Buguruni, Dar: Mtoto wa miaka 10 akutwa amejinyonga chumbani kwake

Wangeenda na shule
Huenda kuna kitu kafanyiwa huko shule
Abuse imezidi sana na watoto hawako wazi kwa wazazi kisa kipigo

Mzazi anakuwa adui na mtoto, sasa matatizo yake ayapeleke wapi?

Wafundisheni watoto kuwa kujinyonga ni moto wa milele
Watoto wafundishwe pindi wakiwa wadogo
 
Ni sahihi kabisa mkuu.
Na siku hizi huu mtindo wa kutumia madalali/Watu baki kutafuta wadada wa kazi sio mzuri kabisa.
Kwa vile mtu anakuwa na shida na uhitaji wa haraka anashindwa hata kutuliza akili kumpeleleza vizuri dada wa kazi kabla hajafika kwake. Hii ni mbaya, mbali ya binti kuleta matatizo lakini hata binti mwenyewe anaweza kupata matatizo na usijue pa kuanzia.
 
Naona kuna waandishi wa habari wamekuja muda huu
 
Hizi movie zinamaliza wanetu, kaona kwenye muvi mtu kakerwa au kakwazika kaenda kujiua, na yeye anaiga anajua ndo suluhisho lilipo.
 
Mwili tayari umepelekwa Kwenye makazi ya milele, anapelekwa Nyanda za Juu Kusini huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…