Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
form two mko mtaani kumbe Rip brother LymoNakumbuka nilienda ofisini kwake mimi mwenyewe kumuomba nafasi ya kujiunga na kidato cha pili, alinipokea kama wageni wengine bila kujali umri wangu. Aliniuliza maswali kadhaa kwa upole na mwisho akanipa kibali cha kujiunga na shule.
R.I.P BROTHER.View attachment 1643918
Mbona mama D mtu poa sana. Anyway one man's meat is another's poison.Mungu na anisamehe i don't like you!
Lakini bado hukujifunza mpaka leoR.I.P mwalimu wangu, aliniadhibu sana kwa sababu nilikuwa mtoro naruka trenchi naingia zangu mitaani
Ahsante sana.Poleni wafiwa
Rest well marehemu.
Dah hii picha imenikumbusha mbali,alishawhi nikamata hivi,sijachomekea hapo getini,akaniambia kiss the ground,alinilima bakora,Apumzike mahali pema brother
Mkumbwa mzee wa kemia nae alishatutangulia kumbe?Majengo secondary School taasisi ambayo watumishi wake hawakuwahi kuwa na wazo la kuacha kazi wala kutafuta kazi sehemu nyingine.
Management iliyowajali sana watumishi na watumishi wakawajali sana wateja wao wanafunzi
Mungu awapumzishe kwa amani, Tutawakumbuka daima🙏
Brother Peter Lyimo RIP
Brother Pius Kihuru RIP
Mr Mgimwa RIP
Mr Nyindo RIP
Mr Sendoro RIP
Mr Almas RIP
Mr Mkumbwa RIP
Chef mkuu Mr James RIP
Duuu! Sijasoma makongo lakini idd kipingu nilimjuaKama hujasoma MJSS huwezi mfahamu.
Mapua hahahahaaa! namuona yule mlinzi mzee Rama hapo getini
Lay down woman ohoooo!Woooi kumbe hivyo tuu😂😂 Haya pole kwa kubeba hilo zigo chuki kwenye moyo wako, utakua unachoka sana. Mimi Mmwenzio hata sikuwahi kukujua ndio leo naona hii ID
Wazazi wako walikushindwa?Da aisee huyu mwalimu ndo alinifanya leo kuwa baba mzuri wa familia pia na huu mkate ninao upata kwa sasa ni matunda ya usimamizi wake mzri. Mwl mwingine ni MKUMBWA KICHAWELE', SENDORO,SAFARI Kuna mmoja anaitwa TERITERI. RIP brother
Aamen.Aisee you are a wonderful archiver. Such a clean kept note[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji3][emoji2][emoji2][emoji2]. Happy that your former Headmaster was such a kind man. May his soul Rest In Eternal Peace. Amen
Ni snitch tu huyoMbona mama D mtu poa sana. Anyway one man's meat is another's poison.
Aaamen.Majengo ilikua bora zaidi kwa ajili yake, imebaki kuwa miongoni mwa sehemu bora sana zilizowahi kutokea katika maisha yangu..
Mungu anajua zaidi mioyo yetu kuliko tunavofahamiana, lakini katika akili zangu za kibinadam Mungu amevuna kilicho bora, hakika Brother Peter Lymo alikua ni Mzazi, mwalim na mlezi wangu katika miaka yangu pale majengo, Mungu amrehem na ampe pumziko la amani...
SawaHata usipomdontlike atalike kiwa na wengine
Alivyohamishwa kuna siku akatembelea MJ niliona video wanafunzi wakiandamana kumtaka asiondoke & arudi kuwa mkuu wao, Ilibidi Polisi waje kumsaidia aondoke maana wanafunzi walizingira gari lake pande zote.Dah soo sad...alikuwa anapenda wanafunzi sana,
Alikuwa ni mtu wa watu.
nakumbuka alikuwa hapendi mwanafunzi kuwa Na ndefu...A K.A mzuzu...RIP legend....