Brigadier Ahmed Takadiri Kitete: Shujaa aliyepiganisha vita toka Kagera mpaka Koboko alikozaliwa Idi Amin

Brigadier Ahmed Takadiri Kitete: Shujaa aliyepiganisha vita toka Kagera mpaka Koboko alikozaliwa Idi Amin

Siyo kweli;

Wakati wote wa vita hakukuwa na mabadiliko ya uongozi wa juu jeshini. Makamanda walikuwa wanaongezwa tu; walikuwa hawapunguzwi au kuhamishwa. In fact unakosea kunaposema kuwa General Mwakalindile alikuwa actintig chief of staff kwani wakati wa vita Mwakalindile naye alikuwa na brigade yake. Baada ya vita ndipo nafasi ya Kiwelu ikachukuliwa na Imran Kombe ambaye naye alikuwa amepigana huko frontline. Hawa wakuu wa majeshi wengi walipewa nafasi ama za kisiasa au za kiserikali, na General Kiwelu aliteuliwa kuwa katibu mkuu wa CCM mkoa wa Tanga.

..nimeweka interview ya Tumainieli Kiwelu post # 59.

..naomba uipitie halafu tuendelee kuhabarishana.

..pia tafuta kitabu, " Vita vya Kagera " kimeandikwa na Lt.Col.Ngatuni, Major.Kigadye, na Captain.Ghahae.
 
..nimeweka interview ya Tumainieli Kiwelu post # 59.

..naomba uipitie halafu tuendelee kuhabarishana.

..pia tafuta kitabu, " Vita vya Kagera " kimeandikwa na Lt.Col.Ngatuni, Major.Kigadye, na Captain.Ghahae.
Sawa nimeisona yote na inakubaliana na yote niliyowahi kuandika humu kuhusu topiki hii; hakuna aliposema kuwa alikwenda vitani akaacha nafasi kazi ya unadhimu, bali akiwa mnadhimu mkuu alitumia muda mwingi kuandaa vita kule Bukoba hivyo ofisi yake Dar es Salaam ikawa inaendeshwa na Mwakalindile. Baada ya kukamilisha mipango ya vita na jeshi letu kuanza mapambano, yeye akarudi zake Dar es Salaam kushughulikia utafutaji wa vifaa vya kivita kwa askari wake. Amemtaja tena Kitete kwa sababu ndiye alikuwa tactician mkubwa wa jeshi wakati huo, hivyo katika maandalizi ya vita Kitete alikuwa mtu wa muhimu sana kwa CDF na kwa Chief of Staff. Kuna sehemu alisema alivinjari mto ule mpaka Murongo, lakini hakumwambia hata Waziri Mkuu Sokoine plani yake. Kwa wasiojua, Murongo ni mpakani sana mwa Tanzania na Rwanda.

Zamani kidogo kuna mtu aliniamabia kuhusu kitabu unachosema nilikitafuta wala sijafanikiwa kukipata, ila najua kuwa Lt Col Ngatuni aliandika Dibaji yake tu. Maelezo yaliyomo kwenye kitabu siyajui ingawa yanaweza kuwa ni sahihi kabisa lakini watu wengine wanayatafsiri nusu nusu au kinyume tu.
 
Sawa nimeisona yote na inakubaliana na yote niliyowahi kuandika humu kuhusu topiki hii; hakuna aliposema kuwa alikwenda vitani akaacha nafasi kazi ya unadhimu, bali akiwa mnadhimu mkuu alitumia muda mwingi kuandaa vita kule Bukoba hivyo ofisi yake Dar es Salaam ikawa inaendeshwa na Mwakalindile. Baada ya kukamilisha mipango ya vita na jeshi letu kuanza mapambano, yeye akarudi zake Dar es Salaam kushughulikia utafutaji wa vifaa vya kivita kwa askari wake. Amemtaja tena Kitete kwa sababu ndiye alikuwa tactician mkubwa wa jeshi wakati huo, hivyo katika maandalizi ya vita Kitete alikuwa mtu wa muhimu sana kwa CDF na kwa Chief of Staff. Kuna sehemu alisema alivinjari mto ule mpaka Murongo, lakini hakumwambia hata Waziri Mkuu Sokoine plani yake. Kwa wasiojua, Murongo ni mpakani sana mwa Tanzania na Rwanda.

