Kupata unaweza kupata ila kwa Muda Gani ndio mtihani Na Pia Unaweza kupata Kama wewe Uangalii NAMBA bali unatazama ubora wa gari Lakini Kama ni Namba unaangalia Utachukua Muda mrefu kuipataWadau, hivi kwa mtaji wa m12 hadi 13 naweza kumvua mtu Kluger iliyo ktk hali nzuri?? Nina wazo la kuimiliki hiyo ndinga.
OK.. nikiwa tayari ntaweka hadharani..Kupata unaweza kupata ila kwa Muda Gani ndio mtihani Na Pia Unaweza kupata Kama wewe Uangalii NAMBA bali unatazama ubora wa gari Lakini Kama ni Namba unaangalia Utachukua Muda mrefu kuipata
Unaweza kuweka picha za hiyo gari hapa?Ipo brevis namba d ,milioni tano,Kama bado haujapata nicheki
Nishauza mkuu
Hahaahahahaa,sasa hivi yanauzwa hadi m 4mtu atakuuzia kama ana shida lakini kwa hiyo bei mmh
Ni mimi nilikuja na picha za brevis imeapata ajari. Wakanivunja moyo mpaka nikachanganyikiwa. Kifupi niliichinja kwa milioni 3 na laki 8 wakati watu wallitaka kwa milioniJF mahala pa ajabu sana, juzi kuna thread ili trend ya kuichana Brevis kwamba siku hizi hazina thamani, haziuziki kwa sababu engine kubwa. Leo mnasema bei yake sokoni bila milioni nane, tisa hupati. Kwa hiyo kumbe zinauzika?
Mwanangu komaa na hiyo milioni 5 wakitoa machozi waongeze milioni unusu unapata Brevis, hawawezi kuringa, gari lenyewe engine kubwa, zinakula mafuta, vipuri viko juu na haziuziki, wameyasema wenyewe, you control the negotiation.
Ipo hii 4.8mMkuu ntapata hata kwakuongeza pesa kidogo