Brigadier Ahmed Takadiri Kitete: Shujaa aliyepiganisha vita toka Kagera mpaka Koboko alikozaliwa Idi Amin

Brigadier Ahmed Takadiri Kitete: Shujaa aliyepiganisha vita toka Kagera mpaka Koboko alikozaliwa Idi Amin

Mkuu ulichoeleza ni sahihi kabisa na umeleta kumbu kumbu nzuri sana.
Baada ya vita huyu kamanda Kitete alikuwa maarufu nadhani kifo chake kilichotokea mapema kimechangia sana jina lake kutosikika. Nakumbuka ilikuwa kawaida kusikia ''supersonic'' au kumsikia Kitete.

Kuna tatizo kubwa sana katika kuweka kumbu kumbu za vita ya Kagera. Wapo watu walioshiriki na michango yao haielezwi. Tungewatumia akina Major General Msuya ambaye yupo kuweka kumbu kumbu sawa sawa.

Msuya naye ni kama Kitete, ushiriki wake hasa kuteka Kampala hauelezwi vema. Ni wachache sana wanaojua

Kuna askari kama akina Brigedia Ambrose Bayeke, huyu alikuwa na cheo kidogo wakati wa vita, lakini alipanda sana hata kuongoza vikosi vyetu kule Kongo. Ni watu wenye hazina ya historia ya JWTZ. Sijui yupo wapi

Mwingine ni Major general Maneno, naye kama Bayeke alikuwa ni afisa wa ngazi za kati.

Pengine washauriwe kuandika 'memoir ' na JWTZ iwasaidia katika kufanikisha hilo.

Nilimshauri Pascal Mayalla kupitia ''Media yake ya PP'' aandae documentary ya vita.

Nadhani Ambrose Bayeke ana mchango mkubwa ktk phase ya kwanza ya kuyatoa majeshi ya uvamizi ktk ardhi yetu.

Nasema hivyo kwasababu nimeona kuna mpaka picha za Bayeke akim-brief Mwalimu Nyerere alipowatembelea askari waliokuwa mstari wa mbele.

Kumbukumbu ya mwisho ya Brigadier.Ambrose Bayeke ni alipokuwa parade commander wa magwaride yote makubwa.
 
..fikiria kwa mfano Waisraeli walivyoandika kuhusu Entebe Raid.

..Watanzania tunaweza kuandika kuhusu mapigano ya Lukaya. Bila kuwapiga vibaya Walibya pale Lukaya huenda historia yetu, na matokeo ya vita vya Uganda, ingekuwa tofauti.

..Pia kuna mapigano ya Sembabule ambayo yalikuwa ya muda mrefu, wiki tatu, na kuna wakati Jwtz walikuwa wameelemewa, but somehow they pulled through.

..hiyo ni kwa upande wa vita vya Uganda. Sasa kuna vita vya Msumbiji, operation za Comoro I & II, na operation ya Seychelles.
Seychelles, Meja Jenerali Ngwilizi ndio aliongoza mapambano? Na msumbiji he?
 
..Nadhani Ambrose Bayeke ana mchango mkubwa ktk phase ya kwanza ya kuyatoa majeshi ya uvamizi ktk ardhi yetu.

..nasema hivyo kwasababu nimeona kuna mpaka picha za Bayeke akim-brief Mwalimu Nyerere alipowatembelea askari waliokuwa mstari wa mbele.

..kumbukumbu ya mwisho ya Brigadier.Ambrose Bayeke ni alipokuwa parade commander wa magwaride yote makubwa.
Role ya Brigadier Kabunda je?
 
Its true, linawezekana haswa kwa kuzingatia mimi mwenyewe baada ya JKT, nilikwenda straight JWTZ,
Kati ya kazi ngumu sana za utengenezaji documentary, ni documentary za vita. Kuna waandishi waliokuwa front line wawili nawakumbuka walikuwa AVI, Dickson Saileni na Dick Kaombwe, ila pia changamoto ni nyingi, inahitaji
1. Passion
2. Dedication
3. Commitment
4. Equipments
5. Contents Resourceful personnel
6. Financial Resources
7. Logistics
Kwa fani yetu high season hutokea mara moja kila baada ya miaka 5, by now mawazo yote ni October, ila everything is possible.
P
Tumuwezesheni Pasko aifanye hii kazi.
 
Mkuu Nguruvi3, nimelipokea, nitalifanyia kazi.
P

..ktk waandishi ambao wana viwango na wanaoweza kuitendea haki historia hii ni wewe.

..ila TIME is not on your side. Most senior commanders wa vita vya Kagera wametangulia mbele za haki.

..ambao bado wapo ni Gen.David Musuguri, Gen.Tumainieli Kiwelu, Gen.Robert Mboma, na Lt.Gen.Martin Mwakalindile.

..yupo pia Brig.Gen.Lupembe ambaye ana habari nyingi sana za Uganda kwasababu alikuwa msaidizi wa Gen.Musuguri wakati wa vita. Lupembe aliwahi kuhojiwa na magazeti ya Uganda and he was very resourceful.
 
