Brother amepata likizo anakuja kagua mashamba na mtaji nilishakula sijui nifanyeje

Hela za kudowmload, yaani 33 bado unapigwa.Hio digrii choma, huna akili.Unapenda kitonga maisha sasa yata **##ck!!!
kutapeliwa hakuna uhusiano na umri, humu jamii forum kila mtu anajifanya mjanja mbona kila siku vilio watu wanapigwa,
Achilia mbali mm mwenye 34 kuna wastaafu ,askari+waalimu wamepigwa
 
kutapeliwa hakuna uhusiano na umri, humu jamii forum kila mtu anajifanya mjanja mbona kila siku vilio watu wanapigwa,
Achilia mbali mm mwenye 34 kuna wastaafu ,askari+waalimu wamepigwa
Miaka 33 hajui michezo ya desi.Kama una digrii na unakubali upatu wa kumpa heka mtu aende kukuzalishia haina maaa m
Kuwa na digrii .Dec niliigomea nikiwa na 27 af elimu ya cheti Luna janaa zangu was wamuw university wakapigwa.Uashangaa wengi wanaopigwa ni wanachuo au wahitimu wa shahada.Utapeli was q- net,gnld nk umekuwa was mda mrefu sasa sii mpya lakin bado watu wanapigwa.
 
Jifunze basi kuandika na degree yako ya Amazon college.
[emoji23][emoji23][emoji23] Kuhusu makaratasi usijichanganye mkuu, chuo nilichosoma ni bora tz nzima, na kozi niliyosoma kwa uhandishi huo ingekutoa kamasi
 
Mwambie tu umeiwekeza huko,atakuwa mpole tu si atajua ushapigwa,ila mkuu ujue unatuchanganyaaaaaaaa,kwenye kichwa chako cha habari umesema umekula mtaji,mbona sasa,unatuchanganyia madesa tena na qnet,au ndio umesafiria nyota???
 
kmmake Q net daaah Another homie down ***** daaah nimekasirika yan nikisikia msengelema mwingine ananiambia ishue kama ya qnet namrukia roba moja matata sana ndugu zangu wengi wamelizwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Na huyu inaonyesha mpaka a naandika hapa Hajatambua kama ni wazee wa Qnet, akikutana na global sijui Aim alliance watamla kichwa tena
 
Ukuachilia mbali msala wako we jamaa ni story teller mzuri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]

Hapo kwenye mbwa kunasa[emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Am not feeling well guys, leo nimetembea kilometres nyingi kutafuta mashamba ya mbali ambayo yanaendana na mazao tuliokubaliana tulime, kesho ndio naenda kumuonesha maana monday anageuza.

Your prayers mwenye shamba asijekutukuta jamani
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1]

Anyway pole mkuu
 
Ukuachilia mbali msala wako we jamaa ni story teller mzuri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]

Hapo kwenye mbwa kunasa[emoji23][emoji23][emoji1787]
Daa wanisamehe nilikuwa mchungu kama mbogo. Nilikuwa naona kama wao ndio wameniuzia package ya gold kwa 4m
 
Yah mambo ua cheti lazima angeumbuka na baba yake alikuwa mtu mwenye pesa yake wakati anasoma chuo akamnunulia nyumba karibu na chuo tena baharini kabisa mtoto asipate tabu kumbe jamaa hata halisomi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah, huyo mzee hakua anajua matokeo ya mwanae ya advance? Mbna n maajabu lol
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah, huyo mzee hakua anajua matokeo ya mwanae ya advance? Mbna n maajabu lol
Siku ambayo alipana mauaji yafanyike ndiyo siku alipowambia kuwa kamaliza paper la mwisho, kwa furaha wakaandaa mtoko wa dinner na kumpa zawadi ya saa ya Rolex yenye thamani ya $2000. Baba hakufa ila mama na mdogo wake walikufa, hata baada ya mchezo kugunduliwa na polisi na jamaa kukiri na sasa kafungwa kifungo cha maisha, bado baba yake anasema mtoto wake ni good man na ashamsamehe yani hakuwahi msema vibaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…