mume je ambae lets say ur bound with! Mi nafikiria wengi we2 hatupendi bali tunatamani! Ukitamani oviously ukipata unachokitamani utakizoeya na kukichoka bt ukipenda ni ngumu kumchoka m2! Sasa nakuomba ufikiri kwanini unataka kumuacha m2 ambae at 1st uliona wampenda na hajakufanya ki2 kudeserve that rather than njia ya kumuacha. Naomba kuwasilisha.
Why. . . .. ?
Dedication ya mtu?
Kuna namna ambayo ni more suitable kuachana na mtu ambae let say hajakukosea zaidi ya kumweka chini siku moja na kumwambia "mimi na wewe hivi au vile. . . "?!? Yani unataka kumwacha kwa sababu zako binafsi (umemchoka, humpendi tena, umepata mwingine, umeona mahusiano yenu hayatoenda popote n.k)???!
Kama ni wewe mwachwaji. .unaprefer kuachwa mara moja (kashajua anakuacha akwambie mara moja) au kuachwa taratibu(anakutafutia pozz la kukuacha hata kwa miezi huku ukijua bado mpo kama kawaida)??! Kwanini?
Usijali Nzi . . .Mimi napenda kuachwa mara moja ili nijipange nini cha kufanya baada ya hapo.
Kuachwa mara moja ni njia hisiyo ya kinafiki, kuliko kujifanya unaniacha taratibu huku mtima wako ukiwa umemdondokea jamaa mwingine! Unafiki wote huo wa nini? Niambie instantly pale unapohisi kwamba umenichoka, hunipendi tena, umepata mwingine n.k.
I see!!....Matola
Natafuta namna ya kumuacha mwanaume kamili bila kumuumiza sana.
Hata najua kama ananipenda basiii. . . .usanii tu mwanume kamili.
Wewe mkorofi kwani unatakaje ndio ujuwe kama unapendwa?.....Hata najua kama ananipenda basiii. . . .usanii tu mwanume kamili.
Matola
Natafuta namna ya kumuacha mwanaume kamili bila kumuumiza sana.