Zamani kidogo kuna mtu aliniamabia kuhusu kitabu unachosema nilikitafuta wala sijafanikiwa kukipata, ila najua kuwa Lt Col Ngatuni aliandika Dibaji yake tu. Maelezo yaliyomo kwenye kitabu siyajui ingawa yanaweza kuwa ni sahihi kabisa lakini watu wengine wanayatafsiri nusu nusu au kinyume tu.

..Naomba uyapitie tena mahojiano ya Gen.Tumainieli Kiwelu.

..mimi nilivyoelewa ni kwamba yeye ndiyo alikuwa kamanda mkuu wa operesheni ya kumtoa Amin ktk ardhi ya Tz.

..nakumbuka kuna interview nyingine alisema aliitwa Ikulu na Mwalimu na akapewa maelekezo ya kwenda kuongoza shughuli hiyo.

..na katika mahojiano hayo hapo juu, Kiwelu anasema alirudi Dsm baada ya majeshi ya Amin kuwa yameondolewa ktk ardhi ya Tz.

..pia anaeleza kwamba alipoondoka alimkabidhi Gen.David Musuguri jukumu la kuongoza majeshi yetu yaliyomfuata adui ndani ya Uganda.

..vilevile Kiwelu anaeleza kwamba wakati yeye yuko frontline, Lt.Gen.Martin Mwakalindile ndiyo alikuwa Acting Chief of Staff wa jeshi pale ngome.

..Kiwelu alikuwa kamanda mkuu wa mapigano ya kuondoa majeshi ya Amin ktk ardhi ya Tz. Musuguri alikuwa ni kamanda mkuu wa mapigano ndani ya ardhi ya Uganda.
 
..Naomba uyapitie tena mahojiano ya Gen.Tumainieli Kiwelu.

..mimi nilivyoelewa ni kwamba yeye ndiyo alikuwa kamanda mkuu wa operesheni ya kumtoa Amin ktk ardhi ya Tz.

..nakumbuka kuna interview nyingine alisema aliitwa Ikulu na Mwalimu na akapewa maelekezo ya kwenda kuongoza shughuli hiyo.

..na katika mahojiano hayo hapo juu, Kiwelu anasema alirudi Dsm baada ya majeshi ya Amin kuwa yameondolewa ktk ardhi ya Tz.

..pia anaeleza kwamba alipoondoka alimkabidhi Gen.David Musuguri jukumu la kuongoza majeshi yetu yaliyomfuata adui ndani ya Uganda.

..vilevile Kiwelu anaeleza kwamba wakati yeye yuko frontline, Lt.Gen.Martin Mwakalindile ndiyo alikuwa Acting Chief of Staff wa jeshi pale ngome.

..Kiwelu alikuwa kamanda mkuu wa mapigano ya kuondoa majeshi ya Amin ktk ardhi ya Tz. Musuguri alikuwa ni kamanda mkuu wa mapigano ndani ya ardhi ya Uganda.
Wewe hukuelewa vizuri mahojiano hayo. Unasahau kuwa yeye kama Chief of staff na Twalipo kama CDF ndio walikuwa makamanda wakuu wa jeshi wakati huo; kwa hiyo walishiriki kikamilifu kwanza kusuka jeshi kuwa timamu na hasa amezungumzia jinsi alivyosuka jeshi la Mgambo, polisi, mageraza na JKT kuwa kuwa intertwinned kwenye muundo wa kivita. Alikuwa ni kamanda mkuu msaidizi wa Jeshi akiwa Lt General na Twalipo akiwa General. Division commanders walikuwa ni major generals na brigade commanders walikuwa ni mabrigadier. Ni division commanders na Brigade commanders ndio waliopeleka vikosi kwenye thieta. Kuna video niliwahi kuileta ikiwa inaonyesha makamanda wa theata wakiwa wanatambulishwa kwa Nyerere
 
Seychelles ilikuwa na Luteni Jenerali Shimbo kama sikosei.

