Angalia huyu nae
Ndio shida ya wakristo,ni wapumbavu kupita maelezo,mnadhani dunia nzima ni wakristo kama nyie,hivyo mnawasukumia uktristo through our throats by default
Sikutambui,sitambui ukristo,sitambui hicho kitabu,si subscribe kwenye huo upumbavu.Ukristo ni imani yako binafsi hainihusu,keep it for yourself
Hiyo bible unaijua wewe,huyo Kristo unamjua wewe,i dont know that nonsense..Na sitaki unisukumie hizo imani zako...Kaa nazo wewe
Kama una hoja za siasa tunazo zungumzia hapa,sitoe hapa tubishane,sio mambo yako ya binafsi unasukumia wengine as if we know anything au tunaamini huo upumbavu wa Ukristo ulio nao....