Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee you are a wonderful archiver. Such a clean kept note🤣🤣😂😂😀😃😃😃. Happy that your former Headmaster was such a kind man. May his soul Rest In Eternal Peace. AmenNakumbuka nilienda ofisini kwake mimi mwenyewe kumuomba nafasi ya kujiunga na kidato cha pili, alinipokea kama wageni wengine bila kujali umri wangu. Aliniuliza maswali kadhaa kwa upole na mwisho akanipa kibali cha kujiunga na shule.
R.I.P BROTHER.View attachment 1643918
Pole sana ndugu yanguInasikitisha na kuhuzunisha sana kwa kifo chake. Ametutoka mapema leo 07/12/2020. Taarifa zaidi kuhusu chanzo cha kifo chake zitakujia hivi karibuni.
Nafahamu kuna wana MJSS wengi sana hapa Jukwaani walio ndani na nje ya nchi. Karibuni tumuenzi mkuu wetu mpendwa kwa maneno ya faraja.
MAY HIS SOUL REST IN ETERNAL LIFE.
Trench town😢😢😢😢R.I.P mwalimu wangu, aliniadhibu sana kwa sababu nilikuwa mtoro naruka trenchi naingia zangu mitaani
na wewe ulisoma Majengo sec?Trench town😢😢😢😢
Kabisa mkuu. Watu wengi sana wamepitia mikononi mwake wengi saaana Ikiwemo Jamal Sambeke rubani TPDF
Sio kusoma tuu tumefanya kazi nyingi piana wewe ulisoma Majengo sec?
ok, bas na ww ni mfiwa mwenzetuSio kusoma tuu tumefanya kazi nyingi pia
Taifa limepoteza
Dogo JamalKabisa mkuu. Watu wengi sana wamepitia mikononi mwake wengi saaana Ikiwemo Jamal Sambeke rubani TPDF
Alikuwa anapenda sana kusema: DO THE RIGHT THING AT THE RIGHT PLACE & AT THE RIGHT MOMENT.
Dogo Jamal
Hakua mpigaji
Hakumuonea mtu
Hakumuibia mtu
Hakuvunja nyumba ya mtu
Hakuharibu biashara za watu
Lengo lake lilikua kuinua Maisha ya wanyonge.
Sio Hawa vidudu mtu waliokuja duniani kuwapa wengine machungu
Students!!!!