HiLala salama major general Mwankanye
Pole sana kwa familia na wote walioguswa na msiba
Desperate Times calls for Desperate Measures....Hii tabia ya kuhoji ugonjwa kwenye Tanzia hapa JF sio ya Heshima.
Hello
Marekani tofauti na ndege unaendaje labda!Ugonjwa ni huu toleo jipya au maradhi ya kawaida tu.?
Taazari ya nini na umeambiwa hakuna korona?Ni vizuri tukajua ili tuendelee kuchukua tahadhari
Ugonjwa ni huu toleo jipya au maradhi ya kawaida tu.?
Ni vizuri tukajua ili tuendelee kuchukua tahadhari
Sentensi hiyo hapo juu ni very contradictory
Mara ugonjwa HAUPO....
Mara UKIWISHA
Mara UPO KIDOGO SANA..
Which is whic,make up your mind people!
Tufafanulie tujifunze hekimaDesperate Times calls for Desperate Measures....
Read More :
March 5, 2016
16 high-ranking officers of TPFD retired yesterday
Serikali haisikii kingereza ndugu yangu ungeandika kwa kiswahili.Thats why I really hate the government...
I have strong disdain with the serikali
I dont like them at all....the way they present themselves, the way they rule over other human beings, the way they oppress using coercive power, the way they break the law at will, etc
I hate these motherfvckers from my gut!
Nadhani ni nyeti kuliko hata nyeti tulizo nazo.Profile yake ni nyeti sana.
UpumuajiChangamoto?
π π π π πSerikali haisikii kingereza ndugu yangu ungeandika kwa kiswahili.
mh.. π πlakini wale tupo karibu na Jeshi