Bugati: Tupo tayari kwa lolote Kutoka kwenu ikiwapendeza mtushushe hata madaraja kumi

Bugati: Tupo tayari kwa lolote Kutoka kwenu ikiwapendeza mtushushe hata madaraja kumi

Nasema Uongo Ndugu Zangu

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
279
Reaction score
779
Tupo tayari kwa lolote Kutoka kwenu ikiwapendeza mtushushe hata madaraja kumi Ila hatupo tayari kwa maamuzi yenu ya kuikandamiza Yanga kila siku.

Kuna kesi ngapi za Yanga zipo mezani kwao hadi leo hatujapata ushirikiano wowote Kutoka kwao.Tupo tayari ikimpendeza atupeleke kabisa Fifa.

MY TAKE;
Karia usipo angalia utateguliwa kiuno.
 
img_2_1657052289291.jpg
 
Tupo tayari kwa lolote Kutoka kwenu ikiwapendeza mtushushe hata madaraja kumi Ila hatupo tayari kwa maamuzi yenu ya kuikandamiza Yanga kila siku.

Kuna kesi ngapi za Yanga zipo mezani kwao hadi leo hatujapata ushirikiano wowote Kutoka kwao.Tupo tayari ikimpendeza atupeleke kabisa Fifa.

MY TAKE;
Karia usipo angalia utateguliwa kiuno.
Safi sana lakini isiwe maneno matupu kama Mchina kwa Polesi.
 
Tupo tayari kwa lolote Kutoka kwenu ikiwapendeza mtushushe hata madaraja kumi Ila hatupo tayari kwa maamuzi yenu ya kuikandamiza Yanga kila siku.

Kuna kesi ngapi za Yanga zipo mezani kwao hadi leo hatujapata ushirikiano wowote Kutoka kwao.Tupo tayari ikimpendeza atupeleke kabisa Fifa.

MY TAKE;
Karia usipo angalia utateguliwa kiuno.
Matatizo binafsi ya Manara, Yanga imekubali kuingia kwenye mgogoro na TFF. Hiki ndicho manara alikuwa anakitaka.
 
Tupo tayari kwa lolote Kutoka kwenu ikiwapendeza mtushushe hata madaraja kumi Ila hatupo tayari kwa maamuzi yenu ya kuikandamiza Yanga kila siku.

Kuna kesi ngapi za Yanga zipo mezani kwao hadi leo hatujapata ushirikiano wowote Kutoka kwao.Tupo tayari ikimpendeza atupeleke kabisa Fifa.

MY TAKE;
Karia usipo angalia utateguliwa kiuno.
Iv haya maneno ameyasema kweli ?
 
Matatizo binafsi ya Manara, Yanga imekubali kuingia kwenye mgogoro na TFF. Hiki ndicho manara alikuwa anakitaka.
mwaka jana simba walitoa statement ya kumkana kauli yake kwamba mashabiki wa yanga wasiingie mechi za kimataifa za simba, aliongea kuhusu hali hiyo akisononeka sana sasa kapata taasisi ambayo kakutana na mapwaguzi wenzake basi ni raha tu
 
Tupo tayari kwa lolote Kutoka kwenu ikiwapendeza mtushushe hata madaraja kumi Ila hatupo tayari kwa maamuzi yenu ya kuikandamiza Yanga kila siku.

Kuna kesi ngapi za Yanga zipo mezani kwao hadi leo hatujapata ushirikiano wowote Kutoka kwao.Tupo tayari ikimpendeza atupeleke kabisa Fifa.

MY TAKE;
Karia usipo angalia utateguliwa kiuno.
Manara kuwaingiza mkenge Yanga. Kesi yake binafsi imeifanya kuwa ya klabu
 
Back
Top Bottom