jagular
JF-Expert Member
- Oct 26, 2015
- 424
- 245
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaisha kufa.. hakuna tena unyeti.. sio hatarishi tena.. mwaga kama unazijua na sie tujue special opsProfile yake ni nyeti sana.
RIP Commando. RIP GeneralProfile yake ni nyeti sana.
Kaisha kufa.. hakuna tena unyeti.. sio hatarishi tena.. mwaga kama unazijua na sie tujue special ops
Ni kweli, kila siri ina time frame yake. Ndio maana hutolewa pale ambapo inakuwa haina tena madhara, kuna zingine huchukua miaka mitano, zingine 10 zingine 50 n.k.. wamwage zilizo ndani ya mwaka huu.. kama vile alivyosema mwamba alikuwa special ops.. asitaje mission alizoshiriki na matokeo yake ila anaweza dadavua kwa juu juu tu.. kama alikuwa special ops maana yake alikuwa komando au sio ?Kabisa. It is now done. Ingawa kuna mengine huwa yanabaki siri sababu ya ukakasi wamekuwa generation kadhaa zijazo
Jeshini adui anakuwa eliminated, a sio kuua.
Ninyi maraia ndiyo mnauana.
Lala salama major general Mwankanye. Pole sana kwa familia na wote walioguswa na msiba.
Asante sana mkuu na wewe pia!
Asante mwaya na wewe piaR.i.p
Hey guys, why should we ask the cause for every dealth? We didn't experience this a few years ago. Why don't we think that it could be the life span or the common causes like malaria, diabetes, yellow fever, and so on? We still live with those diseases!Ni vizuri tukajua ili tuendelee kuchukua tahadhari
Imesahihishwa mkuu.Alikua Brigadier General na sio Major General. Major yupo juu ya Brigadier.
Kila jeshi duniani lina vikosi vinavyoshughulikia mambo nyeti, mapambano nyeti even across the borders kabla hujaona mamizinga au ndege.Ni kweli, kila siri ina time frame yake. Ndio maana hutolewa pale ambapo inakuwa haina tena madhara, kuna zingine huchukua miaka mitano, zingine 10 zingine 50 n.k.. wamwage zilizo ndani ya mwaka huu.. kama vile alivyosema mwamba alikuwa special ops.. asitaje mission alizoshiriki na matokeo yake ila anaweza dadavua kwa juu juu tu.. kama alikuwa special ops maana yake alikuwa komando au sio ?
Wacha afe tu ni matokeo ya udhalimu wanao utetea..!Brigadier General(Rtd) Martin Mwankanye amefariki muda mfupi uliopita pale Lugalo General Military Hospital.
Si watu wengi wanamfahamu marehemu, lakini wale tupo karibu na Jeshi tunajua kuwa alikuwa Specials ops na aliwahi kuwa Mwambata wa kijeshi kule Rwanda na hata Marekani.
RIP Gen. Mwankanye.
Kama mtoto anavyoweza kunyea au kuharisha kiganjani, mkuu una uhuru wa kuandika chochote ingawaje ni dhahiri huna busara.Wacha afe tu ni matokeo ya udhalimu wanao utetea..!