Ndo mpango mzima haina kushangaa ๐Kama kawaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anazingua dogo anajua wote tunashobokea mapenzi ๐๐๐[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu.
Sio tupashe, yaan ndo nimpe rasmi sasa.Mpashe kiporo kama shukrani sio.
Nakuambia ukwelii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Acha bhasi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anazingua dogo anajua wote tunashobokea mapenzi [emoji23][emoji23][emoji23]
Haina kurembaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo mpango mzima haina kushangaa [emoji23]
Aisee usikute ni mimi natafutwa nipewe rasmi kama shukrani na sijui.Sio tupashe, yaan ndo nimpe rasmi sasa.
Maana hatukuwahi fanya chochote, alikua km rafiki angu tyuu.
Hamna bana matunzo atapata ๐Nakuambia ukwelii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah, nimekuwa dogo tena๐!!, mbona ghafla sana isee , haya bibi sijui mama, halafu unakuta kitoto cha tisini au elfu mbili unaniita mzee mzima DOGO๐จ๐ฝโ๐ฆณ, JF๐๐ป๐Anazingua dogo anajua wote tunashobokea mapenzi ๐๐๐
๐๐๐ we mi age go, nimezaliwa mwaka mmoja na JK wa kwanza ohh.!!Dah, nimekuwa dogo tena๐!!, mbona ghafla sana isee , haya bibi sijui mama, halafu unakuta kitoto cha tisini au elfu mbili unaniita mzee mzima DOGO๐จ๐ฝโ๐ฆณ, JF๐๐ป๐
Mimi niliambiwa siendani nae hiyo ni baada ya kushauriwa na mashoga zake ety mimi sina swagga ety nanyoa kama babu, sivai pamba kali, nipo kama sipo ๐
njoo huku alitaka kunywa sumu kumbe Poor Brain dronedrake Intelligent businessmanMimi niliambiwa siendani nae hiyo ni baada ya kushauriwa na mashoga zake ety mimi sina swagga ety nanyoa kama babu, sivai pamba kali, nipo kama sipo ๐
Hisia ni mzigo mbaya ๐๐
Haya!!,Mshindi wewe๐๐ผ, kwa umri wangu ni kwamba โMKUBWA UKIVULIWA NGUO CHUTAMAโ sijui miaka yenu hii ni vipi??,๐๐๐ we mi age go, nimezaliwa mwaka mmoja na JK wa kwanza ohh.!!
Mapenzi hayana udogo kikubwa kuweza kuyacontrol basi.!
Ila baadhi ya wanawake ni mafala sana, imagine naachwa ety kisa sivai modo na sinyoi kisahani ๐
๐ umenipa ushindi wa mezani?? Mi siutaki ๐๐๐Haya!!,Mshindi wewe๐๐ผ, kwa umri wangu ni kwamba โMKUBWA UKIVULIWA NGUO CHUTAMAโ sijui miaka yenu hii ni vipi??,
Poor Brain dronedrakeMi wasichana wamtaani kwetu walikuwa wanadai bora wakae na magazeti kuliko kuwa na mahusiano na mimi (bonge la komwe halafu nilikuwa nimetitia,kafupii ,keusii).Hata huyu nilienae sasa hivi sijui kanipendea nini.Sina break up yoyote kwa sababu nilikuwa sitongozi .
[emoji23][emoji23][emoji23] wee sema kweli.Aisee usikute ni mimi natafutwa nipewe rasmi kama shukrani na sijui.
Wee thubutuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hamna bana matunzo atapata [emoji23]
Poor Brain dronedrakeMi wasichana wamtaani kwetu walikuwa wanadai bora wakae na magazeti kuliko kuwa na mahusiano na mimi (bonge la komwe halafu nilikuwa nimetitia,kafupii ,keusii).Hata huyu nilienae sasa hivi sijui kanipendea nini.Sina break up yoyote kwa sababu nilikuwa sitongozi .
Mi nliumia ile mara ya kwanza kupenda nlisota sio powa nlikuwa nalala usingizi flan ambao unakua umelala lakini Mtu akikuita unaitika, vinywaji vyote vilibadilika ladha mdomoni Mwangu, kila Kitu nliona kero hata Mkono wangu ukigusa shingo nliona kama nakereka usingizi hamna kbs