Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imefungwa mbona PM yakoNaomba uingie PM mkuu
HIVi mwenzako Mahondow yupo ?Na anarudi Rasmin JF baada ya Membe na kinana kurudi kundini...
😂😂 we unamsikia hata fb?He Leo nilikua busy sana sikuchungulia taarifa za humu.
Ngwala kapigwa ngwala gani Tena?
Bora hayo kuliko kuuana. Kutishana na kubambikiana Kesi. Jk aliajiri mamilioni ya vijana kuliko mwehu marehemuAcha tembo wauliwe na ugaidi na uhujumu uchumi utawale. Maamuzi ya leo ni chachu ya gharika zijazo
Mzee tupa tupa yuko wapi?MKUU TAFAKARI BRITANICCA NI MEMBER TÜ WA JF MAARUFU MBRUSH VIATU HAPO LUMUMBA , ukitaka mambo Ya ndani Ya CCM msome Pascal Mayalla Na MAGAMBA MATATU TÜ sisi wengie wapiga ramli tu
Britanicca
😂😂😂 ndo maana alisema nimejitoa sadaka maisha yanguKidogo kidogo CCM na serkali yake inajionesha ni ya watu wa familia flani. Hao wasio husiana na hizo familia wako hapo kwenye nafasi za juu kwa vile hayuko wa familia hizo mwenye sifa ya kuwa hiyo nafasi au uwezo wake umepitiliza imemlazimu kuitwa ili awe girisi ya kulainisha shughuli za familia hizo ndani ya chama na serikali.Mfano wa Mtu aliye tumiwa kama gitisi kuondoa sinto fahamu ya magovi kati ya wanafamilia hizo ni late JPM.
Sijui siku hizi yuko wapiMzee tupa tupa yuko wapi?
😂😂😂 ndo maana alisema nimejitoa sadaka maisha yangu
Humu jukwaani nahisi kila kigogo 'mzito' tuko naye! Wengine wenye ujasiri kama Dr Mwigulu Nchemba (MB), wanatumia majina yao halisi!
Mkuu ila na wewe upo karibu na waridi, kwa hiyo na wewe hunukia kiwaridi pia.MKUU TAFAKARI BRITANICCA NI MEMBER TÜ WA JF MAARUFU MBRUSH VIATU HAPO LUMUMBA , ukitaka mambo Ya ndani Ya CCM msome Pascal Mayalla Na MAGAMBA MATATU TÜ sisi wengie wapiga ramli tu
Britanicca
Na Mzee Mwanakijiji pia hajasikika pia na "comments" zake kuhusu ujio wake mpya, licha ya kupewa karipio kali, kuwa "under house arrest" (just hear say) na tuhuma kadha wa kadha wakati wa uhakiki wa mali za chama na zile kuhusu usafirishaji wa bidhaa ghafi katika meli zake.Mzee tupa tupa yuko wapi?
Nasubiria habari za mashariki ya mbali kwa hamu sana.MKUU TAFAKARI BRITANICCA NI MEMBER TÜ WA JF MAARUFU MBRUSH VIATU HAPO LUMUMBA , ukitaka mambo Ya ndani Ya CCM msome Pascal Mayalla Na MAGAMBA MATATU TÜ sisi wengie wapiga ramli tu
Britanicca
Ubunge mtamu sanamembe back, kinana vice chairman, pinda katibu, itikadi na uenezi shabby.
😂😂😂
wale wabunge wapya mkalee familia zenu.
kigwa nae kapigwa na kitu balaaa
Humu jukwaani nahisi kila kigogo 'mzito' tuko naye! Wengine wenye ujasiri kama Dr Mwigulu Nchemba (MB), wanatumia majina yao halisi!
Huku Vigogo wengine mfano Profesa Elitwege , Dr. jingalao, Profesa mama D , Injinia Idugunde, Mzee Kisinini johnthebaptist wa pale Iringa mjini, Mfanyabiashara mkubwa na maarufu kabisa nchini Mheshimiwa Crimea, wamechagua kutumia majina ya bandia kama mimi.
Kama wale waliolipuliwa na bomu kwenye mkutano wa chadema pale Arusha?Bora tembo wafe lakini sio kuua binadamu kisa madaraka. Sukuma gang mmepigwa kwenye mshono!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Humu jukwaani nahisi kila kigogo 'mzito' tuko naye! Wengine wenye ujasiri kama Dr Mwigulu Nchemba (MB), wanatumia majina yao halisi!
Huku Vigogo wengine mfano Profesa Elitwege , Dr. jingalao, Profesa mama D , Injinia Idugunde, Mzee Kisinini johnthebaptist wa pale Iringa mjini, Mfanyabiashara mkubwa na maarufu kabisa nchini Mheshimiwa Crimea, wamechagua kutumia majina ya bandia kama mimi.