TANZIA Brother Peter Lyimo, aliyekuwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Majengo-Moshi amefariki Dunia

TANZIA Brother Peter Lyimo, aliyekuwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Majengo-Moshi amefariki Dunia

Majengo secondary School taasisi ambayo watumishi wake hawakuwahi kuwa na wazo la kuacha kazi wala kutafuta kazi sehemu nyingine.
Management iliyowajali sana watumishi na watumishi wakawajali sana wateja wao wanafunzi

Mungu awapumzishe kwa amani, Tutawakumbuka daima[emoji120]
Brother Peter Lyimo RIP
Brother Pius Kihuru RIP
Mr Mgimwa RIP
Mr Nyindo RIP
Mr Sendoro RIP
Mr Almas RIP
Mr Mkumbwa RIP
Chef mkuu Mr James RIP
Mr Kavishe.
Mzee Ally (Mlinzi)
Mr Nnko (Adv' Physics teacher)
 
Inasikitisha na kuhuzunisha sana kwa kifo chake. Ametutoka mapema leo 07/12/2020 katika hospitali ya Mount Meru Arusha. Taarifa zaidi kuhusu chanzo cha kifo chake zitakujia hivi karibuni.

Nafahamu kuna wana MJSS wengi sana hapa Jukwaani walio ndani na nje ya nchi. Karibuni tumuenzi mkuu wetu mpendwa kwa maneno ya faraja.

MAY HIS SOUL REST IN ETERNAL LIFE.
Mimi namkumbuka kwa kunibania nafasi ya kusoma PGM pale majengo.

Nikaenda shule nyingine nikapiga Pure na kutoka one swaaafi nikaenda chuo!!

Kwa sasa ni injinia kamili katika nchi ya Tz!!


NB: Iliniuma kukosa nafasi majengo ila kama sio maumivu ya kunyimwa nafasi nisingeenda kusoma kwa moyo kwenye hiyo shule ingine!!

So nitaendelea kumkumbuka kwa hilo!!
 
Inalillah wainaillah Raji'un ....Tutakukumbuka Sana Wana MJSS
 
Inasikitisha na kuhuzunisha sana kwa kifo chake. Ametutoka mapema leo 07/12/2020 katika hospitali ya Mount Meru Arusha. Taarifa zaidi kuhusu chanzo cha kifo chake zitakujia hivi karibuni.

Nafahamu kuna wana MJSS wengi sana hapa Jukwaani walio ndani na nje ya nchi. Karibuni tumuenzi mkuu wetu mpendwa kwa maneno ya faraja.

MAY HIS SOUL REST IN ETERNAL LIFE.
Pole Sana ila Mambo ya kuombea Marehemu kwa wakristo hakuna.
 
Inasikitisha na kuhuzunisha sana kwa kifo chake. Ametutoka mapema leo 07/12/2020 katika hospitali ya Mount Meru Arusha. Taarifa zaidi kuhusu chanzo cha kifo chake zitakujia hivi karibuni.

Nafahamu kuna wana MJSS wengi sana hapa Jukwaani walio ndani na nje ya nchi. Karibuni tumuenzi mkuu wetu mpendwa kwa maneno ya faraja.

MAY HIS SOUL REST IN ETERNAL LIFE.
"Do the right thing at the right time,at the place and at the right moment".

"Kiss the ground"

Hiyo ilikuwa misemo alikuwa anaitumia nikiwa nasoma wakati huo.

Pumzika kwa amani Br. Peter Lyimo
 
Majengo secondary School taasisi ambayo watumishi wake hawakuwahi kuwa na wazo la kuacha kazi wala kutafuta kazi sehemu nyingine.
Management iliyowajali sana watumishi na watumishi wakawajali sana wateja wao wanafunzi

Mungu awapumzishe kwa amani, Tutawakumbuka daima[emoji120]
Brother Peter Lyimo RIP
Brother Pius Kihuru RIP
Mr Mgimwa RIP
Mr Nyindo RIP
Mr Sendoro RIP
Mr Almas RIP
Mr Mkumbwa RIP
Chef mkuu Mr James RIP
Du hao wote washafariki?
 
Back
Top Bottom