Brenda Mihanjo, msomi mwenye Masters aliyejikita kwenye ufundi seremala

Brenda Mihanjo, msomi mwenye Masters aliyejikita kwenye ufundi seremala

Alisoma masters ila anapenda bidhaa za mbao, sasa naster ya usimamizi wa fedha aliisoma kwa nini? Amekosa kazi ndio kaupenda uselemala,je angepata kazi kwa digrii yake angeenda VETA?
Tutafakari zaidi
 
Wee nawee 🤔

Mambo ya interior designing ni taaluma za watu etii , tena ni biashara kubwa. Tatizo wewe unawaza padogo na exposure huna unaonekana, we unakomalia kumfananisha na mafundi wa keko tatizo.

Taaluma yake ya biashara itamsaidia kukuza biashara yake, kuleta ubunifu n.k

Kuna stage mfanyabiashara hata Kama ni darasa la Saba atahitaji elimu tu ili biashara yake ikue zaidi. Hata Kama hajasoma itabidi aajiri watu wenye taaluma zao.
Ndio maana familia za wakina bakheresa na dewji ziliwapeleka watoto wao shule na vyuo vya gharama ili waje wasimamie biashara. Sasa kwanini wao hawakupotezea elimu kwa watoto wao

Hizo biashara na kampuni kubwa unazoziona zimekuzwa na kusimamiwa na wasomi. Hata Kama mmiliki ni std seven Kuna stages za biashara inabidi utafute watu na utaalamu wao wakushauri n.k amabao ni wasomi pia, wewe std seven unabaki Kama mbeba maono na kuangalia mambo yanaendaje.

Wasomi kinachowafelisha ni uoga wa kuanzia chini na kutake risk tu sio kwamba hawana akili msiwadharau ndio maana std seven wanawategemea kusimamia na kuwaendeshea biashara na kampuni zao.
Akina MOE walienda kusomea management, huyo kamaliza management kaenda ufundi. Kina Moe hawakusoma wawe mafundi umeme viwandani mwao.
Huyu mdada kama kweli ana master alitakiwa afanye biashara ya assets sio awe fundi. Interior design na fundi ni vitu viwili tofauti designer na fundi ni watu wawili tofauti na ni skills tofauti zinazofanya kazi pamoja.
Dio kila fundi ni designer na sio kila designer ni fundi.
Sio kila engineer ni fundi. Sio kila scientist ni fundi.
Halafu carpenter na interior design ni watu wawili tofauti.
Interio designer wanafanya mpaka mwenekano wa ndege,gari,train, meli.
Selmala anaishia nyumbani na ofisini basi akizidi hapo huyo atakuwa civil au mechanical engineer.
Uselemala ni low skill job aka vocational skill. Fani hii iliandaliwa kwa watu wa kawaida wasio na iq kubwa lakini inaweza kuwa part/ subset ya engineer in higher learning.
Msinilazimishe niichukulie kama fani nzito kama engineering, hio ni mahususi kwa drs7 na form four failure.
 
Ni pale unapowekeza kwenye Elimu kwa gharama kubwa...baadae unagundua umekosea uwekezaji
Angekuwa na nia kweli angesoma diploma ya ufindi yeye akaenda BCOM halafu akachange gia angan.
Miaka sita ukiwakeza kwenye technical skill unakuwa nondo vibaya unaweza unda hata computer au ndege.
Yeye alipenda biashara amegundua kuwa atakuwa anasimamia biashara za watu.
Binafsi mtu aliesoma course za sayansi akienda veta ajiongezee ujuzi simshangai maana hayo ni maeneo yake ya kujidai ila wa BCOM au Sociology atakuwa amepuyanga vibaya.
 
