Tape measure
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,981
- 3,604
Nilipitaga Majengo High School
REST IN PEACE
REST IN PEACE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii taarifa ilinipitaga bac !!mm nilisikia ya mr.Almasi na mzee Ally tuMudaa kama miaka2 au 3
nyie ndio mmeiletea Majengo Sec sifa mbaya, wahuni wa njoro ya DobiR.I.P mwalimu wangu, aliniadhibu sana kwa sababu nilikuwa mtoro naruka trenchi naingia zangu mitaani
Baada ya kifo ni hukumu, unamwombeaje mtu apumzike kwa amani?Poleen sana wafiwa.MwenyezMungu akafanyike faraja katika kipindi hiki kiguumu na uku tukimuombea marehemu apumzike kwa amani
hiki kikosi kazi chote kimetutoka, aisee Majengo kulikuwa na Pisi za hatari nakumbuka Akina Lusia franko, fausta franki, Giovani hawa walikuwa half cast wanakaa shnty town , shitu walitumia viungo vyao sana kwa watu mbalimbaliMajengo secondary School taasisi ambayo watumishi wake hawakuwahi kuwa na wazo la kuacha kazi wala kutafuta kazi sehemu nyingine.
Management iliyowajali sana watumishi na watumishi wakawajali sana wateja wao wanafunzi
Mungu awapumzishe kwa amani, Tutawakumbuka daima🙏
Brother Peter Lyimo RIP
Brother Pius Kihuru RIP
Mr Mgimwa RIP
Mr Nyindo RIP
Mr Sendoro RIP
Mr Almas RIP
Mr Mkumbwa RIP
Chef mkuu Mr James RIP
sisi ni binadamu tu,kumuombea Mtu haimanishi ni kumpanga Mungu,sisi tunamuombea tu na mengine Mungu anajua zaidiBaada ya kifo ni hukumu, unamwombeaje mtu apumzike kwa amani?
Yaani unampanga Mungu?
Dadavua hapa tumjueNi snitch tu huyo
Nani Stoney Tangawizi?yule asiyependwa na wengi ingekua sio msiba bali kibali cha beer, kitimoto yaani Xmas ingeshaanza.
Tujifunze kutenda mema
Acha kujifariji uongo na nyie ndio mnasababisha watu flani wanaua wenzao wakijua wakifa wataombewa, hiyo haipo, bada ya kifo ni hukumu yako kwa uliyotenda hata dunia nzima ikuombee hamna kitu.sisi ni binadamu tu,kumuombea Mtu haimanishi ni kumpanga Mungu,sisi tunamuombea tu na mengine Mungu anajua zaidi
😀 ni utoto tu mkuunyie ndio mmeiletea Majengo Sec sifa mbaya, wahuni wa njoro ya Dobi
Ila naskia alikuwa Malaya Sana anatembea na vident ndo Mana akatolew pale na nafasi yake kuchukuliwa na kale keusi kafupiHakua mpigaji
Hakumuonea mtu
Hakumuibia mtu
Hakuvunja nyumba ya mtu
Hakuharibu biashara za watu
Lengo lake lilikua kuinua Maisha ya wanyonge.
Sio Hawa vidudu mtu waliokuja duniani kuwapa wengine machungu
Unasikia.........🙄🙄Ila naskia alikuwa Malaya Sana anatembea na vident ndo Mana akatolew pale na nafasi yake kuchukuliwa na kale keusi kafupi
hapana , ukiwa husimamishi unapewa USHEMASIHao mabrother huwa na nadhiri ya useja kama
Mapadre?
Yes mabrother ni watawa wasiooaHao mabrother huwa na nadhiri ya useja kama
Mapadre?
Hiyo sidhan kama ilikua sababu maana zile pis za majengo kutafuna m1 au wawili is "understandable"...naona walimtoa kwa sababu ya perfomance na reputation ya shule ilivyokuwa .yaan majengo ilishajukllikana ni shule ya "wahuni"Ila naskia alikuwa Malaya Sana anatembea na vident ndo Mana akatolew pale na nafasi yake kuchukuliwa na kale keusi kafupi
Hawezi pokelewa alikuwa malayaAlivyohamishwa kuna siku akatembelea MJ niliona video wanafunzi wakiandamana kumtaka asiondoke & arudi kuwa mkuu wao, Ilibidi Polisi waje kumsaidia aondoke maana wanafunzi walizingira gari lake pande zote.
Hakika amepokelewa mbinguni na baba muumba.