Brevis inahitajika ofa ml 5

Brevis inahitajika ofa ml 5

JF mahala pa ajabu sana, juzi kuna thread humu ili trend ya kuichana Brevis kwamba siku hizi hazina thamani, haziuziki kwa sababu ya mafuta, engine kubwa. Leo mnasema bei yake ya sokoni bila milioni nane, tisa hupati. Kwa hiyo kumbe huwezi kukwama na Brevis, ukitangaza saba anauza mchana huo huo kwenye soko la 8 mpaka 9.

Mwanangu komaa na hiyo milioni 5 wakitoa machozi wape milioni unusu nyingine unapata Brevis, hawawezi kuringa, gari zinakula mafuta na haziuziki, you control the negotiation.

Ahsante mkuu
 
Mkuu Fikiria upya kabla hujanunua Brevis, utaanza kujutia uamuzi wako ndani ya masaa 24 Baada ya kuanza kuitumia!

Mkuu brevis nazifaham na nlikua nayo siwezi juta kama ntapata nayotaka
 
Nimewahi kuwa na hii gari mkuu,
Ni kweli gari Iko very comfortable, Ina matatizo machache sana ingawa sio makubwq km Uko vizuri.

Moja, hii gari inakula sana mafuta.
Pili Iko very delicate, impact ndogo tu inafanya gari isitazamike, Ile body yake ni km plastic.
Ukiendesha ndani ya mwaka km sio mtunzaji wa gari, Utafikiri Ina miaka 3.

La mwisho, hizo gari huwa haziuziki, ukinunua uwe tayari ikufie mkononi.

Ushauri:

Ikiwa anataka hii gari, ni Bora atafute mpya sio used, juzikati nilipita kule bahari beach kwny yard yq Yono, wanazo nyingi sana zinauzwa, kwa 9m wanaweza kukupa gari mpya kabisa!

Ahsante kwa ushauri ila tambua brevis zipo injini mbili tofauti kuna 1jz wengi wanaita 2.5 na 2jz wengi wanaita 3.0 mimi nataka hii 1jz wengi tunaita injini ndogo kitu chochote matunzo hata ukiwa na hard top kama huna matunzo itachoka mapema
 
Mkinunua mabrevis badilisheni oxygen sensor zote nozel na spark plugs wekeni genuine mpya..brevis inakula mafuta KAWAIDA narudi tena KAWAIDA..breviz inakula 12.7km/litre 2500cc kuzidi mark ii grand yenye 1990cc ambayo ni 10km/litre ..brevis inatumia sensor kucontrol mafuta sensor ikichoka inakunywa sana..thats d4 technology...watu wanamezeshana sumu mfano crester 2000 beam vvti engine inaenda 5.6litre /100km ambayo ni 16km/litre..tanzania mambo huenda kwa kiki wala sio utafiti..jiulize kwanini hawasemi mark x inakula sana mafuta wanasema brevis haliyakuwa ulaji ni sawa?.
 
Brevis anapata hata kwa Mil 6 watu wanaziuza sana na ni nzima kabisa. USINUNUE BREVIS MIL 9 UTAKUWA UNAIBIWA MCHANA KWEUPE.MIL 5.5 - 7 UNAPATA BREVIS.
Achana na hizo za Mil 9 ni wizi tu huo.
 
Brevis anapata hata kwa Mil 6 watu wanaziuza sana na ni nzima kabisa. USINUNUE BREVIS MIL 9 UTAKUWA UNAIBIWA MCHANA KWEUPE.MIL 5.5 - 7 UNAPATA BREVIS.
Achana na hizo za Mil 9 ni wizi tu huo.
Hizi mbolea hazina Bei kabisa.

Sasa jiulize Kwann kila anaetumia brevis anatamani kuiuza?

Nilichogundua, wengi wanaonunua hizi gari ni wale wanaonunua gari kwa Mara ya kwanza, au hawana experience yyt na magari, au wananunua sababu ya mkumbo!
 
Hizi mbolea hazina Bei kabisa.

Sasa jiulize Kwann kila anaetumia brevis anatamani kuiuza?

Nilichogundua, wengi wanaonunua hizi gari ni wale wanaonunua gari kwa Mara ya kwanza, au hawana experience yyt na magari, au wananunua sababu ya mkumbo!
Wamezoea Kuweka Mafuta ya Elfu Kumi ndio maana wanalalamika zinakula Mafuta sasa walitaka zinywe nini Supu ya Pweza
 
Back
Top Bottom