Brevis inahitajika ofa ml 5

Brevis inahitajika ofa ml 5

ni kweli kabisa lakini kwa hiyo gari unayotaka kwa milioni 5 bado ni ndogo sana mdogo wangu. anyway unaweza kuuziwa kulingana na shida ya muuzaji. utaipata usijali

Ahsante kwa kuonesha uungwana maana wapo watu kaziyao kukatisha watu tamaa
 
huwez kosa brevis kwa bei hiyo endelea kuuliza had fb kwenye ma page husika kule kuna watu zimewachosha hawaez zihudumia hivo utapata
 
JF mahala pa ajabu sana, juzi kuna thread ili trend ya kuichana Brevis kwamba siku hizi hazina thamani, haziuziki kwa sababu engine kubwa. Leo mnasema bei yake sokoni bila milioni nane, tisa hupati. Kwa hiyo kumbe zinauzika?

Mwanangu komaa na hiyo milioni 5 wakitoa machozi waongeze milioni unusu unapata Brevis, hawawezi kuringa, gari lenyewe engine kubwa, zinakula mafuta, vipuri viko juu na haziuziki, wameyasema wenyewe, you control the negotiation.
 
komaa mkuu wanao sema uwape milion 8 kuendelea watakuwa madalali wanataka wapige cha juu
 
Habar wana jamvi nahitaji brevis rangi yoyote cc 2500 namba ianzie C ila ikiwa D itapendeza mwenye nayo aje pm ofa ml 5
Mkuu Fikiria upya kabla hujanunua Brevis, utaanza kujutia uamuzi wako ndani ya masaa 24 Baada ya kuanza kuitumia!
 
Unaanza kumtisha mkuu?Usikute unampiga mikwara kisa inaenda lita 1 km 6 labda.
Nimewahi kuwa na hii gari mkuu,
Ni kweli gari Iko very comfortable, Ina matatizo machache sana ingawa sio makubwq km Uko vizuri.

Moja, hii gari inakula sana mafuta.
Pili Iko very delicate, impact ndogo tu inafanya gari isitazamike, Ile body yake ni km plastic.
Ukiendesha ndani ya mwaka km sio mtunzaji wa gari, Utafikiri Ina miaka 3.

La mwisho, hizo gari huwa haziuziki, ukinunua uwe tayari ikufie mkononi.

Ushauri:

Ikiwa anataka hii gari, ni Bora atafute mpya sio used, juzikati nilipita kule bahari beach kwny yard yq Yono, wanazo nyingi sana zinauzwa, kwa 9m wanaweza kukupa gari mpya kabisa!
 
Nimewahi kuwa na hii gari mkuu,
Ni kweli gari Iko very comfortable, Ina matatizo machache sana ingawa sio makubwq km Uko vizuri.

Moja, hii gari inakula sana mafuta.
Pili Iko very delicate, impact ndogo tu inafanya gari isitazamike, Ile body yake ni km plastic.
Ukiendesha ndani ya mwaka km sio mtunzaji wa gari, Utafikiri Ina miaka 3.

La mwisho, hizo gari huwa haziuziki, ukinunua uwe tayari ikufie mkononi.

Ushauri:

Ikiwa anataka hii gari, ni Bora atafute mpya sio used, juzikati nilipita kule bahari beach kwny yard yq Yono, wanazo nyingi sana zinauzwa, kwa 9m wanaweza kukupa gari mpya kabisa!
Nadhani kwa faida ya wengi kwa hii comment yako atakua ameelewa kwanini anunue/asinunue brevis.Thnxs

Ila hizi habari za jini mafuta zimefanya magari mengi kuuzwa kwa pesa ndogo sana wkt ni magari mazuri tu.Mfano Gx 100
 
Back
Top Bottom