Vita ya Msumbiji tulikosa sana faida kutoka kwa Luteni Jenerali Tumainieli Kiwelu. Huyu alikuwa na mengi sana ya kueleza, na ndiye aliyemkabili Mwalimu akimweleza kwanin tunaua vijana wetu kwa vita ya ''wajomba''
Hiyo ilikuwa breakthrough ya kumaliza vita ya FRELIMO na RENAMO ambayo kwa kiasi fulani ilikuwa biashara ya viongozi na si vita ya wananchi.
Hapana, kikosi kilichoteka Seychells kiliongozwa na Kanali Mbilinyi. Hiyo ya Kiwelu kumpinga mwalimu kuhusu vita ya msumbiji sina uhakika kwani Msumbiji ilipata uhuru nadhani mwaka 1974 au 1975. Baada ya Uhuru Jeshi letu lilikuwa linalifundisha Jeshi la FRELIMO na vita ya wenyewe kwenyewe dhidi ya RENAMO haikunanza hadi mwaka 1978 ambapo Tanzania nayo ilikuwa inaingia vitani na Uganda. Kwa hiyo ukweli wa taarifa hiyo unaweza kuwa na mashaka.
 
Wewe hukuelewa vizuri mahojiano hayo. Unasahau kuwa yeye kama Chief of staff na Twalipo kama CDF ndio walikuwa makamanda wakuu wa jeshi wakati huo; kwa hiyo walishiriki kikamilifu kwanza kusuka jeshi kuwa timamu na hasa amezungumzia jinsi alivyosuka jeshi la Mgambo, polisi, mageraza na JKT kuwa kuwa intertwinned kwenye muundo wa kivita. Alikuwa ni kamanda mkuu msaidizi wa Jeshi akiwa Lt General na Twalipo akiwa General. Division commanders walikuwa ni major generals na brigade commanders walikuwa ni mabrigadier. Ni division commanders na Brigade commanders ndio waliopeleka vikosi kwenye thieta. Kuna video niliwahi kuileta ikiwa inaonyesha makamanda wa theata wakiwa wanatambulishwa kwa Nyerere

..vita ile ilikuwa na awamu 2.

..awamu ya kwanza ilikuwa kumtoa Iddi Amin ktk ardhi ya Tz.

..na awamu ya pili ilikuwa ni kumfuata adui ndani ya Uganda.

..hatua ya kumtoa Amin ktk ardhi ya Tz iliongozwa na Tumainieli Kiwelu, akisaidiwa na hao Brigade commanders.

..ndiyo maana ktk mahojiano yake unaona Kiwelu anasema, alipokuwa mstari wa mbele Mwakalindile alikuwa Acting Chief of Staff.

..hatua ya kuingia Uganda iliongozwa na David Musuguri, na chini yake walikuwepo Brigade commanders wengine.
 
..vita ile ilikuwa na awamu 2.

..awamu ya kwanza ilikuwa kumtoa Iddi Amin ktk ardhi ya Tz.

..na awamu ya pili ilikuwa ni kumfuata adui ndani ya Uganda.

..hatua ya kumtoa Amin ktk ardhi ya Tz iliongozwa na Tumainieli Kiwelu, akisaidiwa na hao Brigade commanders.

..ndiyo maana ktk mahojiano yake unaona Kiwelu anasema, alipokuwa mstari wa mbele Mwakalindile alikuwa Acting Chief of Staff.

..hatua ya kuingia Uganda iliongozwa na David Musuguri, na chini yake walikuwepo Brigade commanders wengine.
Ni kwamba inaelekea hujui sawasawa majukumu ya makamanda wa jeshi; na hapo tunaweza kuendelea kuzungushana kwa muda mrefu sana. Kusema CDF au CoS ndiye aliyekwenda vitani, ni kutokujua kuwa CDF na CoS ndiyo wanoongoza jeshi kwenda vitani. Kuhusu vita kuwa na awamu mbili, inawezekana ni kweli ingawa hakukuwa na demarcation ya namna hiyo. Ila unapaswa pia kuelewa kuwa kukomboa ile sehemu ya kagera haikuwa kazi kubwa sana, bali kazi kubwa ilikuwa ni kuiteka Uganda yote.
 
Ni kwamba inaelekea hujui sawasawa majukumu ya makamanda wa jeshi; na hapo tunaweza kuendelea kuzungushana kwa muda mrefu sana. Kusema CDF au CoS ndiye aliyekwenda vitani, ni kutokujua kuwa CDF na CoS ndiyo wanoongoza jeshi kwenda vitani. Kuhusu vita kuwa na awamu mbili, inawezekana ni kweli ingawa hakukuwa na demarcation ya namna hiyo. Ila unapaswa pia kuelewa kuwa kukomboa ile sehemu ya kagera haikuwa kazi kubwa sana, bali kazi kubwa ilikuwa ni kuiteka Uganda yote.

..tunapotofautina mimi na wewe ni kuhusu kubadilishana majukumu kati ya Tumainieli Kiwelu na David Musuguri.
 
..tunapotofautina mimi na wewe ni kuhusu kubadilishana majukumu kati ya Tumainieli Kiwelu na David Musuguri.
Musuguri alikuwa ni Division Commander mmoja kati ya division tatu zilizoingia Uganda; wengine walikuwa ni Marwa pamoja na Mayunga. Yeye hakusema kuwa alimwachia Musuguri ndiye aongoze vita ile, bali alisema alimwamrisha (kwa lugha ya kijeshi) Musuguri aingie kupitia hiyo njia ya moja kwa moja kupitia Mutukura.

Ngoja nirudie tena; plani ya vita ilipangwa na Kanali Kitete, kwa hiyo Kiwelu alikuwa anakagua na kutayarisha jeshi kutekeleza plani ile. Wengi wanaamini kuwa vita ilikuwa ni kukomboa Kagera tu ila baadaye ikonekana kuwa inabidi jeshi liingine Uganda; hiyo siyo kweli kabisa kwani plani iliyochorwa na Kitete ilikuwa ni ya kung'oa utawala mzima wa Amini!
 


Jenerali Kiwelu:
Pale kilichofanyika ni kwamba baada ya kumaliza ile kazi ya awali, tukaingia sasa kazi ya kuandaa na kutekeleza operesheni ya kuvuka mpaka ambayo ni tofauti na opereshani ya kumwondoa adui nyumbani kwako.

Sasa unakwenda nyumbani kwake lazima uwe na mkakati, sambamba na nguvu ya kutosha kwenda kwake, kwa hiyo rais ikabidi afanye utaratibu wa kumtafuta kamanda wa kuingia Uganda, mimi si ndiye niliyekuwa Chief of Staff na mkuu wa majeshi akiwa Twalipo ambaye naye hayuko makao makuu, kwa maana hiyo akiwa huku mbele (vitani) kule makao makuu hakuna maandalizi yoyote, nani anaanda nini… nani anafanya nini.

Kwa hiyo ilibidi nirudi Makao Makuu ya Jeshi Dar es Salaam na pale (vitani kuelekea ndani ya Uganda) nikamkabidhi Msuguri, mimi nakamwambia nakwenda (makao makuu) kukufanyia kazi ya kuandaa vifaa, wewe kazi yako ni kwenda ndani kumwadhibu Idi Amin. Nikarudi makao makuu nilikuwa na mtu mmoja alikuwa Naibu Waziri wa Ulinzi, Kanali Bakari, basi tukafanya kazi na Bakari, tunkaenda hadi nchi za nje kutafuta nguvu…. zana za kivita.
Wako marafiki walitusaidia, sina sababu ya kuwataja sana lakini kati ya nchi rafiki tulizokwenda ni pamoja na Urusi, China, Korea na Bulgaria. Ikabidi tukusanye vifaa na ndipo hapo wananchi walichangia mambo mengi sana, wapo waliojitolea magari yao, vyakula, mifugo kama ng’ombe ili kuwawezesha wapiganaji wetu kule mstari na hatimaye Msuguri akuvuka mpaka akiwa na uhakika wa nguvu za kutosha na uangalizi huku nyuma anakotoka.

..hebu soma hiyo nukuu ya Tumainieli Kiwelu.

..lakini zingatia maeneo niliyo-bold.

..Musuguri alikuwa juu ya kina Mayunga, Marwa, Walden, Kitete, Kimario, etc.

..na kabla ya hapo, wakati wa operation ya kumtoa Amin ktk ardhi yetu, Kiwelu ndio alikuwa kamanda mkuu.

NB:

..hiki ninachokueleza kipo ktk sources mbili ambazo ni Kitabu cha askari[Ngatuni na wenzake] wa Jwtz, na kitabu cha Waingereza.

..hata Kitete majukumu yake yalibadilika kwani baadae aliteuliwa kuongoza Brigade ya Minziro.
 
..hebu soma hiyo nukuu ya Tumainieli Kiwelu.

..lakini zingatia maeneo niliyo-bold.

..Musuguri alikuwa juu ya kina Mayunga, Marwa, Walden, Kitete, Kimario, etc.

..na kabla ya hapo, wakati wa operation ya kumtoa Amin ktk ardhi yetu, Kiwelu ndio alikuwa kamanda mkuu.

NB:

..hiki ninachokueleza kipo ktk sources mbili ambazo ni Kitabu cha askari[Ngatuni na wenzake] wa Jwtz, na kitabu cha Waingereza.

..hata Kitete majukumu yake yalibadilika kwani baadae aliteuliwa kuongoza Brigade ya Minziro.
Maneno yake wewe unayasoma na kuyaelewa kinyume kabisa- yaani hata hayo ulipigia msitali hayana maana unayotafsiri, na wala sijui ni nini usichoelewa. Yeye na Twalipo kuhamishia makao yao Bukoba wakati huo likikuwa ni jambo la kawaida kama makamanda wakuu wa jeshi na vile vile kuangalia kuwa mipango yote ya kivita inakwenda sawa; hata Sokoine na Kawawa walikuwa wanatumia muda wao mwingi sana Bukoba. Hatusemi kuwa Kiwelu na Twalipo walikuwa wamelala nyumbani kwao wakati vita inapiganwa, bali tunachosema na nitarudia tena ni kuwa yeye na Twalipo hawakuwa kati ya wale makamanda (Boot commanders) waliochukua vikosi kuviingiza kwenye thieta; wao walivipanga na kuiviongoza kuhakikisha vinafanikiwa.

Halafu narudia tena kuwa vita haikupangwa kwa awamu; Kitete alitoa plani nzima ya kumtoa Amini Uganda kabla yeye mwenyewe hajawa Brigadier na kupewa brigade mojawapo ndani ya Uganda.
 
Maneno yake wewe unayasoma na kuyaelewa kinyume kabisa- yaani hata hayo ulipigia msitali hayana maana unayotafsiri, na wala sijui ni nini usichoelewa. Yeye na Twalipo kuhamishia makao yao Bukoba wakati huo likikuwa ni jambo la kawaida kama makamanda wakuu wa jeshi na vile vile kuangalia kuwa mipango yote ya kivita inakwenda sawa; hata Sokoine na Kawawa walikuwa wanatumia muda wao mwingi sana Bukoba. Hatusemi kuwa Kiwelu na Twalipo walikuwa wamelala nyumbani kwao wakati vita inapiganwa, bali tunachosema na nitarudia tena ni kuwa yeye na Twalipo hawakuwa kati ya wale makamanda (Boot commanders) waliochukua vikosi kuviingiza kwenye thieta; wao walivipanga na kuiviongoza kuhakikisha vinafanikiwa.

Halafu narudia tena kuwa vita haikupangwa kwa awamu; Kitete alitoa plani nzima ya kumtoa Amini Uganda kabla yeye mwenyewe hajawa Brigadier na kupewa brigade mojawapo ndani ya Uganda.

..Kitabu cha "Vita vya Kagera" kilichoandikwa na Lt.Col.Ngatuni, Maj.Kigadye, na Capt.Ghahae kinasema hivi, ktk picha mbalimbali:

Ukurasa wa 40.

.." Meja Jenerali T.N.Kiwelu, kamanda wa kwanza kupewa jukumu la kumsukuma nyuma na kuyafyeka majeshi haramu ya nduli Idi Amin.."

Ukurasa wa 43.
"..Baada ya Brigedi mbalimbali kufanya matayarisho yao ya mwisho, Kamanda Mkuu aliyepewa dhima ya kuyaongoza mapambano ya kumtoa nyoka pangoni mwetu, Meja Jenerali Kiwelu, alikutana nao kupeana ushauri wa mwisho. Kutoka kushoto waliokaa ni Brigedia Musuguri, Meja Jenerali Kiwelu, na Brigedia Mayunga. "

Ukurasa wa 49.
"Kamanda Mkuu aliyeamrisha mapambano ya kumng'oa adui katika eneo la Kagera, Meja Jenerali Kiwelu, akiwa na mkuu wa mipango ya uamrishaji Kivita, Kanali Kitete, wakiwa katika hali ya kubadilishana mawazo na mbinu baada ya kutembelea sehemu za muhimu za mbele. Mawazo na maelekezo yao yaliwezesha wapiganaji shupavu kumng'oa adui katika eneo la Kagera."

Ukurasa wa 35.
"...Meja Jenerali David Musuguri, Kamanda wa Majeshi ya Tanzania yaliyokuwa Uganda.."

Kitabu cha " War in Uganda" kilichoandikwa na Tony Avirgan na Martha Honey kinasema hivi:

Ukurasa wa 79.

" As the preparation for phase two began, Tanzanian forces underwent an important command change, Kiwelu, who had been working twenty hours a day for three months organizing an army and lines of supply and directing the retaking of occupied lands, went back to Dar Es Salaam to resume his duties as Chief of Staff. The new commander of what was now the 20th Division wa Major General David Musuguri. "
 
yote ni kwa sababu ya kutojua tafsiri sahihi ya uongozi wa kijeshi. Wakati. wa vita Ile ya siku sita Kati ya Israel na nchi za kiarabu jukumu la kuandaa jeshi LA Israel lilikuwa mikononi mwa Yizhak Rabin Chini ya Moshe dayan, lakini makamanda waliopigana ni akina ariel shalon na wengineo. hata wakati wa Israel kukomboa raia wake kutoka Entebbe, jukumu lilikuwa chini ya
brigadier general dan shomron lakini operation yenyewe iiendeshswa na na lt col. Netanyahu.

unatafsiri vibaya hayo unayosoma
..Kitabu cha "Vita vya Kagera" kilichoandikwa na Lt.Col.Ngatuni, Maj.Kigadye, na Capt.Ghahae kinasema hivi, ktk picha mbalimbali:

Ukurasa wa 40.

.." Meja Jenerali T.N.Kiwelu, kamanda wa kwanza kupewa jukumu la kumsukuma nyuma na kuyafyeka majeshi haramu ya nduli Idi Amin.."

Ukurasa wa 43.
"..Baada ya Brigedi mbalimbali kufanya matayarisho yao ya mwisho, Kamanda Mkuu aliyepewa dhima ya kuyaongoza mapambano ya kumtoa nyoka pangoni mwetu, Meja Jenerali Kiwelu, alikutana nao kupeana ushauri wa mwisho. Kutoka kushoto waliokaa ni Brigedia Musuguri, Meja Jenerali Kiwelu, na Brigedia Mayunga. "

Ukurasa wa 49.
"Kamanda Mkuu aliyeamrisha mapambano ya kumng'oa adui katika eneo la Kagera, Meja Jenerali Kiwelu, akiwa na mkuu wa mipango ya uamrishaji Kivita, Kanali Kitete, wakiwa katika hali ya kubadilishana mawazo na mbinu baada ya kutembelea sehemu za muhimu za mbele. Mawazo na maelekezo yao yaliwezesha wapiganaji shupavu kumng'oa adui katika eneo la Kagera."

Ukurasa wa 35.
"...Meja Jenerali David Musuguri, Kamanda wa Majeshi ya Tanzania yaliyokuwa Uganda.."

Kitabu cha " War in Uganda" kilichoandikwa na Tony Avirgan na Martha Honey kinasema hivi:

Ukurasa wa 79.

" As the preparation for phase two began, Tanzanian forces underwent an important command change, Kiwelu, who had been working twenty hours a day for three months organizing an army and lines of supply and directing the retaking of occupied lands, went back to Dar Es Salaam to resume his duties as Chief of Staff. The new commander of what was now the 20th Division wa Major General David Musuguri. "
[/QUOT
 
..Kitabu cha "Vita vya Kagera" kilichoandikwa na Lt.Col.Ngatuni, Maj.Kigadye, na Capt.Ghahae kinasema hivi, ktk picha mbalimbali:

Ukurasa wa 40.

.." Meja Jenerali T.N.Kiwelu, kamanda wa kwanza kupewa jukumu la kumsukuma nyuma na kuyafyeka majeshi haramu ya nduli Idi Amin.."

Ukurasa wa 43.
"..Baada ya Brigedi mbalimbali kufanya matayarisho yao ya mwisho, Kamanda Mkuu aliyepewa dhima ya kuyaongoza mapambano ya kumtoa nyoka pangoni mwetu, Meja Jenerali Kiwelu, alikutana nao kupeana ushauri wa mwisho. Kutoka kushoto waliokaa ni Brigedia Musuguri, Meja Jenerali Kiwelu, na Brigedia Mayunga. "

Ukurasa wa 49.
"Kamanda Mkuu aliyeamrisha mapambano ya kumng'oa adui katika eneo la Kagera, Meja Jenerali Kiwelu, akiwa na mkuu wa mipango ya uamrishaji Kivita, Kanali Kitete, wakiwa katika hali ya kubadilishana mawazo na mbinu baada ya kutembelea sehemu za muhimu za mbele. Mawazo na maelekezo yao yaliwezesha wapiganaji shupavu kumng'oa adui katika eneo la Kagera."

Ukurasa wa 35.
"...Meja Jenerali David Musuguri, Kamanda wa Majeshi ya Tanzania yaliyokuwa Uganda.."

Kitabu cha " War in Uganda" kilichoandikwa na Tony Avirgan na Martha Honey kinasema hivi:

Ukurasa wa 79.

" As the preparation for phase two began, Tanzanian forces underwent an important command change, Kiwelu, who had been working twenty hours a day for three months organizing an army and lines of supply and directing the retaking of occupied lands, went back to Dar Es Salaam to resume his duties as Chief of Staff. The new commander of what was now the 20th Division wa Major General David Musuguri. "
We unaleta hadi vithibitisho. Jamaa kakomaa na muundo wa utawala. Achana naye.
 
..nakubaliana na ushauri wako.
We unaleta hadi vithibitisho. Jamaa kakomaa na muundo wa utawala. Achana naye.

Hizo reference unazoleta zote nadhani ziko sahihi kwa sababu zile ambazo nimesoma sijaona makosa yoyote, tatizo ni jinsi mnavyozitafsiri. Tafsiri zenu ni kinyume na ujumbe uliomo kwenye references hizo. Unaposoma kuwa jukumu la kuongoza vita lilikuwa mikononi mwa Kiwelu, haina maana ya kuwa yeye ndiye aliyekwenda akapanga vita na kuongoza vikosi kuingia msituni. Yeye ndiye aliyekuwa top commander wa kuratibu vita ile, lakini makamanda walioingia nsituni ni wengine na kamanda aliyepanga plani ya vita ni mwingine.

Comment yako imejaa kusema vita ilipangwa na kuongozwa na Kiwelu, lakini unasahau kuwa yeye alikuwa Chief of staftt na kamanda wa pili juu ya mabrigedia na majenerali wote. Ni kweli ilikuwa jukumu lake kuwasimamia hao makamanda waliokuwa chini yake, lakini siyo yeye aliyekwenda kwenye thieta. Nimetoa mifano mizuri inayojulikana kutoka isareli kuwa kamanda wa operation siyo siyo anayepigana kwenye operation hiyo.
 
Hizo reference unazoleta zote nadhani ziko sahihi kwa sababu zile ambazo nimesoma sijaona makosa yoyote, tatizo ni jinsi mnavyozitafsiri. Tafsiri zenu ni kinyume na ujumbe uliomo kwenye references hizo. Unaposoma kuwa jukumu la kuongoza vita lilikuwa mikononi mwa Kiwelu, haina maana ya kuwa yeye ndiye aliyekwenda akapanga vita na kuongoza vikosi kuingia msituni. Yeye ndiye aliyekuwa top commander wa kuratibu vita ile, lakini makamanda walioingia nsituni ni wengine na kamanda aliyepanga plani ya vita ni mwingine.

Comment yako imejaa kusema vita ilipangwa na kuongozwa na Kiwelu, lakini unasahau kuwa yeye alikuwa Chief of staftt na kamanda wa pili juu ya mabrigedia na majenerali wote. Ni kweli ilikuwa jukumu lake kuwasimamia hao makamanda waliokuwa chini yake, lakini siyo yeye aliyekwenda kwenye thieta. Nimetoa mifano mizuri inayojulikana kutoka isareli kuwa kamanda wa operation siyo siyo anayepigana kwenye operation hiyo.

..be humble.

..huwezi kuwa na uelewa na masuala haya kuwazidi ya Lt.Col.Ngatuni, Maj.Kigadye, na Cpt.Ghahae.

..unaweza vipi kupingana na sources 3, bila kuwa na source hata moja kutetea hoja zako?
 
..be humble.

..huwezi kuwa na uelewa na masuala haya kuwazidi ya Lt.Col.Ngatuni, Maj.Kigadye, na Cpt.Ghahae.

..unaweza vipi kupingana na sources 3, bila kuwa na source hata moja kutetea hoja zako?
Mimi sijapinga vivyo vitabu wala makala unazosema, ninachopinga ni jinsi wewe unavyozitafsiri. Ni kweli yeye alikuwa CoS kwa hiyo ndiye aliyekuwa kiongozi mkuu msaidizi wa majeshi yote. Badala ya jukumu kuwekwa mikondoni mwa Twalipo aliyekuwa mkuu wa majeshi, ni yeye aliyepewa kazi ya kuorganize majeshi yote kuwa katika fighting formation na kuhakikisha yanapata vifaa vya kutosha ili kushinda vita hiyo. Lakini yeye siye aliyekuwa anapigana frontline. Wewe unaileta kama vile Kiwelu ndiye aliyepanga na kupiganisha vita ile jambo ambalo siyo kweli aliyepanga plani ni Kitete, halafu kiwelu akaichambua kuona kama kweli ni plani nzuri, na baada ya kujiridhisha, ndipo akatoa go ahead mashambulizi yaanze.

Unapokuwa na source isome kwa kuilewa siyo kuisoma kwa mistali; na nadhani hapo ndipo tunaposhindwa kuelewana. Ukisoma ile interview ya Gen Kiwelu mwenyewe unaona kweli kuwa ali-organize jeshi na kuliandaa kwa vita, baada ya kujiridhisha na maandalizi ndipo akaamua mashambulizi yaanze. Kama CoS wale majenerali, mabrigedia na makanali pamoja na wapiganaji wote walikuwa chini yake. Wasingefanya jambo lolote ambalo yeye hakuidhinisha. Kuna interview nyingine ya Gen Ben Msuya nayo inarudia mambo kama hayo hayo.
 
Back
Top Bottom