Breakfast idea, simple kabisa: Mkate wa kupaka carrot na mayonnaise

Breakfast idea, simple kabisa: Mkate wa kupaka carrot na mayonnaise

Hahaaa yaaani nikilaga hilo yai halafu nalikunjia kati kati ya slice mbili za mkate weeeeee, kitambi hichoooo!!!
Ila ndo my favourite breakfast hasa kwa wikend, sema kunenepa sasa khaaaa!! kunanilostisha mamisosi bana

Heaven Sent ,Nifah niazimeni hiyo mwili yenu natural model nipate kufaidi mapochopocho bana. Mdomo unapenda ila huu mwili unanikosesha mengi akyanani
Hahahahaaa hii miili yetu Wallah namshukuru Mungu kila uchao.
Wenzetu mnahangaika na midiets ila mie ndio kwaaaanza nakula hayo mayai kila siku,mapochopocho kibao lakini hata tumbo tu naliona kwa matukunyema huko barabarani!

Pole best yangu...
Hivi lara 1 keshaweka ile story ya Average Joe?
 
Ningejarib ila kwa hapo kwenye mayonaise daaah. Huwa sili hii kitu
 
Evelyn Salt....mpaka leo bado nina kidonda cha kujikwangua kwa grate.....bora zile za plastic mwenzangu
Pole shostie, ajali za kawaida hizo kujikata, kuungua teh unaongeza tu umakini zaidi
Mie Mayonize ilinikataaga tangu enzi za Yesu....naona kama nakula mafuta ya mgando
Ha ha ha jaribu jaribu mi mwenyewe mara ya kwanza niliiona mauza uza ila sahivi natamani kuweka hadi kwenye chai lol
 
yap ... nashangaa, maana upishi wowote lazima uhusishe moto (heat)/'cooking' is the art of preparing food with the use of heat'.
Ukimaliza kushangaa uishie sasa ukafanye mambo mengine
 
yap ... nashangaa, maana upishi wowote lazima uhusishe moto (heat)/'cooking' is the art of preparing food with the use of heat'.
Haya ni mapishi, upishi ni dhana pana sana huo mkate hapo ulishapikwa mleta mada hakutaka kuanzia mbali kwenye kutengeneza mkate ndio amalizie na hilo
 
Haya ni mapishi, upishi ni dhana pana sana huo mkate hapo ulishapikwa mleta mada hakutaka kuanzia mbali kwenye kutengeneza mkate ndio amalizie na hilo
Acha kutetetea makosa we kilaza. Hili ni jukwaa la mapishi na ni lazima lihusishe moto.
 
Kwahiyo huo mkate umechumwa toka shamba?
Basi hata wanaoleta mapishi ya pilau wangeanzia kukiweka chakula mezani tu. Au huyo aliyeleta chai ya maziwa yenye viungo angemalizia na sukari tu halafu aseme maziwa yalikuwa yameshachemshwa tayari.
 
Basi hata wanaoleta mapishi ya pilau wangeanzia kukiweka chakula mezani tu. Au huyo aliyeleta chai ya maziwa yenye viungo angemalizia na sukari tu halafu aseme maziwa yalikuwa yameshachemshwa tayari.
Wewe bado sana jibu hoja acha kuzunguka
 
Back
Top Bottom