..ktk waandishi ambao wana viwango na wanaoweza kuitendea haki historia hii ni wewe.

..ila TIME is not on your side. Most senior commanders wa vita vya Kagera wametangulia mbele za haki.

..ambao bado wapo ni Gen.David Musuguri, Gen.Tumainieli Kiwelu, Gen.Robert Mboma, na Lt.Gen.Martin Mwakalindile.

..yupo pia Brig.Gen.Lupembe ambaye ana habari nyingi sana za Uganda kwasababu alikuwa msaidizi wa Gen.Musuguri wakati wa vita. Lupembe aliwahi kuhojiwa na magazeti ya Uganda and he was very resourceful.

Brigadier General Lupembe ameshatangulia mbele ya haki. Brigadia Gen. Kabunda niliwahi kusikia kwenye banda la sabasaba la jeshi, wamba ndio waliovuka mto kwenda upande wa pili ili daraja liweze kujenga. Naamini inawezekana alikuwa ni special force operator.

All in all, hizi zisiwe hadithi za kusimuliwa tena. Ziandikwe ili watu wengi wazisome na kuelewa. Uzalendo unajengwa. Most of them would be the future role models
 
..ktk waandishi ambao wana viwango na wanaoweza kuitendea haki historia hii ni wewe.

..ila TIME is not on your side. Most senior commanders wa vita vya Kagera wametangulia mbele za haki.

..ambao bado wapo ni Gen.David Musuguri, Gen.Tumainieli Kiwelu, Gen.Robert Mboma, na Lt.Gen.Martin Mwakalindile.

..yupo pia Brig.Gen.Lupembe ambaye ana habari nyingi sana za Uganda kwasababu alikuwa msaidizi wa Gen.Musuguri wakati wa vita. Lupembe aliwahi kuhojiwa na magazeti ya Uganda and he was very resourceful.
Usiishie hapo

Tuna makabrasha ya taarifa za vita kwenye briefing Kwa Nyerere, tuna waanshishi wa habari WA enzi zile bado wapo... Akina Mzee Nyang'anyi watakua na appt of good materials

Makumbusho ya taifa, chuo kikuu, CIA files NK

Mimi ningependa kuchangia hii kitu kama tunahitaji fedha

Hizi ndio hazina za taifa

We need to protect our history
 
..Nadhani Ambrose Bayeke ana mchango mkubwa ktk phase ya kwanza ya kuyatoa majeshi ya uvamizi ktk ardhi yetu.

..nasema hivyo kwasababu nimeona kuna mpaka picha za Bayeke akim-brief Mwalimu Nyerere alipowatembelea askari waliokuwa mstari wa mbele.

..kumbukumbu ya mwisho ya Brigadier.Ambrose Bayeke ni alipokuwa parade commander wa magwaride yote makubwa.
Inawezekana kabisa kwasababu mwaka 1988 alikuwa Brigedia , sasa ukiangalia ni miaka 10 tu baada ya vita nadhani wakati huo alikuwa meja au Lt Colonel. Na wakati ule captain alikuwa mkubwa sana kwasababu majenerali walikuwa si zaidi ya 3. Kwahiyo utakuwa sahihi kwamba alikuwa ana brief mwalimu

Kuhusu Magwaride, nilipata fursa ya kumuona kwa ukaribu akiwa na askari wake wakati tunwahudumia kama Raia. Askari walimpenda sana kwa wale waliofanya naye kazi

Mara ya mwisho alikuwa kiongozi wa majeshi ya Tanzania nchini Kongo na mwambata wa kijeshi wakati wa Kabila.

Baada ya hapo sijamsikia tena nadhani kastaafu , kama yupo mwenye taarifa zake, tafadhali.
 
Its true, linawezekana haswa kwa kuzingatia mimi mwenyewe baada ya JKT, nilikwenda straight JWTZ,
Kati ya kazi ngumu sana za utengenezaji documentary, ni documentary za vita. Kuna waandishi waliokuwa front line wawili nawakumbuka walikuwa AVI, Dickson Saileni na Dick Kaombwe, ila pia changamoto ni nyingi, inahitaji
1. Passion
2. Dedication
3. Commitment
4. Equipments
5. Contents Resourceful personnel
6. Financial Resources
7. Logistics
Kwa fani yetu high season hutokea mara moja kila baada ya miaka 5, by now mawazo yote ni October, ila everything is possible.
P
Mkuu hili ni la kujaribu , lina 'masilahi' mapana ya umma. Try it . Nina uhakika unaweza kupata msaada mzuri kutoka JWTZ kwasababu ni wadau wakubwa na kazi nzima inawahusu.
Kuna Tanzania Film, kuna 'museum' n.k. Kitu muhimu ni kujipanga, kupanga hoja za project, ku identify wahusika na wapi unaweza kupata resources. P wewe ni wa hapa mjini bwana!

Inawezekana, jaribu. Itakuwa na gharama nyingi za resources n.k. lakini ni jambo muhimu na zuri sana kwa nchi.
 
