njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
yes mkuu, fianlly kuna team itaenda FIFA kulipishwa mikataba ya wachezaji 30 na benchi la ufundi, ivunjeni hiyo team kabisa kumeteta bugatti wenuIv haya maneno ameyasema kweli ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yes mkuu, fianlly kuna team itaenda FIFA kulipishwa mikataba ya wachezaji 30 na benchi la ufundi, ivunjeni hiyo team kabisa kumeteta bugatti wenuIv haya maneno ameyasema kweli ?
si hao kina Hersi? kari ashikilie hapohapo hawa wahuni wakitaka wajitoe kwenye ligiNina uhakika kuna mtu au watu nyuma ya Manara,hakukurupuka jana,kufanya vile.
Wataalamu walishasema unapokuwa na ulemavu wowote hata wa kidole lazima na akili ilegee kidogoHuwa anaropoka hivi akipigwa rungu kimya, sijui ana tatizo gani la akili.
Kwanini tushushwe madaraka wkt Kuna option ya kumpiga manara nyundo ya maisha
Mimi Yanga damu ila Manara hana heshima na anakosa ustaarabu anatuharibia Yanga yetuTupo tayari kwa lolote Kutoka kwenu ikiwapendeza mtushushe hata madaraja kumi Ila hatupo tayari kwa maamuzi yenu ya kuikandamiza Yanga kila siku.
Kuna kesi ngapi za Yanga zipo mezani kwao hadi leo hatujapata ushirikiano wowote Kutoka kwao.Tupo tayari ikimpendeza atupeleke kabisa Fifa.
MY TAKE;
Karia usipo angalia utateguliwa kiuno.
Kuna watu hawamtaki Haji Manara hapo Yanga sasa wanatumia njia ya kijasusi kumtema kwa kumjaza upepo ili aipandishie TFF mabega,akifungiwa mazima wao wanachekea chooniNina uhakika kuna mtu au watu nyuma ya Manara,hakukurupuka jana,kufanya vile.
Ahaha ile barua ni kwa hersi na manara sio yanga.Tupo tayari kwa lolote Kutoka kwenu ikiwapendeza mtushushe hata madaraja kumi Ila hatupo tayari kwa maamuzi yenu ya kuikandamiza Yanga kila siku.
Kuna kesi ngapi za Yanga zipo mezani kwao hadi leo hatujapata ushirikiano wowote Kutoka kwao.Tupo tayari ikimpendeza atupeleke kabisa Fifa.
MY TAKE;
Karia usipo angalia utateguliwa kiuno.
Manara anaweza kuwa na mapungufu mengi lakini Barbara hawezi kuwa kiongozi bora kwa simba plus Mo simba bado sana tunajitafuta ila kwa vile tunaleta ushabiki wa kijinga tuishi tuHAYA NDO MAMBO SASA, BUGATTI finally limepata mahala pa kuiingiza taasisi kwenye matatizo yake, hongera Barbara uliona mbali sana kwa kweli
Imebidi nicheke tu...eti Bugati,bugati wapi mwehu huyu pelekeni mirembe
Kiongozi bora anapimwaje,zaidi ya kuitoa taasisi mahali fulani kuipeleka higher level. Haters mnachekesha sana. tumpimeje Mo na Barbara zaidi ya kuilinganisha Simba ya 2016 na sasa?Barbara hawezi kuwa kiongozi bora kwa simba plus Mo simba bado sana tunajitafuta ila kwa vile tunaleta ushabiki wa kijinga tuishi tu
Huo ndio ukweli! Mtu timamu huwezi kuwa vile, leo unasema umeonewa mara kesho unaomba msamaha keshokutwa tena unavimba!!Mimi Yanga damu ila Manara hana heshima na anakosa ustaarabu anatuharibia Yanga yetu
Timu imetoka mikononi mwa mtu makini kakabidhiwa muhuni sababu ya pesa .Ila manara anajua kuwavuruga utopolo.
Anajua madhara ya timu kushushwa daraja au ndo kwa kuwa HANA CHA KUPOTEZA?
Mimi nilidhani injinia anaweza akawa na akili kidogo pale yanga ukiacha mzee manara na kikwete kumbe na yeye NI BOGAZ