mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Acha upumbavu kima weweBebi jamaniiiii[emoji3059]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha upumbavu kima weweBebi jamaniiiii[emoji3059]
Mnavyodanganyana huko kwenye magroup ya YANGA WHATSAPP MAKAO MAKUU?SEMA ndicho yanga WALIOKUWA wakikitaka
Yanga mara ngapi iliingia mgogoro na tifuatifua wewe mpaka waziri bashungwa akaingilia kati?
Makamu wa mwenyekiti hujui ilikuwaje mpaka Yanga kugomea mechi [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Karia anajitekenya na kucheka yanayokuja asipotulia hiiiiiii
Usidhani Kwa Nini wazee wakapisha vijana uongozi wa juu wa Yanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kinachofuta
Utajua hujui
Umeambiwa wewe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekesha mnoo, anawavuruga nyie wenyewe plus yeye, ushaona simba inashaukwa naye?? Kwanza wamempuuza.Safi sana manara. Kazi tuliyokupa ya kuivuruga utopolo unaifanya vizuri. Na wao wasivyokuwa na akili wanakushadadia
Tena ashikilie haswaaa hili andiko lako.Mkumbusheni manara hata makonda na ali hapi walikuwa wajeuri na wenye majivuni kama yeye ila sasa hivi wapo juu ya vigogo.
Naomba kidogo tu, naingiza kichwa tu.Tena ashikilie haswaaa hili andiko lako.
Ooooh sawa ngoja ni endelea kuisikiliza roho mbaya yanguKiongozi bora anapimwaje,zaidi ya kuitoa taasisi mahali fulani kuipeleka higher level. Haters mnachekesha sana. tumpimeje Mo na Barbara zaidi ya kuilinganisha Simba ya 2016 na sasa?
Tumia kigezo cha performance appraisal badala ya kuisikiliza roho mbaya yako
Ni ngumu sana watu kuliona hili ila ushabiki wa kibwegebwege ili kukomoana tu anyway let wait to enyoy the showPamoja na madhaifu ya Manada ila Karia awe makini mambo sio marahisi kama anavyodhani.
Najua kuna ushabiki nyuma ya maamuzi ya TFF, Karia kuwa makini una familia pia
Chizi wee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naomba kidogo tu, naingiza kichwa tu.
Inawezekana kumpiga manara kifungo cha maisha , lakini Je Karia atakuwa Rais wa TFF hadi lini ?Kwanini tushushwe madaraka wkt Kuna option ya kumpiga manara nyundo ya maisha
Unaniumiza ujue, usinifanyie hivyo, ntakupa kila unachotaka.Chizi wee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hili lialibino halina akili amepelekwa yeye na huyo mpuuzi hersi kwenye kamati ya maadili na sio utopolo.Tupo tayari kwa lolote Kutoka kwenu ikiwapendeza mtushushe hata madaraja kumi Ila hatupo tayari kwa maamuzi yenu ya kuikandamiza Yanga kila siku.
Kuna kesi ngapi za Yanga zipo mezani kwao hadi leo hatujapata ushirikiano wowote Kutoka kwao.Tupo tayari ikimpendeza atupeleke kabisa Fifa.
MY TAKE;
Karia usipo angalia utateguliwa kiuno.
Hata kabla ya ujio wa Manara, Yanga ilikuwa na mgogoro na TFF. Kumbuka mwaka Jana hadi Waziri wa michezo(Basungwa, WAKATI huo) alisuluhisha huo mgogoroMatatizo binafsi ya Manara, Yanga imekubali kuingia kwenye mgogoro na TFF. Hiki ndicho manara alikuwa anakitaka.
Pia mkumbushe Karia kuwa walikuwepo wababe Ole Sabaya, Bashite, Ally Happy. Je wako wapi?Mkumbusheni manara hata makonda na ali hapi walikuwa wajeuri na wenye majivuni kama yeye ila sasa hivi wapo juu ya vigogo.
Akienda mahakamani kwani kosa analo Nani? Mfano nikuulize tu kuwa angekuwa mshindo msola angekubali lile la manara juzi litokee?? Jibu honestlyUkiisimamisha yanga hakika tunafungiwa na FIFA Maana YANGA ataenda mahakamani
Ndo mtajua hamjui
Hivyo akumbushwe na Karia kupitia ujumbe wako kuwa walikuwepo akina makonda, hapi nk ila mwisho wao mbaya uliwajiaTena ashikilie haswaaa hili andiko lako.