SueIsmael
JF-Expert Member
- Dec 11, 2013
- 932
- 1,282
Dah! Mola ampumzishe kwa amani. Alifanya kazi kubwa sana kuibadilisha Majengo - shule iliyokuwa na kila aina ya wanafunzi unaoweza kuwadhania hapa dunia. Nilipojiunga na Majengo, yeye na Mr Minja ndio waalimu walionielewa toka awali. Nitaendelea kumshukuru na kumuombea pumziko la amani.