Buguruni kunalemaza sana wakuu, hebu angalia nguvu ya 500!

Buguruni kunalemaza sana wakuu, hebu angalia nguvu ya 500!

Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.

Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!

Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!

View attachment 2982368
Cheap ina side effects zake

Mwananyamala na muhimbili wamejaa watu wa buguruni na matatizo ya matumbo,be careful
 
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.

Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!

Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!

View attachment 2982368
Ninachojiuliza ni kwamba hio nyama ni nyama kweli au expired. Mnalishwa vitu vya hovyo sana
 
w
Hakuna mama muuza supu mtaani anayenunuwa buchani, bucha ni kwa ajili ya matumizi ya nyumbani au wachoma mishikaki.

Kule machinjioni kuna serikali na kuna madaktari wa mifugo, msidanganyane mkadhani hii serikali imefeli kila eneo.

Jipe nafasi siku tembelea machinjio usiku au afajiri utajionea mengi usiyoyajuwa na utaanza kupuuza uzushi unaousikia.
wananunua wapi hizo nyama sasa?
 
unasema bubu, kuna siku tuliharibikiwa gari pale sheli usiku kama wa saa 8. Tulielekezwa fundi yupo pale hoteli iliyoambatana na Kimboka. Tulikutana na kiwete wa kusota kabisa na yeye anauza mbwasha. Advertise yake anatingisha kiuno huku kasimamia mikono.

Nasikia ana wateja wa kutosha kabisa wa kupanga foleni. Kimboka ile ni fantasy land, hakuna utakachokosa pale.

unasema bubu, kuna siku tuliharibikiwa gari pale sheli usiku kama wa saa 8. Tulielekezwa fundi yupo pale hoteli iliyoambatana na Kimboka. Tulikutana na kiwete wa kusota kabisa na yeye anauza mbwasha. Advertise yake anatingisha kiuno huku kasimamia mikono.

Nasikia ana wateja wa kutosha kabisa wa kupanga foleni. Kimboka ile ni fantasy land, hakuna utakachokosa pale.
Hehehe.hatari sana hii ...
 
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.

Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!

Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!

View attachment 2982368
Kaa huko huko mazee, usijetuchafulia hali ya hewa huku Masaki!
 
Back
Top Bottom