Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Duh ndo hivyo ukisikia Siku mbaya kazini basi ndo hiyoNi jamaa hivi ana masikio mazito (kama hasikii vizuri hivi) kazi anayo.
Ila namtakia kila la heri liwe upande wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh ndo hivyo ukisikia Siku mbaya kazini basi ndo hiyoNi jamaa hivi ana masikio mazito (kama hasikii vizuri hivi) kazi anayo.
Ila namtakia kila la heri liwe upande wake
Ila mi nashauri polisi wawe wanabinya sehemu zingine, kubinya gololi sio utu, ni unyamaDah Huyo dogo apumzike kwa amani,
Ila makende ya bwana fundi leo shughuli ipo
Nimeipenda hii ,kwahiyo unakuwa yaani Kama vile uko tayari kwenda kuwakung'uta wote wanaomletea wenge mshikaji au sio,?Yaani haipiti siku mbili tatu, lazima nimuulize dogo, kuna mtu anakusumbua shuleni iwe mwalimu au mwanafunzi nikamshughulikie......
Sawa mkuu tupo kwenye utekelezajiNaagiza uchunguzi ufanyike!
Daah inauma!
Ni sahihi kabisa mkuu.Hawa madada wa kazi nao wengine ni wa ajabu. Isije ikawa mtoto ameuawa, kisha akafungiwa ndani. Kuna wadada wa kazi wakiudhiwa na waajiri wao, wanaenda kulipizia kwa watoto.
Wazazi kuweni makini sana katika kuwapata wadada wa kazi, hasa unapokuwa na watoto.
Mbona Amerika Kuna binti wa umri huo huo alimchapa mwalimu wa michezo risasi!?Miaka 10 mkuu apate akili ya kujiua.
Hizi movie zinamaliza wanetu, kaona kwenye muvi mtu kakerwa au kakwazika kaenda kujiua, na yeye anaiga anajua ndo suluhisho lilipo.Habari za usiku wakuu! Kuna mtoto wa miaka 10 amekutwa amejinyonga chumbani kwake hapa Buguruni.
Maelezo ya kina hayajapatikana ila kwa maelezo ya awali ni kwamba mtoto katoka shule mida ya saa tisa jioni na baada ya kufika nyumbani amefanya shughuli ndogo ndogo na baada ya muda umeingia chumbani na kujifungia humo.
Dada wa kazi baada ya kuona huyu mtoto kajifungia ndani kwa muda mrefu akaanza kupiga hodi ili mtoto afungue mlango.
Amepiga hodi sana baada ya kuona kimya na tayari hapo ni jioni kama saa 11 ikabidi atafutwe fundi avunje kitasa waingie ndani.
Baada ya kuingia ndani ndipo wakamkuta mtoto amejinyonya kwa kufunga kamba kwenye dirisha.
Polisi wamekuja wameuchukua mwili wa mtoto, dada wa kazi, kaka wa marehemu na fundi aliyevunja kitasa cha mlango.
Maelezo zaidi watakuwa nayo polisi baada ya kufanya uchunguzi wao