Brother amepata likizo anakuja kagua mashamba na mtaji nilishakula sijui nifanyeje

Brother amepata likizo anakuja kagua mashamba na mtaji nilishakula sijui nifanyeje

Am not feeling well guys, leo nimetembea kilometres nyingi kutafuta mashamba ya mbali ambayo yanaendana na mazao tuliokubaliana tulime, kesho ndio naenda kumuonesha maana monday anageuza.

Your prayers mwenye shamba asijekutukuta jamani
Hahahaha
 
Asee Christmas kwangu imekuwa ya hovyo balaa, naona kama imekuja niumbua.

Kwanza kabisa mimi ni kijana wa miaka 33 ni degree holder lakini mpaka sasa sina kazi ya kueleweka, jambo ambalo limefanya nishindwe kuwa na familia.

Maisha dar yalinitandika haswa ikabidi nirudi kwa mama ndio mpaka sasa nilipo,.. Niliwahi bahatisha kazi kwenye berau de change dar lakini 2018 December tulivamiwa ofisini na askari wakatukamata japo baadae tuliachiwa lakini kibarua kikaota majani .

Baada ya hapo nilitafuta kazi bila mafanikio nikashindwa lipa pango ikabidi niendee kukaa kwa sista aka kwa shemeji nimekaa pale sana bila mishe yoyote kama miezi 6, kumbe shemeji, alikuwa anachukia ikabidi wanitengenezee zengwe pamoja na sista.

Siku hiyo asubuhi mimi sina hili wala lile nasikia ugonvi kati ya sista na shemeji, baadae sista akakasirika sana akachukua mabegi akaondoka. Mimi nikabaki najiuliza nimfate sista au niendele kukaa kwa shemeji? Nikasema wee mjinga usinitanie hapa siondoki,

baada ya siku mbili sista kaniambia ameshafika nyumbani, shemeji nae siku hiyohiyo akaniambia kesho inabidi uondoke ninasafari ya kikazi nashukuru alinipatia kiasi kidogo nikachukua vyangu nikasepa kurudi kwa mama maana nilikuwa sina jinsi

Nimerudi home haikupita hata wiki mbili sista huyo akarudi kwa mumewe, nilimuuliza sista kama naweza rudi akasema nitulie kwanza.... hali iwe shwali.

Bahati nzuri mwaka huu brother kapata dili kwenye kampuni kubwa hapo dar es salaam, ikabidi nitumie fursa ya kilimo kupata mtaji kutoka kwake kwa makubaliano kuwa tutakacho pata faida nusu kwa nusu mtaji wake ubaki pale pale

Mpaka sasa ameshanitumia kama millioni 4.5 pia alinunua pikipiki kutoka kwa rafiki yale alikuwa kafulia akanikabidhi kuwa niwe nafanyia patrol kwenye shughuli za shamba.

Nifupishe tu pesa yote kuna jamaa alikuja akatushauri kwenye kikundi kuwa tukiwekeza kwenye kampuni yao kiasi cha 4.5m tutakuwa tunapata dola kati ya 100 na 200 kila mwezi, akatuonesha document yeye anavyolipwa nikaona hii ndio shortcut. Pia katuambia mtaji kwa mtu mmoja mmoja ni 5m hiyo 4.5m ni mkiwa kikundi kuanzia watu 4

Mpaka naandika hapa sijawahi pokea hata shilingi kumi jamaa hatujamuona baada ya danadana kibao juzi hapa tunasikia kakamatwa sijui hata nianzie wapi.

Brother nae kila muda anataka nimtumie picha za mazao juzi nilisikia anaongea na mother kwenye simu kuwa anaumwa hawezi kuja kula Christmas jana usiku akapiga tena kuwa kapata nafuu ameshakata tiketi ya kuja asee nilivyosikia nimechanganyikiwa.

