Breakfast idea, simple kabisa: Mkate wa kupaka carrot na mayonnaise

Breakfast idea, simple kabisa: Mkate wa kupaka carrot na mayonnaise

Kuna member Majuzi ametuasa tusipende kugonga white bread kwa Usalama wa afya zetu.
Mahitaji:
Mkate
Carrot 1
Mayonize

Jinsi ya kuandaa:
. Chukua carrot ikwangue kwenye greater
. Weka mayonnaise kwenye carrot uliyokwangua kisha ichanganye vizuri
. Paka mchanganyiko wa carrot na mayonnaise kwenye mkate, unaweza kukata mkate shape inayoipenda
Mkate upo tayari kwa kuliwa simple kabisa ila mkate unakua na ladha flani amazing
View attachment 320129 View attachment 320130 View attachment 320131
Karibuni sana
Cc: Heaven Sent atoto Heaven on Earth Madame B brenda18
Kaboom mito ongeza kitambi 😛
 
Aah acha akunenepeshe bana, afu wakati mwingine unajikuta unanenepa tu kutokana na mahaba teh teh
Mmh hapo kwenye mahaba labda uwe na uhakika wa kulipa bills za familia kwanza, vinginevyo ngumu hata upewe mahaba gani, labda kwa mwanaume irresponsible ndo inawezekana
 
Mmh hapo kwenye mahaba labda uwe na uhakika wa kulipa bills za familia kwanza, vinginevyo ngumu hata upewe mahaba gani, labda kwa mwanaume irresponsible ndo inawezekana
Hahaha nimechekaaaaa. Nope pata picha umetoka job mambo yamegoma. Unarudi home wifi anakupetipeti afu anakupa maneno ya faraja, mbona unapata ka ahueni. Teh Rudi huna hela kwa dada ako atoto, mahaba yanaenda likizo
 
Hahaha nimechekaaaaa. Nope pata picha umetoka job mambo yamegoma. Unarudi home wifi anakupetipeti afu anakupa maneno ya faraja, mbona unapata ka ahueni. Teh Rudi huna hela kwa dada ako atoto, mahaba yanaenda likizo
Hata akupetipeti bado haisaidii sista, coz bado tu atakwambia jikoni hakuna hiki na hiki, mtoto kaja na barua hela inatakiwa shule, ahueni itatoka wapi hapo!!!
Anipetipeti huku akiwa katimiza hayo majukumu tiyari ndo ntapata ahueni ya mahaba yake, teh!
 
Hata akupetipeti bado haisaidii sista, coz bado tu atakwambia jikoni hakuna hiki na hiki, mtoto kaja na barua hela inatakiwa shule, ahueni itatoka wapi hapo!!!
Anipetipeti huku akiwa katimiza hayo majukumu tiyari ndo ntapata ahueni ya mahaba yake, teh!
Hahaha I understand my kaka; usifanye utani na majukumu aiaee
 
Kuna hoja gani hapa? Hoja yangu ni kwamba hakuna mapishi pasipo kuhusisha moto au joto. Huwezi ukaja na salad au juisi au mkate na blueband halafu unasema mapishi. Ndiyo maana kila mtu anashangaa. Eti mapishi ya karoti . uuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. acha nicheke mieeeeeee
Kubana pua na kucheka cheka sio dalili nzuri sana kwa mtoto wa kiume
 
Inaleta kisukari mkuu, akapendekeza tugonge brown bread, so ukiweka hivyo vikorombwezo vyako kwenye hiyo brown bread itakuwa mahala pake, Sema kuipata sasa kwa siye wa madongo kuinama ni issue.
Ooh ahsante, nlikua sijui
 
Back
Top Bottom