Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio, napika lunch, nafanya house chores bila shida. Ila bed breakfast hapana aisee.Ushawahi kumpikia mpenzi wako?
Umerogwa sio bureMimi siwezi mkuu.
Labda kwa Nguvu ya limbwata...hata mwanamke sitaki anifanyie.
Wapo chiefHawa wapo kwenye vitabu na movie za hollywood..Tanzania walikufa vita ya kagera
Jingaaa. Kwahiyo unamlisha ng'ombe majani ili umkamue vizuri eehNyumbani siwezi, ila ikiwa ni hotelini naweza kufata restaurant.
Hapo ni kama bado tupo siku hiyo, tukimaliza chai kuna malipo yangu, then ndo tukafanye mizunguko.
Kwamba ndiyo maana sifanyi?Umerogwa sio bure
Ndiyo ni mimiHiyo avatar ni wewe?
Kuna tofauti kubwa(kwangu), nikipika na kuweka mezani hiyo ni routine ya kawaida kabisa, hilo unalosema kwangu nitakuwa nafanya maigizo tu mkuu.Tofauti ni nini? Baada ya mezani msosi unaingia chumbani.
Ndiyo ni mimi
mimi nachukua nafasi ya kuwahesabu mkuu maana mimi siwezi hayo mambo ya movie za kikorea