Breakfast idea, simple kabisa: Mkate wa kupaka carrot na mayonnaise

Breakfast idea, simple kabisa: Mkate wa kupaka carrot na mayonnaise

Wewe bado sana jibu hoja acha kuzunguka
Kuna hoja gani hapa? Hoja yangu ni kwamba hakuna mapishi pasipo kuhusisha moto au joto. Huwezi ukaja na salad au juisi au mkate na blueband halafu unasema mapishi. Ndiyo maana kila mtu anashangaa. Eti mapishi ya karoti . uuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. acha nicheke mieeeeeee
 
mayonise sijui nize ni nini kwani,..
minpo tmk
images (18).jpg
 
Huwa nasikia eti mayonise huwa inahujumu 'nguvu' eti?!....hebu niwekeni wazi kwanza kwenye hili....
 
Kuna hoja gani hapa? Hoja yangu ni kwamba hakuna mapishi pasipo kuhusisha moto au joto. Huwezi ukaja na salad au juisi au mkate na blueband halafu unasema mapishi. Ndiyo maana kila mtu anashangaa. Eti mapishi ya karoti . uuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. acha nicheke mieeeeeee
Maandalizi:
unafungua wallet unatoa hela unaenda dukani kununua unga wa ngano kilo,chumvi, na Amira unaumua unaweka kwenye oven au mkaa ukitoa unaweka pembeni upoe kisha unakata kata, mkate upo tayari kwa kupakwa Mayonize unaweza KUSHUSHIA NA KICHURI
 
Kuna hoja gani hapa? Hoja yangu ni kwamba hakuna mapishi pasipo kuhusisha moto au joto. Huwezi ukaja na salad au juisi au mkate na blueband halafu unasema mapishi. Ndiyo maana kila mtu anashangaa. Eti mapishi ya karoti . uuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. acha nicheke mieeeeeee
Wapi nimeandika mapishi ya carrot?
 
Kuna hoja gani hapa? Hoja yangu ni kwamba hakuna mapishi pasipo kuhusisha moto au joto. Huwezi ukaja na salad au juisi au mkate na blueband halafu unasema mapishi. Ndiyo maana kila mtu anashangaa. Eti mapishi ya karoti . uuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. acha nicheke mieeeeeee
Kila mtu? You are living in the world of imagination rudi tu kwenye biashara ya maparachichi vipi wachina walishakuletea ule msaada wa mashine?
 
Hahahahaaa hii miili yetu Wallah namshukuru Mungu kila uchao.
Wenzetu mnahangaika na midiets ila mie ndio kwaaaanza nakula hayo mayai kila siku,mapochopocho kibao lakini hata tumbo tu naliona kwa matukunyema huko barabarani!

Pole best yangu...
Hivi lara 1 keshaweka ile story ya Average Joe?
Vipi nundu, ipo? Au Sony wega!!
 
Maandalizi:
unafungua wallet unatoa hela unaenda dukani kununua unga wa ngano kilo,chumvi, na Amira unaumua unaweka kwenye oven au mkaa ukitoa unaweka pembeni upoe kisha unakata kata, mkate upo tayari kwa kupakwa Mayonize unaweza KUSHUSHIA NA KICHURI
Kichuri,umenikumbusha mbaali.
Nyama choma, kichuri, pilipili halafu unasindikiza kwa ugali wa udaga mixer na mahindi
 
Back
Top Bottom