masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
- Thread starter
-
- #61
Mkuu kwani wanajeshi si wana familia ndugu jamaa na marafiki?Unaposema kuwa mpo karibu na Jeshi ndiyo unatutangazia kuwa Wewe ni Mjeshi au? Sawa Afande tumeshakujua umefurahi? R.I.P Mwankanye!!!
Tuna msiba, ningekujibu kivingine lakini subiri ufiwe!Kwahiyo unakaa ( unaishi ) kwa Shemeji yako aliyekuolea Dada yako hapo Lugalo au?
Huwenda ni PneumoniaR.I.P. Nini cause ya kufa kwake?
Ni Brig GenKichwa cha habari Major General....habari inasema Brig General....
R.I.P kamanda
Uko on heat?Ungekuwa Msibani kweli na Msiba unakuhusu hadi muda huu ungekuwa 'Unapuyanga' tu na Sisi hapa? Halafu acha 'Mikwara' yako Mbuzi sawa?
The good thing is, they also suffer the worst outta this pandemic. No one is safe I tell ya, even the one on the throne, only one deadly mistake and he's gone, trust me...Thats why I really hate the government...
I have strong disdain with the serikali
I dont like them at all. The way they present themselves, the way they rule over other human beings, the way they oppress using coercive power, the way they break the law at will, etc
I hate these from my gut!
Mlemle tu Dada cha msingi ni kuendelea kuwasikiliza wataalam maana disco limeshaingia mmasaiR.I.P. Nini cause ya kufa kwake?
Apigane wapi, wanapeana tu ulaji na sifa. Sanasana wanachoweza ni kuwaonea raia!RIP General; Huyu aliwahi kupigana vita yoyote?
Thinking ya wapumbavu maana wajinga wanaelimshwa wanabadilikaUnaona hii thinking
asikusumbue wale ndio walamba matako ya Meco! Yana zamu za kufua chupi za mke wakeUnaona hii thinking
Yaani mtu akisema haipendi serikali ya nchi anakotoka basi yeye sio raia wa hiyo nchi?
Nani alikuambia serikali ni nchi?
Au nani alikuambia viongozi wa serikali ni nchi?
Kuichukia serikali ambayo by definition ni group la watu wachache wanaotawala sio kuichukia nchi
Nchi ni kitu kingine na serikali ni kitu kingine
Na pia jifunze kuacha tabia mbovu ya kupangia watu usiowajua uraia wao,wewe sio universal citizenship giver,wewe ni citizen punguani kama mimi na yule
Noted mkuuNi Brig Gen
Mods naomba sahihisho!
... hivi unaweza kufikia ngazi ya jenerali bila kuua? Itakuwa ajabu sana!RIP General; Huyu aliwahi kupigana vita yoyote?
Jeshini adui anakuwa eliminated, a sio kuua.... hivi unaweza kufikia ngazi ya jenerali bila kuua? Itakuwa ajabu sana!
Hata vitabu vya dini vinasema heshimu Serikali iliyoko madarakani, kwa sababu imeruhusiwa na yule aliyeumba vitu vyote. U nani wewe unayedharau Serikali? Romans 13:1-12.Unaona hii thinking
Yaani mtu akisema haipendi serikali ya nchi anakotoka basi yeye sio raia wa hiyo nchi?
Nani alikuambia serikali ni nchi?
Au nani alikuambia viongozi wa serikali ni nchi?
Kuichukia serikali ambayo by definition ni group la watu wachache wanaotawala sio kuichukia nchi
Nchi ni kitu kingine na serikali ni kitu kingine
Na pia jifunze kuacha tabia mbovu ya kupangia watu usiowajua uraia wao,wewe sio universal citizenship giver,wewe ni citizen punguani kama mimi na yule
Hivi iliposemwa kwamba njia za kuambukizwa UKIMWI ni kufanya ngono za hovyo hovyo, kulawitiana hovyo hovyo, kuongezwa damu mishipani hovyo hovyo, kujidunga masindano hovyo hovyo, nk.
Hivi mlitaka serikali ichukue hatua gani nyingine? Kununua dawa ya ku- castrate wanaume wote kwa muda mpaka hapo UKIMWI utakapotokomea?
Duu!!Angalia huyu nae
Ndio shida ya wakristo,ni wapumbavu kupita maelezo,mnadhani dunia nzima ni wakristo kama nyie,hivyo mnawasukumia uktristo through our throats by default
Sikutambui,sitambui ukristo,sitambui hicho kitabu,si subscribe kwenye huo upumbavu.Ukristo ni imani yako binafsi hainihusu,keep it for yourself
Hiyo bible unaijua wewe,huyo Kristo unamjua wewe,i dont know that nonsense..Na sitaki unisukumie hizo imani zako...Kaa nazo wewe
Kama una hoja za siasa tunazo zungumzia hapa,sitoe hapa tubishane,sio mambo yako ya binafsi unasukumia wengine as if we know anything au tunaamini huo upumbavu wa Ukristo ulio nao....