Angekuwa na nia kweli angesoma diploma ya ufindi yeye akaenda BCOM halafu akachange gia angan.
Miaka sita ukiwakeza kwenye technical skill unakuwa nondo vibaya unaweza unda hata computer au ndege.
Yeye alipenda biashara amegundua kuwa atakuwa anasimamia biashara za watu.
Binafsi mtu aliesoma course za sayansi akienda veta ajiongezee ujuzi simshangai maana hayo ni maeneo yake ya kujidai ila wa BCOM au Sociology atakuwa amepuyanga vibaya.
Unajuaje umekosea kabla ya kukosea kwanza?lazima ukosee ndipo ufanye marekebisho,wengine kweli wanafanikiwa kuanza na passion zao tangu wakiwa wadogo,mazingira yanawasapoti,Africa tunaanza kupata passion baada ya kutoka kwenye mifumo rasmi ya Elimu,
Si passion zote zinazaliwa mwanzoni tu katika utoto ,mimi kuna maeneo nimekuja kuwa interested sana baada ya kupata taarifa mitandaoni Kwa kutazama tu YouTube videos,documentary na kusomasoma makala , nikiwa nishamaliza chuo siku nyingi,
Na natamani Kwa moyo wote niingie huko ,lakini katika kitu nimekuja gundua ni rahisi kusonga mbele ni kuwekeza maarifa katika KUJUA vitu vingi haijalishi uko na umri Gani , na umesoma nini kwenye diploma au degree ,maarifa ni FULFILLING quest ya ubongo.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Unajuaje umekosea kabla ya kukosea kwanza?lazima ukosee ndipo ufanye marekebisho,wengine kweli wanafanikiwa kuanza na passion zao tangu wakiwa wadogo,mazingira yanawasapoti,Africa tunaanza kupata passion baada ya kutoka kwenye mifumo rasmi ya Elimu,
Si passion zote zinazaliwa mwanzoni tu katika utoto ,mimi kuna maeneo nimekuja kuwa interested sana baada ya kupata taarifa mitandaoni Kwa kutazama tu YouTube videos,documentary na kusomasoma makala , nikiwa nishamaliza chuo siku nyingi,
Na natamani Kwa moyo wote niingie huko ,lakini katika kitu nimekuja gundua ni rahisi kusonga mbele ni kuwekeza maarifa katika KUJUA vitu vingi haijalishi uko na umri Gani , na umesoma nini kwenye diploma au degree ,maarifa ni FULFILLING quest ya ubongo.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Ulikosa information ! hio sikatai.
Binafsi niliweka passion kwenye jambo nalolipenda na nililipigania mpaka kulipata.
Kukosa jambo kwa ujinga si jambo zuri ola kukosa jambo kwa kuwa huna uwezo wa kitaaluma au pesa is not your fault.
Passion hujengwa kuanzia sekondari hasa miaka niliokua mimi.
Lakini kuna theory of career development, hizo theory zimepropose sababu nyingi za watu ku develop their career.
Mojawapo ni kwamba career development is not static but dynsmic, ie people change their career due to different reason.
Lakini ile career ya kwanza huwa ndio chaguo la mtu alilolilenga kwa muda mrefu.
Huwezi nishawishi kuwa mtu amalize hadi form six bado hajui ndoto yake. Kama darasa zima mnasoma tu hamjadili fani mbalibali za kujiunga baada ta kuhitimu basi basi hamkuwa serious na mlikuwa mna (vavuum).
Career development is a process na inajengwa taratibu na walimu, wazazi, ndugu, majirani, marafiki magazeti, vitabu, hadithi mitandao(siku hizi).
Wewe kuja kujua career ukubwani sio exchuse bali ni uzembe wako tu.
Jitahidi uwaongoze ndugu zako na watoto wako wasikosee kama wewe japo sitaki kukuamini sana.
Halafu usichanganye vipato vya kazi na passion.
Remember the maximum age to know your passion ni miaka 35.
 
