mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
Hahaaaaaaaaaaaaaa duuuh!!Hahaha kwa uroho tu mweeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaaaaaaaaaaaa duuuh!!Hahaha kwa uroho tu mweeeee
Umezidi wewe teh tehHahaaaaaaaaaaaaaa duuuh!!
Mahitaji:
Mkate
Carrot 1
Mayonize
Jinsi ya kuandaa:
. Chukua carrot ikwangue kwenye greater
. Weka mayonnaise kwenye carrot uliyokwangua kisha ichanganye vizuri
. Paka mchanganyiko wa carrot na mayonnaise kwenye mkate, unaweza kukata mkate shape inayoipenda
Mkate upo tayari kwa kuliwa simple kabisa ila mkate unakua na ladha flani amazing
View attachment 320129 View attachment 320130 View attachment 320131
Karibuni sana
Cc: Heaven Sent atoto Heaven on Earth Madame B brenda18
Kaboom mito ongeza kitambi 😛
Tatizo wifi yako sistaUmezidi wewe teh teh
Aah acha akunenepeshe bana, afu wakati mwingine unajikuta unanenepa tu kutokana na mahaba teh tehTatizo wifi yako sista
Mmh hapo kwenye mahaba labda uwe na uhakika wa kulipa bills za familia kwanza, vinginevyo ngumu hata upewe mahaba gani, labda kwa mwanaume irresponsible ndo inawezekanaAah acha akunenepeshe bana, afu wakati mwingine unajikuta unanenepa tu kutokana na mahaba teh teh
Hahaha nimechekaaaaa. Nope pata picha umetoka job mambo yamegoma. Unarudi home wifi anakupetipeti afu anakupa maneno ya faraja, mbona unapata ka ahueni. Teh Rudi huna hela kwa dada ako atoto, mahaba yanaenda likizoMmh hapo kwenye mahaba labda uwe na uhakika wa kulipa bills za familia kwanza, vinginevyo ngumu hata upewe mahaba gani, labda kwa mwanaume irresponsible ndo inawezekana
Hata akupetipeti bado haisaidii sista, coz bado tu atakwambia jikoni hakuna hiki na hiki, mtoto kaja na barua hela inatakiwa shule, ahueni itatoka wapi hapo!!!Hahaha nimechekaaaaa. Nope pata picha umetoka job mambo yamegoma. Unarudi home wifi anakupetipeti afu anakupa maneno ya faraja, mbona unapata ka ahueni. Teh Rudi huna hela kwa dada ako atoto, mahaba yanaenda likizo
Hahaha I understand my kaka; usifanye utani na majukumu aiaeeHata akupetipeti bado haisaidii sista, coz bado tu atakwambia jikoni hakuna hiki na hiki, mtoto kaja na barua hela inatakiwa shule, ahueni itatoka wapi hapo!!!
Anipetipeti huku akiwa katimiza hayo majukumu tiyari ndo ntapata ahueni ya mahaba yake, teh!
Ina madhara gani?Kuna member Majuzi ametuasa tusipende kugonga white bread kwa Usalama wa afya zetu.
Mimi mayonise nnoweza kula ni za American garden tu. Brand nyengine inakuwa ngumu kumeza kwa kweli.Okay..nitajaribu tena nione kama ntaiweza.
Inaleta kisukari mkuu, akapendekeza tugonge brown bread, so ukiweka hivyo vikorombwezo vyako kwenye hiyo brown bread itakuwa mahala pake, Sema kuipata sasa kwa siye wa madongo kuinama ni issue.Ina madhara gani?
Kubana pua na kucheka cheka sio dalili nzuri sana kwa mtoto wa kiumeKuna hoja gani hapa? Hoja yangu ni kwamba hakuna mapishi pasipo kuhusisha moto au joto. Huwezi ukaja na salad au juisi au mkate na blueband halafu unasema mapishi. Ndiyo maana kila mtu anashangaa. Eti mapishi ya karoti . uuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. acha nicheke mieeeeeee
Ooh ahsante, nlikua sijuiInaleta kisukari mkuu, akapendekeza tugonge brown bread, so ukiweka hivyo vikorombwezo vyako kwenye hiyo brown bread itakuwa mahala pake, Sema kuipata sasa kwa siye wa madongo kuinama ni issue.