Bugati: Tupo tayari kwa lolote Kutoka kwenu ikiwapendeza mtushushe hata madaraja kumi

Bugati: Tupo tayari kwa lolote Kutoka kwenu ikiwapendeza mtushushe hata madaraja kumi

Jamaa bado anawawekea Kibesi Wenye Mamlaka kimakusudi au kwa kupenda sifa za kijinga.

Haji hajawahi kuwa shabiki wa Yanga.
Huyu ni mamluki ambae hata Yanga ikishushwa Daraja yeye hana cha kupoteza.
MANARA MUST GO
 
Ila manara anajua kuwavuruga utopolo.
Anajua madhara ya timu kushushwa daraja au ndo kwa kuwa HANA CHA KUPOTEZA?
Mimi nilidhani injinia anaweza akawa na akili kidogo pale yanga ukiacha mzee manara na kikwete kumbe na yeye NI BOGAZ
MANARA MUST GO
 
Matatizo binafsi ya Manara, Yanga imekubali kuingia kwenye mgogoro na TFF. Hiki ndicho manara alikuwa anakitaka.
SEMA ndicho yanga WALIOKUWA wakikitaka

Yanga mara ngapi iliingia mgogoro na tifuatifua wewe mpaka waziri bashungwa akaingilia kati?

Makamu wa mwenyekiti hujui ilikuwaje mpaka Yanga kugomea mechi [emoji2957][emoji2957][emoji2957]

Karia anajitekenya na kucheka yanayokuja asipotulia hiiiiiii

Usidhani Kwa Nini wazee wakapisha vijana uongozi wa juu wa Yanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kinachofuta

Utajua hujui
 
Ukiisimamisha yanga hakika tunafungiwa na FIFA Maana YANGA ataenda mahakamani

Ndo mtajua hamjui
 
Pamoja na madhaifu ya Manada ila Karia awe makini mambo sio marahisi kama anavyodhani.

Najua kuna ushabiki nyuma ya maamuzi ya TFF, Karia kuwa makini una familia pia
 
SEMA ndicho yanga WALIOKUWA wakikitaka

Yanga mara ngapi iliingia mgogoro na tifuatifua wewe mpaka waziri bashungwa akaingilia kati?

Makamu wa mwenyekiti hujui ilikuwaje mpaka Yanga kugomea mechi [emoji2957][emoji2957][emoji2957]

Karia anajitekenya na kucheka yanayokuja asipotulia hiiiiiii

Usidhani Kwa Nini wazee wakapisha vijana uongozi wa juu wa Yanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kinachofuta

Utajua hujui
Sawa mfuasi wa manara.
 
Mkumbusheni manara hata makonda na ali hapi walikuwa wajeuri na wenye majivuni kama yeye ila sasa hivi wapo juu ya vigogo.
 
SEMA ndicho yanga WALIOKUWA wakikitaka

Yanga mara ngapi iliingia mgogoro na tifuatifua wewe mpaka waziri bashungwa akaingilia kati?

Makamu wa mwenyekiti hujui ilikuwaje mpaka Yanga kugomea mechi [emoji2957][emoji2957][emoji2957]

Karia anajitekenya na kucheka yanayokuja asipotulia hiiiiiii

Usidhani Kwa Nini wazee wakapisha vijana uongozi wa juu wa Yanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kinachofuta

Utajua hujui
Acheni vitisho tucheze mpira .Haya wanayoyafanya Yanga hayana afya kwa soka letu.

Nani hamjui Manara kwa propoganda za kijinga tangu akiwa makolokoloni fc?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Ila manara anajua kuwavuruga utopolo.
Anajua madhara ya timu kushushwa daraja au ndo kwa kuwa HANA CHA KUPOTEZA?
Mimi nilidhani injinia anaweza akawa na akili kidogo pale yanga ukiacha mzee manara na kikwete kumbe na yeye NI BOGAZ
Uishushe yanga daraja hujipendi
Tatizo mmeanza kushabikia mpira juzi tuu awamu ya 5 ndio shida yenu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Ukiisimamisha yanga hakika tunafungiwa na FIFA Maana YANGA ataenda mahakamani

Ndo mtajua hamjui
Unajua pia kwenda mahamakani kama mwanachama Fifa unawexa kufungiwa na Fifa maxima,,,, nyie jidanganyeni tu,,, Wenye akili yanga wawili tu Mzee Kikwete na mzeee Manala
 
Huyu mzungu pori ataaribu mpira wetu, mlio karibu nae muelekezeni aache kujiamini sana. Rais wa Yanga aache wahuni hasa machawa wamuongoze, Ngoma ikivuma sana inapasuka
 
Huyu mzungu pori ataaribu mpira wetu, mlio karibu nae muelekezeni aache kujiamini sana. Rais wa Yanga aache wahuni hasa machawa wamuongoze, Ngoma ikivuma sana inapasuka
Kwaiyo wewe ndo unajua kuliko yeye au siyo??
 
Huyu mzungu pori ataaribu mpira wetu, mlio karibu nae muelekezeni aache kujiamini sana. Rais wa Yanga aache wahuni hasa machawa wamuongoze, Ngoma ikivuma sana inapasuka
Kwanza unapaswa uyakomboe maisha yako alafu ndo uje kumpangia Rais nini cha kufanya mzee wangu
 
Back
Top Bottom