Rejea kamusi yako.Ila naskia alikuwa Malaya Sana anatembea na vident ndo Mana akatolew pale na nafasi yake kuchukuliwa na kale keusi kafupi
Unajustify umalaya kweli! Aise we ni nomaRejea kamusi yako.
Malaya Ni mtu anayelipwa ujira kwa kutoa huduma ya tendo la ndoa.
Brathee hakua analipwa. Hata hivyo angekua anachukua videnti angeshashtakiwa Kama yule padri wa juzi aliyempa mimba mwanafunzi.
Ila naskia alikuwa Malaya Sana anatembea na vident ndo Mana akatolew pale na nafasi yake kuchukuliwa na kale keusi kafupi
Rejea kamusi yako.
Malaya Ni mtu anayelipwa ujira kwa kutoa huduma ya tendo la ndoa.
Brathee hakua analipwa. Hata hivyo angekua anachukua videnti angeshashtakiwa Kama yule padri wa juzi aliyempa mimba mwanafunzi.
Unajustify umalaya kweli! Aise we ni noma
Duh pole SANA SANANakumbuka nilienda ofisini kwake mimi mwenyewe kumuomba nafasi ya kujiunga na kidato cha pili, alinipokea kama wageni wengine bila kujali umri wangu. Aliniuliza maswali kadhaa kwa upole na mwisho akanipa kibali cha kujiunga na shule.
R.I.P BROTHER.View attachment 1643918
sijui yule mlinzi mapua bado yupo ?? maana ulikuwa ukimpa Fegi tu anakufungulia getiInasikitisha na kuhuzunisha sana kwa kifo chake. Ametutoka mapema leo 07/12/2020 katika hospitali ya Mount Meru Arusha. Taarifa zaidi kuhusu chanzo cha kifo chake zitakujia hivi karibuni.
Nafahamu kuna wana MJSS wengi sana hapa Jukwaani walio ndani na nje ya nchi. Karibuni tumuenzi mkuu wetu mpendwa kwa maneno ya faraja.
MAY HIS SOUL REST IN ETERNAL LIFE.
Pasipo shaka uklmekunywa mbege sana Makando bar au kusoma tution kwa Mwl MakondooDah unanikumbusha mbali sana Majengo secondary. Maeneo hayo ndio homu.
R. I. P
Sawa, hii ni sadaka hasa, Maana kila siku asubuhi itakuwa ni maumivu makali sana ndani ya boksa zao, mishioa inaweza hata kupasuka, labda kama wanatumia dawa za kuua nguvu 🤷🏽Yes mabrother ni watawa wasiooa
Ikitokea moyo wako unakusukuma kuoa hata kama ni brother unafuata taratibu na unaruhusiwa kutoka kwenye utawa na kuubebaba wito wa ndoa
Alikua anakula sana ...
asante kwa kunijuza,kama utojali nisaidie na mistari kutoka vitabu vya Mungu ili nijifunze zaidiAcha kujifariji uongo na nyie ndio mnasababisha watu flani wanaua wenzao wakijua wakifa wataombewa, hiyo haipo, bada ya kifo ni hukumu yako kwa uliyotenda hata dunia nzima ikuombee hamna kitu.
tuache unafki!
Mwl makondoo aka Baba Kichenge MurombooPasipo shaka uklmekunywa mbege sana Makando bar au kusoma tution kwa Mwl Makondoo
Umeitunza mpaka leoNakumbuka nilienda ofisini kwake mimi mwenyewe kumuomba nafasi ya kujiunga na kidato cha pili, alinipokea kama wageni wengine bila kujali umri wangu. Aliniuliza maswali kadhaa kwa upole na mwisho akanipa kibali cha kujiunga na shule.
R.I.P BROTHER.View attachment 1643918
Hahahahaha! Mzee wa Kiss the GroundR.I.P mwalimu wangu, aliniadhibu sana kwa sababu nilikuwa mtoro naruka trenchi naingia zangu mitaani
Maumivu yakizidi imani wanaruhusiwa kubadili witoSawa, hii ni sadaka hasa, Maana kila siku asubuhi itakuwa ni maumivu makali sana ndani ya boksa zao, mishioa inaweza hata kupasuka, labda kama wanatumia dawa za kuua nguvu 🤷🏽
So sad brother Pius, mr almas, mr mkumbwa Mungu awapumzishe kwa amani, namkumbuka mr.almas na mkewe dah dunia inamaumivu makali sanaMajengo secondary School taasisi ambayo watumishi wake hawakuwahi kuwa na wazo la kuacha kazi wala kutafuta kazi sehemu nyingine.
Management iliyowajali sana watumishi na watumishi wakawajali sana wateja wao wanafunzi
Mungu awapumzishe kwa amani, Tutawakumbuka daima[emoji120]
Brother Peter Lyimo RIP
Brother Pius Kihuru RIP
Mr Mgimwa RIP
Mr Nyindo RIP
Mr Sendoro RIP
Mr Almas RIP
Mr Mkumbwa RIP
Chef mkuu Mr James RIP
Da aisee huyu mwalimu ndo alinifanya leo kuwa baba mzuri wa familia pia na huu mkate ninao upata kwa sasa ni matunda ya usimamizi wake mzri. Mwl mwingine ni MKUMBWA KICHAWELE', SENDORO,SAFARI Kuna mmoja anaitwa TERITERI. RIP brother