Radhia Sweety
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,433
- 1,771
Kuna hoja gani hapa? Hoja yangu ni kwamba hakuna mapishi pasipo kuhusisha moto au joto. Huwezi ukaja na salad au juisi au mkate na blueband halafu unasema mapishi. Ndiyo maana kila mtu anashangaa. Eti mapishi ya karoti . uuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. acha nicheke mieeeeeeeWewe bado sana jibu hoja acha kuzunguka
mayonise sijui nize ni nini kwani,..
minpo tmk
Maandalizi:Kuna hoja gani hapa? Hoja yangu ni kwamba hakuna mapishi pasipo kuhusisha moto au joto. Huwezi ukaja na salad au juisi au mkate na blueband halafu unasema mapishi. Ndiyo maana kila mtu anashangaa. Eti mapishi ya karoti . uuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. acha nicheke mieeeeeee
Wapi nimeandika mapishi ya carrot?Kuna hoja gani hapa? Hoja yangu ni kwamba hakuna mapishi pasipo kuhusisha moto au joto. Huwezi ukaja na salad au juisi au mkate na blueband halafu unasema mapishi. Ndiyo maana kila mtu anashangaa. Eti mapishi ya karoti . uuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. acha nicheke mieeeeeee
Kila mtu? You are living in the world of imagination rudi tu kwenye biashara ya maparachichi vipi wachina walishakuletea ule msaada wa mashine?Kuna hoja gani hapa? Hoja yangu ni kwamba hakuna mapishi pasipo kuhusisha moto au joto. Huwezi ukaja na salad au juisi au mkate na blueband halafu unasema mapishi. Ndiyo maana kila mtu anashangaa. Eti mapishi ya karoti . uuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. acha nicheke mieeeeeee
Na utoto unachangiaHa ha ha mshana kwani humjui INNOCENT CHACHA we muache kama alivo yupo hivo hivo ni kama ana tatizo la kisaikolojia
Naona unaanza kukataa kivuli chako.Wapi nimeandika mapishi ya carrot?
Webu highlight nlipoandika napika, shwain weweNaona unaanza kukataa kivuli chako.
😵 , anyway; nashukuru kwa ushauriUkimaliza kushangaa uishie sasa ukafanye mambo mengine
Vipi nundu, ipo? Au Sony wega!!Hahahahaaa hii miili yetu Wallah namshukuru Mungu kila uchao.
Wenzetu mnahangaika na midiets ila mie ndio kwaaaanza nakula hayo mayai kila siku,mapochopocho kibao lakini hata tumbo tu naliona kwa matukunyema huko barabarani!
Pole best yangu...
Hivi lara 1 keshaweka ile story ya Average Joe?
Kichuri,umenikumbusha mbaali.Maandalizi:
unafungua wallet unatoa hela unaenda dukani kununua unga wa ngano kilo,chumvi, na Amira unaumua unaweka kwenye oven au mkaa ukitoa unaweka pembeni upoe kisha unakata kata, mkate upo tayari kwa kupakwa Mayonize unaweza KUSHUSHIA NA KICHURI
Najua sifa yenu kuu ni matusi tu. Yaani unaruka kivuli chako halafu povu linakutoka.Webu highlight nlipoandika napika, shwain wewe
ni aina ya flani ya mafuta sio????
Yap ni mafuta mafuta, kama vile butter sema yenyewe imeongezewa flavor, sio mbaya kwa kula mara moja mojani aina ya flani ya mafuta sio????
minnachunus sana yananfaa kweli dada
Karibu shost akeYummy yummy, napenda mayonnaise balaa! Ntajaribu siku moja. Asante shost ake...
Kwenda zako....Vipi nundu, ipo? Au Sony wega!!
MambooKwenda zako....
Mmmhhh mi huwa majanga dadaYap ni mafuta mafuta, kama vile butter sema yenyewe imeongezewa flavor, sio mbaya kwa kula mara moja moja