Ulikosa information ! hio sikatai.
Binafsi niliweka passion kwenye jambo nalolipenda na nililipigania mpaka kulipata.
Kukosa jambo kwa ujinga si jambo zuri ola kukosa jambo kwa kuwa huna uwezo wa kitaaluma au pesa is not your fault.
Passion hujengwa kuanzia sekondari hasa miaka niliokua mimi.
Lakini kuna theory of career development, hizo theory zimepropose sababu nyingi za watu ku develop their career.
Mojawapo ni kwamba career development is not static but dynsmic, ie people change their career due to different reason.
Lakini ile career ya kwanza huwa ndio chaguo la mtu alilolilenga kwa muda mrefu.
Huwezi nishawishi kuwa mtu amalize hadi form six bado hajui ndoto yake. Kama darasa zima mnasoma tu hamjadili fani mbalibali za kujiunga baada ta kuhitimu basi basi hamkuwa serious na mlikuwa mna (vavuum).
Career development is a process na inajengwa taratibu na walimu, wazazi, ndugu, majirani, marafiki magazeti, vitabu, hadithi mitandao(siku hizi).
Wewe kuja kujua career ukubwani sio exchuse bali ni uzembe wako tu.
Jitahidi uwaongoze ndugu zako na watoto wako wasikosee kama wewe japo sitaki kukuamini sana.
Halafu usichanganye vipato vya kazi na passion.
Remember the maximum age to know your passion ni miaka 35.
Hakuna maximum age ya kufaham,(kujua),popote waweza kuanza na Kwa umri wowote na ukafika ,maisha sio BLACK and WHITE kama unavyotaka kuyaweka hapa ,kwenye maisha hakuna set of rules kwamba lazima ufanye hivi tu ndio ufike pale ,yaani unaweza ukapiga kakona kidogo tu kwenye choices zako kakakupeleka mahala hujawahi kudhani ,nawafaham watu waliopata nafuu ya maisha Kwa kozi ya miezi 3 kuliko degree ya miaka mitano ilivyowapa ,

Mwisho kabisa hutakiwi kuniamini kama ulivyosema ,,I AM NOT A PROPHET.


Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna maximum age ya kufaham,(kujua),popote waweza kuanza na Kwa umri wowote na ukafika ,maisha sio BLACK and WHITE kama unavyotaka kuyaweka hapa ,kwenye maisha hakuna set of rules kwamba lazima ufanye hivi tu ndio ufike pale ,yaani unaweza ukapiga kakona kidogo tu kwenye choices zako kakakupeleka mahala hujawahi kudhani ,nawafaham watu waliopata nafuu ya maisha Kwa kozi ya miezi 3 kuliko degree ya miaka mitano ilivyowapa ,

Mwisho kabisa hutakiwi kuniamini kama ulivyosema ,,I AM NOT A PROPHET.


Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Max age to know your talent.Hizo ni tafiti sio mimi, kama unabishana nazo sawa nawe inabidi uje na tafiti zako zinazoonesha watu waliogundua vipaji vyao wakiwa na miaka 35+ na wakafanikiwa.
Waliofanikuqa wengi waligunfua vipaji vyso katika umri mfogo, mifo
Michael Jackson miaka 5+
Mesi,Ronaldo, Albert Einstrin, Mark zuckeberg, Billgates, Jackmah, Dangote Elon Mdk, Masufi kopsnta, Efibili Luntamola,Mbwana Samata,Magufuli,Nyerere,Samia,Jafo, Mwakinyo, Matumla,Muhamad Ally,Tyson,. Moe,Mengi nk
Unaweza nipa mifano kama hao magwiji waliofanikuw wakiwa na 40,50_60.
 
Angekuwa na nia kweli angesoma diploma ya ufindi yeye akaenda BCOM halafu akachange gia angan.
Miaka sita ukiwakeza kwenye technical skill unakuwa nondo vibaya unaweza unda hata computer au ndege.
Yeye alipenda biashara amegundua kuwa atakuwa anasimamia biashara za watu.
Binafsi mtu aliesoma course za sayansi akienda veta ajiongezee ujuzi simshangai maana hayo ni maeneo yake ya kujidai ila wa BCOM au Sociology atakuwa amepuyanga vibaya.
What if kesho na keshokutwa akawa na kampuni kubwa yenye revenue za kushato

