Brother amepata likizo anakuja kagua mashamba na mtaji nilishakula sijui nifanyeje

Hiyo wazee mjini tunasema umepiga alafu na wewe ukapigwa !

Ova
 
Kuna mahala umesema you're in 3rd floor (33 years old) ila mbona hauna ukomavu huo? No offence bro, una utoto sana.

Kama ulivyowasilisha bandiko lako hapa mwambie kaka yako hivyo hivyo. Usimletee akili za kitoto pia umesema mambo yako hayapo sawa, kwa nini umletee upumbavu mtu anayeweza kukutoa?
 
Wewe ni tatizo sana. Kwanza wewe ndo ulikuwa tatizo kwenye ndoa ya dadako, ndiyo maana baada ya kuondoka wewe wao wakarudiana so usiende kwa dadako tena. Ila torokea sehemu yoyote nyingine, andika meseji ya kusema ukweli na kuomba msamaha then tupa line katafute kibarua nje ya mji wako ufanye mwisho mwa 2021 uwe na kiasi cha kuanza kupunguza deni au kununua mashamba ili kurudisha uhusiano uliodorora!

Next time use your brain, huwezi kuwa graduate halafu unatapeliwa kizembe namna hiyo. Elimu haijakukomboa nenda ukafanye tuu vibarua!
 
Kaka yako nae atakuja kuandika ushuhuda humu
 
Goodmorning billionaire
 
Hizo pesa bro na sista wanazotuma kwa mama mimi ndio huwa nazipangia matumizi sasa kwenye hizo hizo pesa nitazibana mpaka hiyo pesa itoshe hata kama ni nisu,
 
Hizo pesa bro na sista wanazotuma kwa mama mimi ndio huwa nazipangia matumizi sasa kwenye hizo hizo pesa nitazibana mpaka hiyo pesa itoshe hata kama ni nisu,
Wwe jamaa yani nimetafakari nashindwa niseme nini, huyo chawa ndiye atakuja mwambia bro wako ukweli
 
Hizo pesa bro na sista wanazotuma kwa mama mimi ndio huwa nazipangia matumizi sasa kwenye hizo hizo pesa nitazibana mpaka hiyo pesa itoshe hata kama ni nisu,
hutatatua tatizo hapo umeongeza tatizo any ngoja na mm nipambane na yangu kila mtu na yake...
 
Now siangalii chawa au tatizo kutotatuka. Ila nahitaji kutafuta pesa japo asilimia kadhaa za ule mtaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…