Leo asubuhi nimetoka njee nikakuta mbwa wanafanya mapenzi wamenasiana asee hasira zangu zote nimemaliza kwao nimewatandika bakora za kiwango cha stieglas gorge
hadi raia wakaingila kati, toka asubuh sijarudi nyumbani napiga hesabu sijui nitamwambieje brother
Hizi digital marketing zimepiga wengi
 
Mwambie tu ukweli atakuelewa ishamtokea jamaa yangu. alipewa mtaji wa milion 32 naye akaongeza miioni 8 iliwafanye biasha ya kununua na kusaga mawe ya dhahabu. Mara ya kwanza ikaenda poa, mara ya pili akampa mtu akampiga akabaki na milioni 8 tu. Akawa anaogopa kumwambia bro wake ukweli akawa anamdanganya sana kila mara. Ila uongo una mwisho ilifika muda akawa na stress sana. Mimi nikamshauri mwambie ukweli jamaa anaogopa sana. Akawa anataka kwenda kwa mganga eti ampe dawa akimwambia bro asimaindi. Mimi nikamwambia usiende kwa mganga ngoja mimi nikupe dawa mimi kijukuu cha Mshana. Nikampa kimti tu halafu nikamwambia mpigie umwambie. Jamaa akapata confidence bwana, akampigia akamwambia ukweli. Bro wake ajabu hakumaindi ila akasema kwanini hakumwambia muda wote angekuwa ashaongeza pesa waendelee na uzalishaji.

Napoandika haya leo jamaa na bro wake wana mtaji mkubwa sehemu mbili tofauti biashara yao iliendelea. Wanaongelea hundreds of millions kila baada ya mieizi miwili mpaka mitatu.

We mwambie ukweli tu japo umechelewa mkuu.
Huyu uliyemwelezea hapa angalau ana akili na mwanzo alikuwa na 8m kuashiria ni mpambanaji. Mtoa mada ni bonge la popoma... soma vizuri utaona ana changamoto ya uaminifu na uvivu. Kafukuzwa kazi pi kafukuzwa na shemeji. Mi naona aondoke kwanza kupisha hali ya hewa itulie
 
Am not feeling well guys, leo nimetembea kilometres nyingi kutafuta mashamba ya mbali ambayo yanaendana na mazao tuliokubaliana tulime, kesho ndio naenda kumuonesha maana monday anageuza.

Your prayers mwenye shamba asijekutukuta jamani
Uongo uanza pole pole mwisho upelekea makubwa. Kuna watu wameua ili kuficha uongo, niliwahi kuandika kisa cha kijana aliyedanganya kwao kuwa anasoma chuo ikafia muda wa kugraduate, akajua sasa atakamatika ikabidi aandae mauaji ya familia yake yani baba, mama na mdogo wake
 
Asee Christmas kwangu imekuwa ya hovyo balaa, naona kama imekuja niumbua.

Kwanza kabisa mimi ni kijana wa miaka 33 ni degree holder lakini mpaka sasa sina kazi ya kueleweka, jambo ambalo limefanya nishindwe kuwa na familia.

Maisha dar yalinitandika haswa ikabidi nirudi kwa mama ndio mpaka sasa nilipo,.. Niliwahi bahatisha kazi kwenye berau de change dar lakini 2018 December tulivamiwa ofisini na askari wakatukamata japo baadae tuliachiwa lakini kibarua kikaota majani .

Baada ya hapo nilitafuta kazi bila mafanikio nikashindwa lipa pango ikabidi niendee kukaa kwa sista aka kwa shemeji nimekaa pale sana bila mishe yoyote kama miezi 6, kumbe shemeji, alikuwa anachukia ikabidi wanitengenezee zengwe pamoja na sista.

Siku hiyo asubuhi mimi sina hili wala lile nasikia ugonvi kati ya sista na shemeji, baadae sista akakasirika sana akachukua mabegi akaondoka. Mimi nikabaki najiuliza nimfate sista au niendele kukaa kwa shemeji? Nikasema wee mjinga usinitanie hapa siondoki,

baada ya siku mbili sista kaniambia ameshafika nyumbani, shemeji nae siku hiyohiyo akaniambia kesho inabidi uondoke ninasafari ya kikazi nashukuru alinipatia kiasi kidogo nikachukua vyangu nikasepa kurudi kwa mama maana nilikuwa sina jinsi

Nimerudi home haikupita hata wiki mbili sista huyo akarudi kwa mumewe, nilimuuliza sista kama naweza rudi akasema nitulie kwanza.... hali iwe shwali.

