TANZIA Brother Peter Lyimo, aliyekuwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Majengo-Moshi amefariki Dunia

TANZIA Brother Peter Lyimo, aliyekuwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Majengo-Moshi amefariki Dunia

I remember a lot of moment abt brother lyimo...my head master.
Alikuwa anapenda sana hesabu...kwa wale wa pcm wanaelewa....,pia alikuwa anapenda sana wanafunzi wasome..vitatu kama vile tranter,bostock kwa pcm...
 
Majengo secondary School taasisi ambayo watumishi wake hawakuwahi kuwa na wazo la kuacha kazi wala kutafuta kazi sehemu nyingine.
Management iliyowajali sana watumishi na watumishi wakawajali sana wateja wao wanafunzi

Mungu awapumzishe kwa amani, Tutawakumbuka daima🙏
Brother Peter Lyimo RIP
Brother Pius Kihuru RIP
Mr Mgimwa RIP
Mr Nyindo RIP
Mr Sendoro RIP
Mr Almas RIP
Mr Mkumbwa RIP
Chef mkuu Mr James RIP
ina maana mr. Almas yule ambaye mke wake naye alikuwa teacher hapo naye alifariki?
 
Majengo secondary School taasisi ambayo watumishi wake hawakuwahi kuwa na wazo la kuacha kazi wala kutafuta kazi sehemu nyingine.
Management iliyowajali sana watumishi na watumishi wakawajali sana wateja wao wanafunzi

Mungu awapumzishe kwa amani, Tutawakumbuka daima🙏
Brother Peter Lyimo RIP
Brother Pius Kihuru RIP
Mr Mgimwa RIP
Mr Nyindo RIP
Mr Sendoro RIP
Mr Almas RIP
Mr Mkumbwa RIP
Chef mkuu Mr James RIP
Hao wote ni walimu waliorest in peace au sijaelewa
 
Aliyekua mkuu wa shule MAJENGO Secondary na Mkurugenzi wa shule ya KIBO Secondary BROTHER PETER LYIMO amefarikiI! ....!

Yakobo 4:14 “walakini hamjui yatakayokuwako kesho. Uzima wenu ni nini? Maana ninyi ni mvuke uonekanao kwa kitambo, kisha hutoweka”.

Lala salama brother🙏

View attachment 1643924View attachment 1643925
Kwa jinsi nisivyo kufagilia nilitamani kuandika jambo gumu sana.

Muache marehemu
 
Brother lyimo alikuwa anapenda sana kutembea Na kiboko...kwa ajili ya notorious student..wanao doji...Na wale wanao ruka trench....soo many things abt brother lyimo...our legend..
 
Hakua mpigaji
Hakumuonea mtu
Hakumuibia mtu
Hakuvunja nyumba ya mtu
Hakuharibu biashara za watu
Lengo lake lilikua kuinua Maisha ya wanyonge.
Sio Hawa vidudu mtu waliokuja duniani kuwapa wengine machungu
Naona umufufue akuone sasa
 
Back
Top Bottom