Je hio bcom yake haita tumika ku manage hio biashara

Usiwe unaangalia hapa hapa tu angslia na mbele
 
What if kesho na keshokutwa akawa na kampuni kubwa yenye revenue za kushato

Je hio bcom yake haita tumika ku manage hio biashara

Usiwe unaangalia hapa hapa tu angslia na mbele
Hata wale wasio na master tayari wapo wenye kampuni, hivyo kuwa na kampuni sio kwa sababu ya kuwa master ya BBA ingekuwa hivyo kampuni zingekuwa nyingi sana maana wenye BBA ni wengi sana.
Unatoka master unarudi VETA nyie acheni utani ! Ipo siku tutaona mtu ana Phd yupo veta halafu akashangiliwa na watu wa JF!
Tumieni muda vizuri.
Hakikisha unaelimika vizuri ukiwa chuoni.
Hakikisha unatumia elimu yako vuzuri kubuni kazi.
Soma vocational skill muda wa likizo kama huna hela ya chuo nenda workshop ujifunze kwa vitendo kila likizo.
Chagua masomo vizuri ili usije rudia hatua nyuma.
Acheni kusoma kwa mihemko.
Tumieni career developer/ phychologist / mentor/ gurus/ Teachers/ ndugu kuwapa muongozo mzuri.
Tumieni mitandao vixuri kupata mwongozo sio kujifnya unajua nwishowe unakosea.
Kuna baadhi ya vijana wanaitumulia mitandao vizuri maana huuliza na kuomba ushauri kabka hawajasoma au kabla ya kwenda master hivyo wengine muige.
 
Akina MOE walienda kusomea management, huyo kamaliza management kaenda ufundi. Kina Moe hawakusoma wawe mafundi umeme viwandani mwao.
Huyu mdada kama kweli ana master alitakiwa afanye biashara ya assets sio awe fundi. Interior design na fundi ni vitu viwili tofauti designer na fundi ni watu wawili tofauti na ni skills tofauti zinazofanya kazi pamoja.
Dio kila fundi ni designer na sio kila designer ni fundi.
Sio kila engineer ni fundi. Sio kila scientist ni fundi.
Halafu carpenter na interior design ni watu wawili tofauti.
Interio designer wanafanya mpaka mwenekano wa ndege,gari,train, meli.
Selmala anaishia nyumbani na ofisini basi akizidi hapo huyo atakuwa civil au mechanical engineer.
Uselemala ni low skill job aka vocational skill. Fani hii iliandaliwa kwa watu wa kawaida wasio na iq kubwa lakini inaweza kuwa part/ subset ya engineer in higher learning.
Msinilazimishe niichukulie kama fani nzito kama engineering, hio ni mahususi kwa drs7 na form four failure.
Sasa utakuaje designer na hujui fundi anatakiwa afanye nini ? Lazima uwe na basics ili umueleze na kumuelekeza fundi nini unataka kitoke.

Yeye Alitakaka biashara ya kutengeneza na kuuza bidhaa za mbao, akaanza na kusaidiana na mafundi. Unajua biashara nyingi tunazoanzia chini au mtaji mdogo au wa kati mara nyingi Sana unajikuta Kila kitu unafanya mwenyewe fundi wewe, sales wewe, n.k ndio iko hivyo kwa huyo dada. Kwahiyo sijaona shida kwa yeye kwenda veta Kupata ujuzi wa bidhaa anazotaka kutengeneza.

Inachotakiwa Ni kichwani au maono yako unaona nini ! Haijalishi umeanzaje . Ndoto ya dada iko clear kabisa kwamba anaona kiwanda cha bidhaa za mbao. Na hiyo elimu yake ya biashara ata-apply humo .
Sasa Mimi sijaona kitu cha kukompleini na kushangaa hapo.

Hata Kama angekua hajasomea biashara labda kasomea udaktari akaamua kuingia Kwenye useremala bado sioni tatizo sababu watu huwa interests zinabadilika, kuna fursa mpya Kila siku, huwezi kujua fursa ya kusoma nje ya nchi imembadilishaje mtazamo n.k

Ni kitu cha kawaida Sana watu kubadilisha muelekeo wa careers, biashara, mtazamo n.k huwezi kusema mtu kapoteza muda bali kajifunza kitu. Kila siku ni fursa ya kujifunza na kujitathimini hata Kama tunajifunza kwa njia ngumu.

