Buguruni kunalemaza sana wakuu, hebu angalia nguvu ya 500!

Buguruni kunalemaza sana wakuu, hebu angalia nguvu ya 500!

Karibu mjini mkuu..hizo ni nyama za ng'ombe waliokufa,ukanda huo wa buguruni mpaka gongo la mboto ndio biashara yao kubwa..
Mnadanganya sana, ukitaka kuelewa zunguka kwenye mabucha bei za nyama hazifanani unajuwa kwa nini?

Nyama zina grade, grade one kwa Dar buchani kilo moja bei haiwezi kupunguwa shilling 10,000/=

Grade ya kawaida unaweza kuuziwa kilo kwa shilling 7000/= sasa imagine mtu anayekwenda machinjioni atapata kwa shilling ngapi?

Halafu isitoshe wauza supu za bei kitonga wengi wanauza bandama, mapupu na makolomelo, hivyo vitu machinjioni havina bei.

Binafsi naelewa vizuri bei za machinjioni unakuta tumbo lote la mbuzi umeshasafishwa kila kitu unauziwa kwa shilling 15,000/= tu, halafu ukienda bar eti unauziwa supu ya utumbo kwa shilling 2000 ni wizi mtupu.
 
Buguruni, tandika na mbagala huko pilau safi kabisa kwa 500 hadi 1,500 aisee.

Sasa kama hiyo supu hawa jamaa sijui huwa wanaiba hizo nyama?

Mtu kuteseka na maisha magumu dar ni kukosa taarifa tu.

Gharama za usafiri tandika, gombs, mbagala ni rahsi sana. Unaeza chukua boda distance ndefu tu bado ukalipa buku. Kariakoo posta 3,000 eti.

Kunasiku nimetoka zakiem hadi buguruni bajaji buku 4 nimekodi 😀.

Hapo buguruni hata pc bei zake haziwezi kuwa kubwa, ukihama utamis sana 😂.

Sukari unapimiwa had kwa kijiko, maisha yapi customized hadi raha. Unahudumia kadiri ya hela uliyonayo.
Nakupa chimbo sasa ndani ya City center, mtaa wa Samora pale jengo la daily news nyuma kuna mama anaitwa mama Zai, hapo ni mapishi ya nazi, bei ya juu haizidi shilling 3000/=

Maboss wanaojiona status zao ni shida kwenda pale wanafanyiwa delivery maofisini, ukienda saa 8 mchana hupati chakula kimeisha.

Kipindi cha nyuma holiday inn ya kuelekea occean road kuna mama yupo jirani alisababisha mpaka wazungu wanalala hotelini wanakwenda kula pale mpaka holiday wakafanya fitina yule mama akafukuzwa pale.

Watu hawana taarifa tu.
 
Nakupa chimbo sasa ndani ya City center, mtaa wa Samora pale jengo la daily news nyuma kuna mama anaitwa mama Zai, hapo ni mapishi ya nazi, bei ya juu haizidi shilling 300/=

Maboss wanaojiona status zao ni shida kwenda pale wanafanyiwa delivery maofisini, ukienda saa 8 mchana hupati chakula kimeisha.

Kipindi cha nyuma holiday inn ya kuelekea occean road kuna mama yupo jirani alisababisha mpaka wazungu wanalala hotelini wanakwenda kula pale mpaka holiday wakafanya fitina yule mama akafukuzwa pale.

Watu hawana taarifa tu.
Duh hiyo mia tatu (300) mwaka gani mkuu? Kikombe cha chai? Holiday inn napapata sana, tumepiga sana misosi. Ila hawa akina mama zai wanapepo yao kwenye chakula 😂.
 
Nakupa chimbo sasa ndani ya City center, mtaa wa Samora pale jengo la daily news nyuma kuna mama anaitwa mama Zai, hapo ni mapishi ya nazi, bei ya juu haizidi shilling 300/=

Maboss wanaojiona status zao ni shida kwenda pale wanafanyiwa delivery maofisini, ukienda saa 8 mchana hupati chakula kimeisha.

Kipindi cha nyuma holiday inn ya kuelekea occean road kuna mama yupo jirani alisababisha mpaka wazungu wanalala hotelini wanakwenda kula pale mpaka holiday wakafanya fitina yule mama akafukuzwa pale.

Watu hawana taarifa tu.
Huu ni zaidi ya uongo!
yaani 300 upate sahani ya Chakula? mtakuwa mnalishwa mashudu nyinyi
 
Duh hiyo mia tatu (300) mwaka gani mkuu? Kikombe cha chai? Holiday inn napapata sana, tumepiga sana misosi. Ila hawa akina mama zai wanapepo yao kwenye chakula 😂.
Ni shilling 3000/= nilikosea dígit, nimeshaedit.

Wao na holiday inn, sisi chimbo letu tukaliita holiday out, wamefanya fitina na kuhonga pesa Jiji mpaka yule mama akafukuzwa pale.
 
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.

Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!

Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!

View attachment 2982368
cha muhimu kujua ni supu hiyo ni ya nini, na ni supu kweli au kitu kingine. nyama hiyo imetoka bushani au ndio yale mavibudu yanakufa peke yake wakaona wasiyatupe, au ni yale mabaki ya nyama kule machinjioni, au ni.........
 
cha muhimu kujua ni supu hiyo ni ya nini, na ni supu kweli au kitu kingine. nyama hiyo imetoka bushani au ndio yale mavibudu yanakufa peke yake wakaona wasiyatupe, au ni yale mabaki ya nyama kule machinjioni, au ni.........
Hakuna mama muuza supu mtaani anayenunuwa buchani, bucha ni kwa ajili ya matumizi ya nyumbani au wachoma mishikaki.

Kule machinjioni kuna serikali na kuna madaktari wa mifugo, msidanganyane mkadhani hii serikali imefeli kila eneo.

Jipe nafasi siku tembelea machinjio usiku au afajiri utajionea mengi usiyoyajuwa na utaanza kupuuza uzushi unaousikia.
 
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.

Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!

Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!

View attachment 2982368
Dogo nilijua umerudi Kigoma kumbe bado upo jijini inapambania life, hongera sana
 
Back
Top Bottom