Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
- #61
Tafuta hiyo cleanser, unaweza kuoder onlineMmmhhh mi huwa majanga dada
nikila hiyo hapatoshiiii nmetafta tiba waap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta hiyo cleanser, unaweza kuoder onlineMmmhhh mi huwa majanga dada
nikila hiyo hapatoshiiii nmetafta tiba waap
Bei gan?????Tafuta hiyo cleanser, unaweza kuoder online View attachment 320382
Ewaaaaaaaa ndo yenyewe kabisa hii, hadi mate yananitoka loh!
Bestie mshukuru sana Mungu kwa kukupa hizo genes za kimodo aiseeHahahahaaa hii miili yetu Wallah namshukuru Mungu kila uchao.
Wenzetu mnahangaika na midiets ila mie ndio kwaaaanza nakula hayo mayai kila siku,mapochopocho kibao lakini hata tumbo tu naliona kwa matukunyema huko barabarani!
Pole best yangu...
Hivi lara 1 keshaweka ile story ya Average Joe?
Aaah achana na hii miili amazing teh teh, wewe fukia tu na gutambi gwako ahahahHahaaa yaaani nikilaga hilo yai halafu nalikunjia kati kati ya slice mbili za mkate weeeeee, kitambi hichoooo!!!
Ila ndo my favourite breakfast hasa kwa wikend, sema kunenepa sasa khaaaa!! kunanilostisha mamisosi bana
Heaven Sent ,Nifah niazimeni hiyo mwili yenu natural model nipate kufaidi mapochopocho bana. Mdomo unapenda ila huu mwili unanikosesha mengi akyanani
Hahaha daddy nina kitu flaaaaaatKitambi kinakuita ww
Hahaha kwa uroho tu mweeeeeEwaaaaaaaa ndo yenyewe kabisa hii, hadi mate yananitoka loh!
Haya bana..Leo ulikuwa kwenye kidate nn..Sijakuona homeHahaha daddy nina kitu flaaaaaat
Hahaha daddy kausha basi daahHaya bana..Leo ulikuwa kwenye kidate nn..Sijakuona home
Teh teh..Ngoja nikaushe..Nilitaka tu kukukumbusha kwamba uzingatie masharti na vigezo..Hahaha daddy kausha basi daah
Hahaha daddy hilo si tumeshaliongea sana jamani khaaTeh teh..Ngoja nikaushe..Nilitaka tu kukukumbusha kwamba uzingatie masharti na vigezo..
Teh teh..Ni muhimu kukumbushwa..Mkishapenda nyie mnasahau kila kituHahaha daddy hilo si tumeshaliongea sana jamani khaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ntamleta basi weekend utoe tathmini mapemaTeh teh..Ni muhimu kukumbushwa..Mkishapenda nyie mnasahau kila kitu
Haya nasubiri..Ngoja niandae kabisa na bakora yangu..Just kwa dharula[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ntamleta basi weekend utoe tathmini mapema
Hahaha daddy never underestimate my choice, nina taste amazing kama yako. Jiandae tu kunipa hongera[emoji8] [emoji8]Haya nasubiri..Ngoja niandae kabisa na bakora yangu..Just kwa dharula
Teh teh..Hujawahi kuniangusha Douta..Sitegemei kama hii ndo itakuwa mara ya kwanza..NakuaminiaHahaha daddy never underestimate my choice, nina taste amazing kama yako. Jiandae tu kunipa hongera[emoji8] [emoji8]
Sasa je, subiria kitu huko teh tehTeh teh..Hujawahi kuniangusha Douta..Sitegemei kama hii ndo itakuwa mara ya kwanza..Nakuaminia
Hahaaaa haya bana, hongera zenu lakiniAaah achana na hii miili amazing teh teh, wewe fukia tu na gutambi gwako ahahah