TANZIA Brigedier General Martin Mwankanye wa JWTZ afariki dunia

TANZIA Brigedier General Martin Mwankanye wa JWTZ afariki dunia

Si walikutana na wenzao wa Malawi kwenye mchezo wa Golf [emoji466] ni nzuri sana inaimarisha afya zetu.

RIP mjeshi wetu.
 
Tangu nihudhurie misiba hapa Tanzania sijawahi kusikia risala ya marehemu ikitaja kafa kwa UKIMWI au COVID 19.
Haya magonjwa hayapo hapa nchini .
 
IMG_20210125_152918.jpg
 
Major General(Rtd) Martin Mwankanye amefariki muda mfupi uliopita pale Lugalo General Military Hospital.

Si watu wengi wanamfahamu marehemu, lakini wale tupo karibu na Jeshi tunajua kuwa alikuwa Specials ops na aliwahi kuwa Mwambata wa kijeshi kule Rwanda.

RIP Gen. Mwankanye.
R.i.p aliewahi kuwa mwalim wangu somo fulani .
Sijui kwa nini wale wazuri ndio wanakufaga wanabaki wale ambao tulijua hata mwaka haufiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thats why I really hate the government...

I have strong disdain with the serikali

I dont like them at all. The way they present themselves, the way they rule over other human beings, the way they oppress using coercive power, the way they break the law at will, etc

I hate these from my gut!
The way you have presented your concern, it is crystal clear that you're not a citizen of Tz, The united republic.
 
Hivi iliposemwa kwamba njia za kuambukizwa UKIMWI ni kufanya ngono za hovyo hovyo, kulawitiana hovyo hovyo, kuongezwa damu mishipani hovyo hovyo, kujidunga masindano hovyo hovyo, nk.
Hivi mlitaka serikali ichukue hatua gani nyingine? Kununua dawa ya ku- castrate wanaume wote kwa muda mpaka hapo UKIMWI utakapotokomea?
 
R.I.P
Alishastaafu March, 2016, akiwa mkurugenzi wa mahusiano ya kimataifa Jeshini....
 
Mkuu

Official government language ni Kingereza kwanza then Kiswahili baadae,ambapo:

1.Hufanyiwi interview ya kazi yeyote serikalini kwa Kiswahili,ni English
2.Mikataba yote ni English
3.Memo za Kikao cha Baraza la Mawaziri ni English
4.Barua uajiri na zingine nyeti ni English
5.Hukumu zote Mahakamani ni English
6.Sheria zote nchi hii zimeandikwa kwa English
7.Shule kuanzia darasa la Tatu mpaka Chuo Kikuu ni English
8.etc


Sasa sijui unaongea mambo gani aisee?
Nimesema kiswahiri kwanza. Ndio maana tumeamua nchi zote za sadeki kiswahiri kiwe ndio Ruga rasmi. Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Back
Top Bottom