Mkuu hili ni la kujaribu , lina 'masilahi' mapana ya umma. Try it . Nina uhakika unaweza kupata msaada mzuri kutoka JWTZ kwasababu ni wadau wakubwa na kazi nzima inawahusu.
Kuna Tanzania Film, kuna 'museum' n.k. Kitu muhimu ni kujipanga, kupanga hoja za project, ku identify wahusika na wapi unaweza kupata resources. P wewe ni wa hapa mjini bwana!

Inawezekana, jaribu. Itakuwa na gharama nyingi za resources n.k. lakini ni jambo muhimu na zuri sana kwa nchi.
Ok Mkuu Nguruvi3, naihesabu hii kama info tip,
Natakiwa kutulia na kuifanyia brainstorming then come out with something, a good thing about this it's not a very urgent issue, hivyo inapangika, kwa sasa resources zote ni kwenye how to deal with Corona followed by its impending economic recession.
Corona iki settles and life comes back to normal, acha tufujuzie October issue kwasababu huko ndiko all the coffers zimefungulia milango yake.
Uzalendo mwingine ni very expensive, unaweza kujikuta unalazimika kuwa na upendo wa mshumaa kumulikia wengine huku kwako kunateketea.
P
 
Mkuu Ndahani, asante kwa huu wimbo. Hii ni kazi ya Zahir Ally Zorro akiwa na bendi ya JKT Kimbunga Stereo.
Kiukweli ni moja ya nyimbo zenye very good lyrics na umetulia. Hizi ni enzi za uzalendo. Zahir yupo, naweza kumpata, wakati wa Vita vya Kagera, Zahir alikuwa Coplo wa Jeshi.
P
Anko hebu Fanya kitu khs hii
 
Mkuu ulichoeleza ni sahihi kabisa na umeleta kumbu kumbu nzuri sana.
Baada ya vita huyu kamanda Kitete alikuwa maarufu nadhani kifo chake kilichotokea mapema kimechangia sana jina lake kutosikika. Nakumbuka ilikuwa kawaida kusikia ''supersonic'' au kumsikia Kitete.

Kuna tatizo kubwa sana katika kuweka kumbu kumbu za vita ya Kagera. Wapo watu walioshiriki na michango yao haielezwi. Tungewatumia akina Major General Msuya ambaye yupo kuweka kumbu kumbu sawa sawa.

Msuya naye ni kama Kitete, ushiriki wake hasa kuteka Kampala hauelezwi vema. Ni wachache sana wanaojua

Kuna askari kama akina Brigedia Ambrose Bayeke, huyu alikuwa na cheo kidogo wakati wa vita, lakini alipanda sana hata kuongoza vikosi vyetu kule Kongo. Ni watu wenye hazina ya historia ya JWTZ. Sijui yupo wapi

Mwingine ni Major general Maneno, naye kama Bayeke alikuwa ni afisa wa ngazi za kati.

Pengine washauriwe kuandika 'memoir ' na JWTZ iwasaidia katika kufanikisha hilo.

Nilimshauri Pascal Mayalla kupitia ''Media yake ya PP'' aandae documentary ya vita.
Tanzania tunayo hazina kubwa sana ya Makamanda wenye sifa zinazostahili kuigwa na Mataifa mengine hasa kwenye nyanja ya Kijeshi kuna watu walifanya vitendo vya kishujaa kwa weledi wa hali ya juu sana.Tatizo kubwa sana lipo kwa viongozi ambao aidha hawataki au hawajui faida ya kuweka historia ambayo hata watoto na wajukuu wetu watakuja kuona mtu huyu alifanya hivi na huyu alifanya hivi.Tanzania tumekuwa nyuma sana kuwaenzi na kuandika historia ya watu wetu ambao walijitoa mhanga kufa na kupona kwa ajili ya nchi yetu.Kama Taifa utakuta histaria za jujuu tu.Mfano mzuri historia ya vita vya kagera hakuna popote ilipoandikwa ukiondoa watu binafsi waliokuwa mstari wa mbele walioandika Historia zao kutokana na sehemu walizopita wakati wa vita lakini haijumulishi matukio ya vita nzima.
 
Its true, linawezekana haswa kwa kuzingatia mimi mwenyewe baada ya JKT, nilikwenda straight JWTZ,
Kati ya kazi ngumu sana za utengenezaji documentary, ni documentary za vita. Kuna waandishi waliokuwa front line wawili nawakumbuka walikuwa AVI, Dickson Saileni na Dick Kaombwe, ila pia changamoto ni nyingi, inahitaji
1. Passion
2. Dedication
3. Commitment
4. Equipments
5. Contents Resourceful personnel
6. Financial Resources
7. Logistics
Kwa fani yetu high season hutokea mara moja kila baada ya miaka 5, by now mawazo yote ni October, ila everything is possible.
P
Wazo namba 1 mpaka 7 ni sawa lakini hili la October mna wasiwasi gani maana Polisi,wakurugenzi na Tume vyote viko mkononi mwenu mawazo ya nini au na hapo mtasalitiana??
 
Back
Top Bottom