Breakfast in Bed....

Breakfast in Bed....

Ni kanuni ndogondogo ambazo lazima uzifuate,mfano huwez kwenda kula chakula chooni ,kitandani pia sio ,coz unaweza kuleta kunguni au mende kutokana na zile particles za chakula,then kuna bacteria wengi sana ambao ni normal flora mwilini so mtu akilala wengine wanabaki on bed,then they can be contaminated with foods
Bacteria mwilini ambao hawawezi kucontaminate chakula mpaka wawe kitandani sio?

By the way, inategemea na sehemu unayofanya hii kitu mkuu. Siku hizi kuna mabafu ambayo unaweza kuchill kwenye bath tub huku unakunywa juice au balimi!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

It's 2018, let's not live like Mansa Musa and Zwangendaba!
 
Back
Top Bottom