Kwangu sioni tatizo kwa bidada. Nampongeza kwa kuanzisha biashara yake, amesema anataka apanue karakana yake na aajiri vijana zaidi. Kwahiyo elimu yake imemsaidia hata Kama ni tofauti na anachofanya sasa alieelimika kaelimika tu haijalishi Ni katika field gani .
Wewe unaona ufundi seremala Kama wa fundi maiko ,ila mwenzio vision yake ni kiwanda anawaza pa kubwa haijalishi ameanzaje. Kwahiyo tofauti yako na yeye inaanzia Kwenye mtazamo.
 
Angekuwa na nia kweli angesoma diploma ya ufindi yeye akaenda BCOM halafu akachange gia angan.
Miaka sita ukiwakeza kwenye technical skill unakuwa nondo vibaya unaweza unda hata computer au ndege.
Yeye alipenda biashara amegundua kuwa atakuwa anasimamia biashara za watu.
Binafsi mtu aliesoma course za sayansi akienda veta ajiongezee ujuzi simshangai maana hayo ni maeneo yake ya kujidai ila wa BCOM au Sociology atakuwa amepuyanga vibaya.
Kwahiyo mtu ukisoma course za biashara maana yake Akasimamie biashara za watu ? Hii imeendikwa wapi.

Kama ni hivyo na hao wana sayansi wagunduzi basi waache kuvumbua wawe wanasimamia ya watu .... Au ulikua unamaanisha nini ?

Umejikorogaa hapa
 
Ulikosa information ! hio sikatai.
Binafsi niliweka passion kwenye jambo nalolipenda na nililipigania mpaka kulipata.
Kukosa jambo kwa ujinga si jambo zuri ola kukosa jambo kwa kuwa huna uwezo wa kitaaluma au pesa is not your fault.
Passion hujengwa kuanzia sekondari hasa miaka niliokua mimi.
Lakini kuna theory of career development, hizo theory zimepropose sababu nyingi za watu ku develop their career.
Mojawapo ni kwamba career development is not static but dynsmic, ie people change their career due to different reason.
Lakini ile career ya kwanza huwa ndio chaguo la mtu alilolilenga kwa muda mrefu.
Huwezi nishawishi kuwa mtu amalize hadi form six bado hajui ndoto yake. Kama darasa zima mnasoma tu hamjadili fani mbalibali za kujiunga baada ta kuhitimu basi basi hamkuwa serious na mlikuwa mna (vavuum).
Career development is a process na inajengwa taratibu na walimu, wazazi, ndugu, majirani, marafiki magazeti, vitabu, hadithi mitandao(siku hizi).
Wewe kuja kujua career ukubwani sio exchuse bali ni uzembe wako tu.
Jitahidi uwaongoze ndugu zako na watoto wako wasikosee kama wewe japo sitaki kukuamini sana.
Halafu usichanganye vipato vya kazi na passion.
Remember the maximum age to know your passion ni miaka 35.
Wee nawe ... tatizo umekariri Sana yaani umezoea kumeza madesa..

mambo mengine mtu anakuja kuwa na interest nayo baadae sio lazima akiwa mdogo shule sijui chuo,
Mambo yanabadilika Kila siku kadiri technology inavyokua na hivyo hivyo skills mpya zinazaliwa.

Pengine happy kabla sikupenda useremala Wala sikua na passion Wala wazo la useremala lakini mabadiliko ya technology yakanifanya nivutiwe na sekta hiyo.

Vitu vingine unajikuta unavipenda au kuwa na interest navyo kadri siku zinavyoenda Kama huyo ndugu hapo juu amesema YouTube, kuangalia documentary kumemsababishia kuvutiwa na vitu vipya
 
Thank yuuuuu
Hakuna maximum age ya kufaham,(kujua),popote waweza kuanza na Kwa umri wowote na ukafika ,maisha sio BLACK and WHITE kama unavyotaka kuyaweka hapa ,kwenye maisha hakuna set of rules kwamba lazima ufanye hivi tu ndio ufike pale ,yaani unaweza ukapiga kakona kidogo tu kwenye choices zako kakakupeleka mahala hujawahi kudhani ,nawafaham watu waliopata nafuu ya maisha Kwa kozi ya miezi 3 kuliko degree ya miaka mitano ilivyowapa ,

Mwisho kabisa hutakiwi kuniamini kama ulivyosema ,,I AM NOT A PROPHET.


Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom