TANZIA Brigedia Mstaafu Hassan Ngwilizi Afariki Dunia

Kiongozi shukrani kwa madini. Ila hapo uliposema alienda kulinda kisiwa dhidi ya US na SA umeniacha kidogo.
Seychelles ilikuwa ni :socialist entity" katika bahari ya Hindi. 7th Fleet ilikuwa Mediterranean Sea. 6th Fleet ilikuwa Indian Ocean. Kusini kwa Africa kulikuwa na South Africa. Kikwazo kulikuwa ni Frontline States zikiongozwa na Tanzania. Mission number moja wakati huo ya USA, UK (CIA) ilikuwa ni kuondoa hicho kikwazo yaani Tanzania na "tentacles" zake ikiwemo Seychelles. Akigundua Hilo ndiyo maana Albert Rene aliomba msaada kwa Mwalimu Nyerere. TPDF wakampeleka Ngwilizi.
 
Kijeshi hakuna cheo cha Brigedia, Bali Brigedia Jenerali, na anakuwa na nyota moja kwenye gari yake.
 
Hapo kwenye watoto wengu. Mmoja wapo ni rafiki yangu. Aiseee. Anasema hata hajui alie au afanye nini maana huyu mzee hajawahi kuwa kwenye maisha yake na alikua hataki kumtambua kama mwanae.
Kuna mwanae mmoja niliskuli nae advance enzi za BWM president mkazi wa hiyari wa lushoto sasa, analia sana mdada wa watu japo now ni mmama muhenga mwenzangu.
 
Huko Diego Garcia ndio inasemekana ndege ya Malaysia iliyopotea ilipelekwa huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…