Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaaa! namuona yule mlinzi mzee Rama hapo getini
ina maana mr. Almas yule ambaye mke wake naye alikuwa teacher hapo naye alifariki?Majengo secondary School taasisi ambayo watumishi wake hawakuwahi kuwa na wazo la kuacha kazi wala kutafuta kazi sehemu nyingine.
Management iliyowajali sana watumishi na watumishi wakawajali sana wateja wao wanafunzi
Mungu awapumzishe kwa amani, Tutawakumbuka daima🙏
Brother Peter Lyimo RIP
Brother Pius Kihuru RIP
Mr Mgimwa RIP
Mr Nyindo RIP
Mr Sendoro RIP
Mr Almas RIP
Mr Mkumbwa RIP
Chef mkuu Mr James RIP
Hao wote ni walimu waliorest in peace au sijaelewaMajengo secondary School taasisi ambayo watumishi wake hawakuwahi kuwa na wazo la kuacha kazi wala kutafuta kazi sehemu nyingine.
Management iliyowajali sana watumishi na watumishi wakawajali sana wateja wao wanafunzi
Mungu awapumzishe kwa amani, Tutawakumbuka daima🙏
Brother Peter Lyimo RIP
Brother Pius Kihuru RIP
Mr Mgimwa RIP
Mr Nyindo RIP
Mr Sendoro RIP
Mr Almas RIP
Mr Mkumbwa RIP
Chef mkuu Mr James RIP
Yes, nadhani last yearina maana mr. Almas yule ambaye mke wake naye alikuwa teacher hapo naye alifariki?
Kwa jinsi nisivyo kufagilia nilitamani kuandika jambo gumu sana.Aliyekua mkuu wa shule MAJENGO Secondary na Mkurugenzi wa shule ya KIBO Secondary BROTHER PETER LYIMO amefarikiI! ....!
Yakobo 4:14 “walakini hamjui yatakayokuwako kesho. Uzima wenu ni nini? Maana ninyi ni mvuke uonekanao kwa kitambo, kisha hutoweka”.
Lala salama brother🙏
View attachment 1643924View attachment 1643925
Ndio mkuu, hao wote walimaliza kazi na wamepumzika kwa amani🙏Hao wote ni walimu waliorest in peace au sijaelewa
nmeona na mr. mkumbwa naye umemmettion kuwa naye R.I.PYes, nadhani last year
Niulize kabla hujaandika mkuu. Usije kuandika machukizo kwa Mungu wetuKwa jinsi nisivyo kufagilia nilitamani kuandika jambo gumu sana.
Muache marehemu
Yesnmeona na mr. mkumbwa naye umemmettion kuwa naye R.I.P
Aisee poleni.mi nashukuru Mungu sikuwa mwalimu ningefia jela vibinti vingenifanya nifungweNdio mkuu, hao wote walimaliza kazi na wamepumzika kwa amani🙏
Mungu na anisamehe i don't like you!Niulize kabla hujaandika mkuu. Usije kuandika machukizo kwa Mungu wetu
Hata usipomdontlike atalike kiwa na wengineMungu na anisamehe i don't like you!
Woooi kumbe hivyo tuu😂😂 Haya pole kwa kubeba hilo zigo chuki kwenye moyo wako, utakua unachoka sana. Mimi Mmwenzio hata sikuwahi kukujua ndio leo naona hii IDMungu na anisamehe i don't like you!
Naona umufufue akuone sasaHakua mpigaji
Hakumuonea mtu
Hakumuibia mtu
Hakuvunja nyumba ya mtu
Hakuharibu biashara za watu
Lengo lake lilikua kuinua Maisha ya wanyonge.
Sio Hawa vidudu mtu waliokuja duniani kuwapa wengine machungu
Inasikitisha na kuhuzunisha sana kwa kifo chake. Ametutoka mapema leo 07/12/2020. Taarifa zaidi kuhusu chanzo cha kifo chake zitakujia hivi karibuni.