Bahati nzuri mwaka huu brother kapata dili kwenye kampuni kubwa hapo dar es salaam, ikabidi nitumie fursa ya kilimo kupata mtaji kutoka kwake kwa makubaliano kuwa tutakacho pata faida nusu kwa nusu mtaji wake ubaki pale pale

Mpaka sasa ameshanitumia kama millioni 4.5 pia alinunua pikipiki kutoka kwa rafiki yale alikuwa kafulia akanikabidhi kuwa niwe nafanyia patrol kwenye shughuli za shamba.

Nifupishe tu pesa yote kuna jamaa alikuja akatushauri kwenye kikundi kuwa tukiwekeza kwenye kampuni yao kiasi cha 4.5m tutakuwa tunapata dola kati ya 100 na 200 kila mwezi, akatuonesha document yeye anavyolipwa nikaona hii ndio shortcut. Pia katuambia mtaji kwa mtu mmoja mmoja ni 5m hiyo 4.5m ni mkiwa kikundi kuanzia watu 4

Mpaka naandika hapa sijawahi pokea hata shilingi kumi jamaa hatujamuona baada ya danadana kibao juzi hapa tunasikia kakamatwa sijui hata nianzie wapi.

Brother nae kila muda anataka nimtumie picha za mazao juzi nilisikia anaongea na mother kwenye simu kuwa anaumwa hawezi kuja kula Christmas jana usiku akapiga tena kuwa kapata nafuu ameshakata tiketi ya kuja asee nilivyosikia nimechanganyikiwa.

Leo asubuhi nimetoka njee nikakuta mbwa wanafanya mapenzi wamenasiana asee hasira zangu zote nimemaliza kwao nimewatandika bakora za kiwango cha stieglas gorge
hadi raia wakaingila kati, toka asubuh sijarudi nyumbani napiga hesabu sijui nitamwambieje brother
Hizi ndo degree za sasa
 
Uongo uanza pole pole mwisho upelekea makubwa. Kuna watu wameua ili kuficha uongo, niliwahi kuandika kisa cha kijana aliyedanganya kwao kuwa anasoma chuo ikafia muda wa kugraduate, akajua sasa atakamatika ikabidi aandae mauaji ya familia yake yani baba, mama na mdogo wake
Kwani chuo lazima ufanye graduation? Mbna wengi tyuuuh hawafanyi.
Huyo nae alikosa plan kabisa.
 
Kwani chuo lazima ufanye graduation? Mbna wengi tyuuuh hawafanyi.
Huyo nae alikosa plan kabisa.
kugraduate siyo kufanya mahafali bali kuhitimu... Na ni lazima tu familia yake ingejua kuwa alikuwa anaongopa, na alivyo na roho ya kishetani akaamua awaue, by the way ni Marekani sidhani kama TZ mtu anaweza fanya hivi.
 
kugraduate siyo kufanya mahafali bali kuhitimu... Na ni lazima tu familia yake ingejua kuwa alikuwa anaongopa, na alivyo na roho ya kishetani akaamua awaue, by the way ni Marekani sidhani kama TZ mtu anaweza fanya hivi.
Sasa chuo c unahitimu tyuuuh, then maisha yanaendelea, labda aliogopa kweny kuonesha cheti cha degree.
 
Sasa chuo c unahitimu tyuuuh, then maisha yanaendelea, labda aliogopa kweny kuonesha cheti cha degree.
Yah mambo ua cheti lazima angeumbuka na baba yake alikuwa mtu mwenye pesa yake wakati anasoma chuo akamnunulia nyumba karibu na chuo tena baharini kabisa mtoto asipate tabu kumbe jamaa hata halisomi
 
Back
Top Bottom