Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Ndo mpango mzima haina kushangaa 😂Kama kawaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo mpango mzima haina kushangaa 😂Kama kawaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anazingua dogo anajua wote tunashobokea mapenzi 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu.
Sio tupashe, yaan ndo nimpe rasmi sasa.Mpashe kiporo kama shukrani sio.
Nakuambia ukwelii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Acha bhasi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anazingua dogo anajua wote tunashobokea mapenzi [emoji23][emoji23][emoji23]
Haina kurembaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo mpango mzima haina kushangaa [emoji23]
Aisee usikute ni mimi natafutwa nipewe rasmi kama shukrani na sijui.Sio tupashe, yaan ndo nimpe rasmi sasa.
Maana hatukuwahi fanya chochote, alikua km rafiki angu tyuu.
Hamna bana matunzo atapata 😂Nakuambia ukwelii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah, nimekuwa dogo tena😞!!, mbona ghafla sana isee , haya bibi sijui mama, halafu unakuta kitoto cha tisini au elfu mbili unaniita mzee mzima DOGO👨🏽🦳, JF🙌🏻😁Anazingua dogo anajua wote tunashobokea mapenzi 😂😂😂
😂😂😂 we mi age go, nimezaliwa mwaka mmoja na JK wa kwanza ohh.!!Dah, nimekuwa dogo tena😞!!, mbona ghafla sana isee , haya bibi sijui mama, halafu unakuta kitoto cha tisini au elfu mbili unaniita mzee mzima DOGO👨🏽🦳, JF🙌🏻😁
Mimi niliambiwa siendani nae hiyo ni baada ya kushauriwa na mashoga zake ety mimi sina swagga ety nanyoa kama babu, sivai pamba kali, nipo kama sipo 😂
njoo huku alitaka kunywa sumu kumbe Poor Brain dronedrake Intelligent businessmanMimi niliambiwa siendani nae hiyo ni baada ya kushauriwa na mashoga zake ety mimi sina swagga ety nanyoa kama babu, sivai pamba kali, nipo kama sipo 😂
Hisia ni mzigo mbaya 😄😄
Haya!!,Mshindi wewe👏🏼, kwa umri wangu ni kwamba “MKUBWA UKIVULIWA NGUO CHUTAMA” sijui miaka yenu hii ni vipi??,😂😂😂 we mi age go, nimezaliwa mwaka mmoja na JK wa kwanza ohh.!!
Mapenzi hayana udogo kikubwa kuweza kuyacontrol basi.!
Ila baadhi ya wanawake ni mafala sana, imagine naachwa ety kisa sivai modo na sinyoi kisahani 😂
😜 umenipa ushindi wa mezani?? Mi siutaki 😂😂😂Haya!!,Mshindi wewe👏🏼, kwa umri wangu ni kwamba “MKUBWA UKIVULIWA NGUO CHUTAMA” sijui miaka yenu hii ni vipi??,
Poor Brain dronedrakeMi wasichana wamtaani kwetu walikuwa wanadai bora wakae na magazeti kuliko kuwa na mahusiano na mimi (bonge la komwe halafu nilikuwa nimetitia,kafupii ,keusii).Hata huyu nilienae sasa hivi sijui kanipendea nini.Sina break up yoyote kwa sababu nilikuwa sitongozi .
[emoji23][emoji23][emoji23] wee sema kweli.Aisee usikute ni mimi natafutwa nipewe rasmi kama shukrani na sijui.
Wee thubutuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hamna bana matunzo atapata [emoji23]
Poor Brain dronedrakeMi wasichana wamtaani kwetu walikuwa wanadai bora wakae na magazeti kuliko kuwa na mahusiano na mimi (bonge la komwe halafu nilikuwa nimetitia,kafupii ,keusii).Hata huyu nilienae sasa hivi sijui kanipendea nini.Sina break up yoyote kwa sababu nilikuwa sitongozi .
Mi nliumia ile mara ya kwanza kupenda nlisota sio powa nlikuwa nalala usingizi flan ambao unakua umelala lakini Mtu akikuita unaitika, vinywaji vyote vilibadilika ladha mdomoni Mwangu, kila Kitu nliona kero hata Mkono wangu ukigusa shingo nliona kama nakereka usingizi hamna kbs